BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
- Thread starter
-
- #21
Wanao tupatia misaada magari yao kwenye msafara ni 4 au 5, sasa njoo kwa wapokea misaadaKwa hiyo gari 100 kwenye msafara wa rais kwako wewe ni kidogo!?
Kama ndivyo basi tuna safari ndefu sana.
Fanya nawe ujinga pambana na maisha yakoWenyeji gani? huu ni ujinga, ni show off za kijinga sana,
Hakuna faida yoyote kwenye huo uwekeuza nchi.Acheni kuchafia Raisi wawekezaji ni muhimu haijalishi wamatoka nchi gani, mama kafungua nchi walete pesa.
142 kwa macho yangu ni ya sirikaliNimehasabu magari nimeishia kuona gari 101, hizo nyingi ni gari za machawa, wanajihudumia wenyewe.
Matano yanatosha wewe pimbi!Dalili ya uchawi Sasa ww ulitaka aende na magari mangapi
UjielewiMatano yanatosha wewe pimbi!
Anakuumiza wewe watanzania tunafurai anatujengeabshule,anatuletea maji,Elimu Bure,afya nkMimi ni sehemu ya shuhuda niliuona msafara wake akiwa wilaya ya Nkasi juzi. Kiukweli mimi binafsi niliumia sanaaa. Msafara n mkubwa sanaaa binafsi naweza kusema ni zaidi ya gari 200. Imagine gari za msafara zikiwa zimesimama sehemu zimepangwa urefu wake ni km 1. Jamani tuache masihara. Mama anazingua. Hela anazotapanya zinaumiza Watanzania. Na bado juzi kagawa bodaboda nchi nzima kwa viongoz wa Ccm ngazi ya kata. Hii nchi tufwile!