Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Imagine fisadi kama hili kuna watu wanaliita kuwa ni 'Mama'!🤡
Mimi nilimkataa tokea day one kwa sababu najua CCM ni ileile.Fisadi kama hili halina sifa ya kuitwa kuwa ni 'Mama'.
Mama gani hawezi kulilea Taifa?Ukimwita kuwa ni Mama ni unajidhalilisha tu.She is hopeless fool.Halafu hakuna kitu kinaniuma kama kulipa Tozo.
Imagine unajibana kulipa Tozo halafu kuna mbuzi huko wanaambiwa kuwa wale ila mradi wasivimbiwe kwa kuwa wamekuwa wakivimbiwa sana!
Mimi nilimkataa tokea day one kwa sababu najua CCM ni ileile.Fisadi kama hili halina sifa ya kuitwa kuwa ni 'Mama'.
Mama gani hawezi kulilea Taifa?Ukimwita kuwa ni Mama ni unajidhalilisha tu.She is hopeless fool.Halafu hakuna kitu kinaniuma kama kulipa Tozo.
Imagine unajibana kulipa Tozo halafu kuna mbuzi huko wanaambiwa kuwa wale ila mradi wasivimbiwe kwa kuwa wamekuwa wakivimbiwa sana!