Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Mbona laisi tu,kuna mtu aliwahi yatamuka haya maneno:Watetezi wake mna kazi kubwa.
Nimesikia vizuri tuu,shida iko wapi hasa? Rais si anawaasa mawaziri Kuhusu wizi au?
Nimemsikia Rais Mama Samia anasema kila mbuzi hula kutokana na urefu wa kamba yake akiwambia kikao na Mawaziri wake, sijuwi amemaanisha nini kwamba mawaziri sasa wataanza kugawana rasilimali na mapato?
Emu tujielekeze hapa kidogo wale watu wenye taaluma fasihi, Mama kila siku anatoa kamsemo mpya mpya
View attachment 2079590
Natanguliza shukurani
Bila kuongea hivyo ungejua kuwa watu wanavimbiwa? Vipi huko awamu ya 5 walikuwa hawali? 😃😃😃😃
Ulichokiandika hakina heshima kwa nchi ambayo ni yako. Bora tu tucheze mdumange kule bonde au Lushoto. Ila ulichokiandika hapana hakina heshima kwako, kwangu na nchi.Huyu mama bure kabisa, sijawahi ona kiongozi wa nchi hopeless like her. Yaani hapa bongo kama nchi imelamba garasa!! wakina Kagame na Museveni wanatucheka balaa toka kupoteza kiongozi mwenye vision hadi kuja kuokoteza hili garasa,.tumeliwa.
JK ndiye aliyekuwa mbabaishaji wa kutupwa. Kwa vile hakukemea watu, labda ndiyo maana wanamkumbuka hasa wale waliokuwa na vyeti feki, na wale waliokuwa wamajiri watumishi hewa..Yupi alikuwa na vission. Labda jk!!!
Ww unyoroshwe vizuri kabisaImagine fisadi kama hili kuna watu wanaliita kuwa ni 'Mama'!🤡
Mimi nilimkataa tokea day one kwa sababu najua CCM ni ileile.Fisadi kama hili halina sifa ya kuitwa kuwa ni 'Mama'.
Mama gani hawezi kulilea Taifa?Ukimwita kuwa ni Mama ni unajidhalilisha tu.She is hopeless fool.Halafu hakuna kitu kinaniuma kama kulipa Tozo.
Imagine unajibana kulipa Tozo halafu kuna mbuzi huko wanaambiwa kuwa wale ila mradi wasivimbiwe kwa kuwa wamekuwa wakivimbiwa sana!
Mata.......... kama huyu ni wa kusamehe bureMbona laisi tu,kuna mtu aliwahi yatamuka haya maneno:
1)wapeni polisi 5000/=,hiyo ni hela ya brush,
2)unataka upanuliwe mbere au nyuma!!?
3)kama huwezi lipa 200/= rudi na mavi yako nyumbani
Na bado akapata watetezi.
Hakuna aliyewahi tumbuliwa eti Kisa kala,kama unayo tuwekee hapa.Mwenzetu video clip hauna za watu waliokuwa wanatumbuliwa mchana kweupe…
Hizi ni kauli za Rais wa wanyonge 😁😁😁😁Mbona laisi tu,kuna mtu aliwahi yatamuka haya maneno:
1)wapeni polisi 5000/=,hiyo ni hela ya brush,
2)unataka upanuliwe mbere au nyuma!!?
3)kama huwezi lipa 200/= rudi na mavi yako nyumbani
Na bado akapata watetezi.
Huyu mama bure kabisa, sijawahi ona kiongozi wa nchi hopeless like her. Yaani hapa bongo kama nchi imelamba garasa!! wakina Kagame na Museveni wanatucheka balaa toka kupoteza kiongozi mwenye vision hadi kuja kuokoteza hili garasa,.tumeliwa.
Pole sana ndugu yanguHapo aliposema kuwa 'wajipimie' nimecheka sana halafu ghafla machozi yakanitoka.
Halafu amesisitiza kuwa wajipimie kiasi cha kushiba ila mradi wasivimbiwe😁😁😁
Mama Mkweli mnoSiyo kwa viongozi tuu, Mtu yeyote yule anayeongea kabla ya kupanga nini cha kusema, wapi pa kusemea, na namna ya kusema ni mtu mropokaji. Bahati mbaya kwa Tanzania ni kwamba hao ndio viongozi.
Na pia sio lazima Rais aandikiwe nini cha kuongea, hapana! Muhimu ni yeye mwenyewe kujiaandalia nini cha kuzungumza. Vladmir Putin anajiandikia hotuba zake yeye mwenyewe, na hajawahi kutoa boko.
HiLI Limama ni li kichaa kabisa, unahalalisha rushwa kweli,Daa itachukua muda kumpata Magufuli mwingineNimemsikia Rais Mama Samia anasema kila mbuzi hula kutokana na urefu wa kamba yake akiwambia kikao na Mawaziri wake, sijuwi amemaanisha nini kwamba mawaziri sasa wataanza kugawana rasilimali na mapato?
Emu tujielekeze hapa kidogo wale watu wenye taaluma fasihi, Mama kila siku anatoa kamsemo mpya mpya
View attachment 2079590
Natanguliza shukurani
No commentEeeh!jiangalie kijana tutakukula kichwa
Usimlinganishe putin na hivi vijirais vyenu..Siyo kwa viongozi tuu, Mtu yeyote yule anayeongea kabla ya kupanga nini cha kusema, wapi pa kusemea, na namna ya kusema ni mtu mropokaji. Bahati mbaya kwa Tanzania ni kwamba hao ndio viongozi.
Na pia sio lazima Rais aandikiwe nini cha kuongea, hapana! Muhimu ni yeye mwenyewe kujiaandalia nini cha kuzungumza. Vladmir Putin anajiandikia hotuba zake yeye mwenyewe, na hajawahi kutoa boko.