Rais Samia na msafara wa Magari zaidi ya 150, tulipe tozo nchi ijiendeshe
Rais wa Zambia alikataa ununuzi wa magari mapya, vile vile na wa Bokinafaso amebaki na gari la zamani. Rais anaweza akasema msafara wangu usizidi magari 10 na ikawa hivyo. Kiongozi lazima awe in control siyo anaendeshwa kimzobemzobe.
Hizo fedha zilizonunua hayo magari zineelekezwa katika kununua Tractors kutatokea mageuzi makubwa katika Kilimo chenye Tija.
 
Rais wetu namfananisha na Marie Antoinette Mke wa King Lousi wa Ufaransa kabla ya Mapinduzi.

Rais anasisitiza sana tulipe Tozo na kodi ili nchi ijiendeshe yenyewe bila mikopo. Wakati huo huo yeye akiwa ndio mtumaiji mbaya wa hizo pesa na akiwa na matumizi ya anasa, akiwa anatumia Ikulu mbili za Dodoma na Dar es salaam, akiwa na msafara mkubwa kuliko sasa kiongozi yoyote yule Afrika na Duniani.

Ukiangalia huo msafara ni inatisha, huwezi amini kuna shule hazina matundu ya vyoo na tunangoja USAID watujengee.

Maza ana matumizi makubwa kuliko Biden
 
Ulaya hakuna misafara, huwa najiuliza viongozi wanapita wapi.

Huko Africa bado evolution of man inaendelea!
 
Ukweli mchungu kuhusu Afrika ni huu:
UKIINGIA OFISINI HASWA ZA UMMA NA UKATOKA BILA KUPIGA PESA UNAONEKANA MPUMBAVU TENA MPUMBAVU SANA!
UKIPATA MADARAKA YATUMIE VIBAYA TENA BILA KUTUMIA UTASHI WOWOTE! USIRUHUSU MTU AKUFUNDISHE NAMNA YA KUFANYA KAZI YAKO! WAUMIZE WATU KIASI KWAMBA KILA MTU AKUOMBEE MABAYA! DUA NZURI KWA AFRIKA NI SAWA NA KUOMBEA MTU MIKOSI! ILA DUA MBAYA NDO SAWA NA KUMUOMBEA MEMA MTU.
HATA HAO MADEREVA WANATAMBUA KUWA WANAWAUMIZA WANANCHI, WANAJUA KUWA WATANZANIA WANAUMIA ILA HAWAWEZI KUSEMA WAKILINDA UGALI WAO.
 
Nikifikiria kwamba 2025 ataendelea kuwa Rais hadi 2030 nachoka kabisa
 
Rais wetu namfananisha na Marie Antoinette Mke wa King Lousi wa Ufaransa kabla ya Mapinduzi.

Rais anasisitiza sana tulipe Tozo na kodi ili nchi ijiendeshe yenyewe bila mikopo. Wakati huo huo yeye akiwa ndio mtumaiji mbaya wa hizo pesa na akiwa na matumizi ya anasa, akiwa anatumia Ikulu mbili za Dodoma na Dar es salaam, akiwa na msafara mkubwa kuliko sasa kiongozi yoyote yule Afrika na Duniani.

Ukiangalia huo msafara ni inatisha, huwezi amini kuna shule hazina matundu ya vyoo na tunangoja USAID watujengee.

Nilidhani utani !
Nikaamua kuzihesabu 😱
 
Ukweli mchungu kuhusu Afrika ni huu:
UKIINGIA OFISINI HASWA ZA UMMA NA UKATOKA BILA KUPIGA PESA UNAONEKANA MPUMBAVU TENA MPUMBAVU SANA!
UKIPATA MADARAKA YATUMIE VIBAYA TENA BILA KUTUMIA UTASHI WOWOTE! USIRUHUSU MTU AKUFUNDISHE NAMNA YA KUFANYA KAZI YAKO! WAUMIZE WATU KIASI KWAMBA KILA MTU AKUOMBEE MABAYA! DUA NZURI KWA AFRIKA NI SAWA NA KUOMBEA MTU MIKOSI! ILA DUA MBAYA NDO SAWA NA KUMUOMBEA MEMA MTU.
HATA HAO MADEREVA WANATAMBUA KUWA WANAWAUMIZA WANANCHI, WANAJUA KUWA WATANZANIA WANAUMIA ILA HAWAWEZI KUSEMA WAKILINDA UGALI WAO.
its just nonsense. Hata sisi tunaoona yanayoendelea hatuna utashi wala ujasiri wa kusimama kukemea uhuni huu. Bunge lipo bubu, wananchi bubu, wasomi bubu, tumebaki kulia lia nyuma ya keyboard.
 
its just nonsense. Hata sisi tunaoona yanayoendelea hatuna utashi wala ujasiri wa kusimama kukemea uhuni huu. Bunge lipo bubu, wananchi bubu, wasomi bubu, tumebaki kulia lia nyuma ya keyboard.
Ndo uhalisia Mkuu
 
Nimehasabu magari nimeishia kuona gari 101, hizo nyingi ni gari za machawa, wanajihudumia wenyewe.
mtu mmoja alipata142 hata kama ni machawa wanaweza wasinunue mafuta lakini wanacho cha kuchukua kwa serikali.
 
Back
Top Bottom