Rais Samia: Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, lakini mbona mnakula sana mnavimbiwa? Jipimieni!

Rais Samia: Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, lakini mbona mnakula sana mnavimbiwa? Jipimieni!

Imagine fisadi kama hili kuna watu wanaliita kuwa ni 'Mama'!🤡

Mimi nilimkataa tokea day one kwa sababu najua CCM ni ileile.Fisadi kama hili halina sifa ya kuitwa kuwa ni 'Mama'.

Mama gani hawezi kulilea Taifa?Ukimwita kuwa ni Mama ni unajidhalilisha tu.She is hopeless fool.Halafu hakuna kitu kinaniuma kama kulipa Tozo.

Imagine unajibana kulipa Tozo halafu kuna mbuzi huko wanaambiwa kuwa wale ila mradi wasivimbiwe kwa kuwa wamekuwa wakivimbiwa sana!
 
Nimemsikia Rais Mama Samia anasema kila mbuzi hula kutokana na urefu wa kamba yake akiwambia kikao na Mawaziri wake, sijuwi amemaanisha nini kwamba mawaziri sasa wataanza kugawana rasilimali na mapato?

Emu tujielekeze hapa kidogo wale watu wenye taaluma fasihi, Mama kila siku anatoa kamsemo mpya mpya

View attachment 2079590

Natanguliza shukurani

Mama kasema kweli! Corruption and embezzlement of public funds in the CCM government is institutionalized ! Amejaribu kuwaambia hao watendaji wake kila mtu ale urefu wa kamba Yake kwenye wizi !!! Tilishapigwa sana na tunaendelea kunyukwa kisawasawa mpaka tukome! Bila katiba mpya hakuna suluhu ni mwendo wa kunyukwa tuu !
 
Huyu mama bure kabisa, sijawahi ona kiongozi wa nchi hopeless like her. Yaani hapa bongo kama nchi imelamba garasa!! wakina Kagame na Museveni wanatucheka balaa toka kupoteza kiongozi mwenye vision hadi kuja kuokoteza hili garasa,.tumeliwa.
Ulichokiandika hakina heshima kwa nchi ambayo ni yako. Bora tu tucheze mdumange kule bonde au Lushoto. Ila ulichokiandika hapana hakina heshima kwako, kwangu na nchi.
 
Imagine fisadi kama hili kuna watu wanaliita kuwa ni 'Mama'!🤡

Mimi nilimkataa tokea day one kwa sababu najua CCM ni ileile.Fisadi kama hili halina sifa ya kuitwa kuwa ni 'Mama'.

Mama gani hawezi kulilea Taifa?Ukimwita kuwa ni Mama ni unajidhalilisha tu.She is hopeless fool.Halafu hakuna kitu kinaniuma kama kulipa Tozo.

Imagine unajibana kulipa Tozo halafu kuna mbuzi huko wanaambiwa kuwa wale ila mradi wasivimbiwe kwa kuwa wamekuwa wakivimbiwa sana!
Ww unyoroshwe vizuri kabisa
 
Mbona laisi tu,kuna mtu aliwahi yatamuka haya maneno:
1)wapeni polisi 5000/=,hiyo ni hela ya brush,
2)unataka upanuliwe mbere au nyuma!!?
3)kama huwezi lipa 200/= rudi na mavi yako nyumbani

Na bado akapata watetezi.
Mata.......... kama huyu ni wa kusamehe bure
 
Mbona laisi tu,kuna mtu aliwahi yatamuka haya maneno:
1)wapeni polisi 5000/=,hiyo ni hela ya brush,
2)unataka upanuliwe mbere au nyuma!!?
3)kama huwezi lipa 200/= rudi na mavi yako nyumbani

Na bado akapata watetezi.
Hizi ni kauli za Rais wa wanyonge 😁😁😁😁
 
Kama Kiguu analitambua hilo. Then what ? She think this is the Solution ? Serikali yakipigaji hiii , kama mpaka masterroom ya Inch inalitambua hili na hamna hatua inachukua
 
Huyu mama bure kabisa, sijawahi ona kiongozi wa nchi hopeless like her. Yaani hapa bongo kama nchi imelamba garasa!! wakina Kagame na Museveni wanatucheka balaa toka kupoteza kiongozi mwenye vision hadi kuja kuokoteza hili garasa,.tumeliwa.

Siyo Mungu alichukua garasa mapema...?
 
Siyo kwa viongozi tuu, Mtu yeyote yule anayeongea kabla ya kupanga nini cha kusema, wapi pa kusemea, na namna ya kusema ni mtu mropokaji. Bahati mbaya kwa Tanzania ni kwamba hao ndio viongozi.

Na pia sio lazima Rais aandikiwe nini cha kuongea, hapana! Muhimu ni yeye mwenyewe kujiaandalia nini cha kuzungumza. Vladmir Putin anajiandikia hotuba zake yeye mwenyewe, na hajawahi kutoa boko.
Mama Mkweli mno
 
Nimemsikia Rais Mama Samia anasema kila mbuzi hula kutokana na urefu wa kamba yake akiwambia kikao na Mawaziri wake, sijuwi amemaanisha nini kwamba mawaziri sasa wataanza kugawana rasilimali na mapato?

Emu tujielekeze hapa kidogo wale watu wenye taaluma fasihi, Mama kila siku anatoa kamsemo mpya mpya

View attachment 2079590

Natanguliza shukurani
HiLI Limama ni li kichaa kabisa, unahalalisha rushwa kweli,Daa itachukua muda kumpata Magufuli mwingine
 
Siyo kwa viongozi tuu, Mtu yeyote yule anayeongea kabla ya kupanga nini cha kusema, wapi pa kusemea, na namna ya kusema ni mtu mropokaji. Bahati mbaya kwa Tanzania ni kwamba hao ndio viongozi.

Na pia sio lazima Rais aandikiwe nini cha kuongea, hapana! Muhimu ni yeye mwenyewe kujiaandalia nini cha kuzungumza. Vladmir Putin anajiandikia hotuba zake yeye mwenyewe, na hajawahi kutoa boko.
Usimlinganishe putin na hivi vijirais vyenu..
 
Back
Top Bottom