Rais Samia na msafara wa Magari zaidi ya 150, tulipe tozo nchi ijiendeshe
sidhani Watanganyika wengi hawana wivu na nafasi ya mtu na hasa katika nafasi ya Urais ila wanatamani kuona ushawishi mnzuri wa matumizi ya mzigo wa serikali wanaoubeba basi.
Mtu mmoja alisema hawa watanganyika hawahitaji uwawekee Ac kwenye nyumba zao bali mazingira rafiki kwa maisha yao ya kila siku.
sasa wakiona matumizi si ya lazima nafsi zao zinaumia hata kama hawawezi kusema.
Kama kulikuwa na uhitaji wa watu wote hao walishindwa kukodi hata costa usafiri unaoweza kuchukua watu wengi kwa pamoja.?
boss angetembea na msafara wake tuliouzoea kisha wengine wangejaa kwenye costa.
tabu kwakuwa tulikuwa mikoa hatarishi kwa kadri ya miungu ya wengi hivyo inawezekana kulikuwa na idadi ya kamati ya ufundi ili mambo yakae sawa.
 
Rais wetu namfananisha na Marie Antoinette Mke wa King Lousi wa Ufaransa kabla ya Mapinduzi.

Rais anasisitiza sana tulipe Tozo na kodi ili nchi ijiendeshe yenyewe bila mikopo. Wakati huo huo yeye akiwa ndio mtumaiji mbaya wa hizo pesa na akiwa na matumizi ya anasa, akiwa anatumia Ikulu mbili za Dodoma na Dar es salaam, akiwa na msafara mkubwa kuliko sasa kiongozi yoyote yule Afrika na Duniani.

Ukiangalia huo msafara ni inatisha, huwezi amini kuna shule hazina matundu ya vyoo na tunangoja USAID watujengee.

Wacha utoto, humjui Antoinette. Samia ni Rais wetu, tumemchagua. Nji yetu ni kubwa, Kyaka hadi mMikinani kilometa 3000, Holili hadi Tunduma kilometa 3000. Ni sawa ba Nji 6 za Ukaya UK hadi Poland. Anahitaji gari 4 office yake tu, zingine 4 kwa Heads of Depts, gari 5 za Ulinzi. Kaenda Sumbawanga, kuna Wabunge 14 Mkoa wa Rukwa na 20 mkoaxwa jirani wa Katavi na 30 Mkoa wa Shinyanga Tabora na Simiyu. Kuna CRDB, TRA, TANESCO, Ghala la Mazao, Mufti na Askofu watano watano. Na watendaji - DED, DC, RMO, RSO, QRS, XYZ, TRA, na Seminary za Itaga na Kipalapala na Mwazye kwa Pengo. Na Pengo mwenyewe na Mufti kumi kumi na Maparoko 17. Unapata ngapi? Ni Rais wao, wanampenda, lazima waje.
 
Rais wetu namfananisha na Marie Antoinette Mke wa King Lousi wa Ufaransa kabla ya Mapinduzi.

Rais anasisitiza sana tulipe Tozo na kodi ili nchi ijiendeshe yenyewe bila mikopo. Wakati huo huo yeye akiwa ndio mtumaiji mbaya wa hizo pesa na akiwa na matumizi ya anasa, akiwa anatumia Ikulu mbili za Dodoma na Dar es salaam, akiwa na msafara mkubwa kuliko sasa kiongozi yoyote yule Afrika na Duniani.

Ukiangalia huo msafara ni inatisha, huwezi amini kuna shule hazina matundu ya vyoo na tunangoja USAID watujengee.

duuh
 
Ole wako ukosoe matendo hayo,Chawa lazima wakurarue.Hizo raha wanazojipa hakuna mwanadamu anaweza kibali kuziachia.Wameshika mpini,lazima tuongeze mbinyo kama Wakenya.
Ni kweli Mkuu wanakula starehe hata wasipoenda Mbinguni basi wamefaidi sana.
 
Rais wetu namfananisha na Marie Antoinette Mke wa King Lousi wa Ufaransa kabla ya Mapinduzi.

Rais anasisitiza sana tulipe Tozo na kodi ili nchi ijiendeshe yenyewe bila mikopo. Wakati huo huo yeye akiwa ndio mtumaiji mbaya wa hizo pesa na akiwa na matumizi ya anasa, akiwa anatumia Ikulu mbili za Dodoma na Dar es salaam, akiwa na msafara mkubwa kuliko sasa kiongozi yoyote yule Afrika na Duniani.

Ukiangalia huo msafara ni inatisha, huwezi amini kuna shule hazina matundu ya vyoo na tunangoja USAID watujengee.

Yanafika 700 hayo
 
Hayo Mafuta yangechimba Visima vingapi?!
ph_30468_111097.jpg
 
Back
Top Bottom