mazaaa analongolongo nyingi zisizo na maanaWalk the Talk....Samia anataka kuhadaa watu, hana nia ya dhati kwenye lolote. mwongomwongo, mnafiki na mzandiki.
Sasa Kaonyeshwa kwamba kuna watu hawataki hiyo michezo yake yakutafuta kupiga picha za kuuza sura duniani kwa mabwana wanaompea hela.
Duu we jamaa uko deepMagufuli hakuwa mjinga kutoiamini Chadema
Chadema ni Chama Cha Mabwanyenye wengine wako huko huko CCM [emoji23][emoji23][emoji91][emoji93]
Jamaa wamekimbia maridhianoahahaa ili avute mkwanja ughaibuni chadema wanamnyima mama ulaji nimemwona kakasirika leo hao jamaa kukosekana
Sasa kama wamegawanyika si wengine wangefika na wengine wasingefika?Amenishangaza Sana. Anadai hata kutokuja kwenye mkutano wa Leo wamegawanyika , wale wanaotaka na wale wasiotaka. Huko kwao kwa moto. Amejuaje?
!!!!!@??? safari ndefuMwanamke wa kiafrika bado hajafikia kiwango cha kuongoza nchi. Hotuba ya leo utadhani alikuwa anahutubu kwenye kitchen party
Haijalishi chama kinakuwaChadema lazima watambue kwamba mchawi wao ni mbowe,amegeuza Hiko Chama kuwa ni chama Cha ukoo
Signs of incompetent president. Wenye akili hawapotezi muda kuhudhuria mikutano isiyokuwa "focused".Naona kitendo Cha CHADEMA kutokuhudhuria mkutano wa Baraza la wadau wa siasa limemkasirisha Sana Mh Rais mpaka kuanza kuwasema CHADEMA. Kwa mfano Rais kadai CHADEMA kutokuja kwenye mkutano huo wa Leo wamegawanyika.
[emoji23][emoji23]Zidumu tu fikra sahihi za mwenyekiti wa chama
[emoji28][emoji28]Ni kama TEC Wakosekane kwenye kikao cha viongozi wa dini. Hicho siyo kikao ni Tamasha
Alipofungua stendi ya mabasi Mbezi, au soko la kisutu sikuona MTU wa chadema.Ukiondoa siku ya ufunguzi wa Bunge 2015 hakunaga mahali Magufuli alienda halafu Mbunge wa Chadema asihudhurie
Pale Mbeya Mjini Sugu alipanda kabisa kwenye gari la Shujaa Magufuli πππ₯πΌ
Mbezi Isaya ex Mayor alikuwepoAlipofungua stendi ya mabasi Mbezi, au soko la kisutu sikuona MTU wa chadema.
Halafu haikusikika waraka wa TEC ukikosolewa katika mkutano ule. πNi kama TEC Wakosekane kwenye kikao cha viongozi wa dini. Hicho siyo kikao ni Tamasha
Amenishangaza Sana. Anadai hata kutokuja kwenye mkutano wa Leo wamegawanyika , wale wanaotaka na wale wasiotaka. Huko kwao kwa moto. Amejuaje?
Umeandika kwa uchungu sana utadhani bila CHADEMA haupumui.Kuhudhuria mkutano siyo lazima.Kwani waliokuwepo hawakutosha?Leop ndiyo tumejua kuwa CHADEMA si chama cha siasa bali ni
Kama unabisha- tueleze kwa nini hakikwenda kwenye mkutano wa vyma vya siasa
- chama cha wachaga
- cha ca magaidi
- chama cha wavunja sheria kwa sababui eti tu wanawanasheria
- chama cha wa wafanya fujo
Hata za kutunga tu?Ana taarifa kuliko unavyofikiria.
Unaumia sana yeye kuwa pale?Kufa tuone kweli umenuna.Kwani ni uongo??
Mbowe ana miaka mingapi kwenye hiyo nafasi yake ya uenyekiti??
Kwa hiyo Bwanyenye asipowaona mabwanyenye wenzake anachukia?Magufuli hakuwa mjinga kutoiamini Chadema
Chadema ni Chama Cha Mabwanyenye wengine wako huko huko CCM πππ₯π
We unadhani kwanini Lowasa alienda Chadema?ππππKwa hiyo Bwanyenye asipowaona mabwanyenye wenzake anachukia?