MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Ingekuwa vema msafara wa Mbowe tuone ukiwa umejaza punda tu ili kubana matumizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeishia 110.......Wakimaliza wanasema Mungu tusamehe yanaishaRais wetu namfananisha na Marie Antoinette Mke wa King Lousi wa Ufaransa kabla ya Mapinduzi.
Rais anasisitiza sana tulipe Tozo na kodi ili nchi ijiendeshe yenyewe bila mikopo. Wakati huo huo yeye akiwa ndio mtumaiji mbaya wa hizo pesa na akiwa na matumizi ya anasa, akiwa anatumia Ikulu mbili za Dodoma na Dar es salaam, akiwa na msafara mkubwa kuliko sasa kiongozi yoyote yule Afrika na Duniani.
Ukiangalia huo msafara ni inatisha, huwezi amini kuna shule hazina matundu ya vyoo na tunangoja USAID watujengee.
Nchi Maskini hii......Duh! Kama sijakosea gari zipo 146
Nafikiri ndio utani wao kwa Watanzania. Watakwambia kama Nape ni utani tu. CCM wote wameshalewa chakali, ni ulevi wa madaraka.Rais wetu namfananisha na Marie Antoinette Mke wa King Lousi wa Ufaransa kabla ya Mapinduzi.
Rais anasisitiza sana tulipe Tozo na kodi ili nchi ijiendeshe yenyewe bila mikopo. Wakati huo huo yeye akiwa ndio mtumaiji mbaya wa hizo pesa na akiwa na matumizi ya anasa, akiwa anatumia Ikulu mbili za Dodoma na Dar es salaam, akiwa na msafara mkubwa kuliko sasa kiongozi yoyote yule Afrika na Duniani.
Ukiangalia huo msafara ni inatisha, huwezi amini kuna shule hazina matundu ya vyoo na tunangoja USAID watujengee.
Lipa kodi acha porojo ..unataka rais wetu aishi kimaskini au .Rais wetu namfananisha na Marie Antoinette Mke wa King Lousi wa Ufaransa kabla ya Mapinduzi.
Rais anasisitiza sana tulipe Tozo na kodi ili nchi ijiendeshe yenyewe bila mikopo. Wakati huo huo yeye akiwa ndio mtumaiji mbaya wa hizo pesa na akiwa na matumizi ya anasa, akiwa anatumia Ikulu mbili za Dodoma na Dar es salaam, akiwa na msafara mkubwa kuliko sasa kiongozi yoyote yule Afrika na Duniani.
Ukiangalia huo msafara ni inatisha, huwezi amini kuna shule hazina matundu ya vyoo na tunangoja USAID watujengee.
Hii yote ni kibri cha kupora uchaguzi.Nafikiri ndio utani wao kwa Watanzania. Watakwambia kama Nape ni utani tu. CCM wote wameshalewa chakali, ni ulevi wa madaraka.
Hii 'clip' tunzeni mje muwaoneshe wanannchi kwenye runinga pana zaidi (wide screen-HD) watalia machozi kukamuliwa kote huko kumbe ni matumizi ya vingungeRais wetu namfananisha na Marie Antoinette Mke wa King Lousi wa Ufaransa kabla ya Mapinduzi.
Rais anasisitiza sana tulipe Tozo na kodi ili nchi ijiendeshe yenyewe bila mikopo. Wakati huo huo yeye akiwa ndio mtumaiji mbaya wa hizo pesa na akiwa na matumizi ya anasa, akiwa anatumia Ikulu mbili za Dodoma na Dar es salaam, akiwa na msafara mkubwa kuliko sasa kiongozi yoyote yule Afrika na Duniani.
Ukiangalia huo msafara ni inatisha, huwezi amini kuna shule hazina matundu ya vyoo na tunangoja USAID watujengee.
Wanajihudumia wenyewe inamaana mafuta na service wanatoa kwa wazazi wao?Nimehasabu magari nimeishia kuona gari 101, hizo nyingi ni gari za machawa, wanajihudumia wenyewe.
Rais wa Zambia alikataa ununuzi wa magari mapya, vile vile na wa Bokinafaso amebaki na gari la zamani. Rais anaweza akasema msafara wangu usizidi magari 10 na ikawa hivyo. Kiongozi lazima awe in control siyo anaendeshwa kimzobemzobe.Mimi nadhani Wakati mwingine hajui kama anasindikizwa na msafara wa magari mengi! Na huenda Safari zake zinaratibiwa na ikulu yeye anaelekezwa apande gari tu.
Akipitia hapa anatakiwa apige marufuku akikaa kimyaa jua yeye ndipvyo anavyotakaMimi nadhani Wakati mwingine hajui kama anasindikizwa na msafara wa magari mengi! Na huenda Safari zake zinaratibiwa na ikulu yeye anaelekezwa apande gari tu.
Ole wako ukosoe matendo hayo,Chawa lazima wakurarue.Hizo raha wanazojipa hakuna mwanadamu anaweza kibali kuziachia.Wameshika mpini,lazima tuongeze mbinyo kama Wakenya.Nimehasabu magari nimeishia kuona gari 101, hizo nyingi ni gari za machawa, wanajihudumia wenyewe.
Wewe ndio wale mnaoishukuru ATM kwa kukupa hela.Anakuumiza wewe watanzania tunafurai anatujengeabshule,anatuletea maji,Elimu Bure,afya nk
Maskini?Mswahili akipata...
138Nimehasabu magari nimeishia kuona gari 101, hizo nyingi ni gari za machawa, wanajihudumia wenyewe.