imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Hizo Pesa wanazichoma wakati Watanzania wanakunywa Maji ya kwenye madimbwi.Prado moja kuzunguka Mkoa mzima full A/C ni zaidi ya milioni tano.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo Pesa wanazichoma wakati Watanzania wanakunywa Maji ya kwenye madimbwi.Prado moja kuzunguka Mkoa mzima full A/C ni zaidi ya milioni tano.
Huwezi aminiHizo Pesa wanazichoma wakati Watanzania wanakunywa Maji ya kwenye madimbwi.
Inasikitisha sanaHizo Pesa wanazichoma wakati Watanzania wanakunywa Maji ya kwenye madimbwi.
Tukisema tunawindwa na kutupwa Katavi.Huwezi amini
We acha tu.....kando kamdo ya mito ya babeli( ya mamba)Tukisema tunawindwa na kutupwa Katavi.
😄 🤣Siku akistaafu atawaacha watanzania bado maskini alafu akikumbuka haya matumizi ataandika kitabu kuomba radhi,
Kazi kweli kweli.Rais wetu namfananisha na Marie Antoinette Mke wa King Lousi wa Ufaransa kabla ya Mapinduzi.
Rais anasisitiza sana tulipe Tozo na kodi ili nchi ijiendeshe yenyewe bila mikopo. Wakati huo huo yeye akiwa ndio mtumaiji mbaya wa hizo pesa na akiwa na matumizi ya anasa, akiwa anatumia Ikulu mbili za Dodoma na Dar es salaam, akiwa na msafara mkubwa kuliko sasa kiongozi yoyote yule Afrika na Duniani.
Ukiangalia huo msafara ni inatisha, huwezi amini kuna shule hazina matundu ya vyoo na tunangoja USAID watujengee.
Tumia akili.Hapa tunaongelea mqtumizi mabaya ya fedha za walipa kodi.Ingekuwa vema msafara wa Mbowe tuone ukiwa umejaza punda tu ili kubana matumizi
Magari 150 kila gari wastani watu 6 bado mabasi yanayo somba wana ccm jumla ni zaidi ya watu elfu 3000 wana pelekwa kwenye mikutano ya ccm ..sababu ya kufanya hivi ni kwamba huyo haramia SA100 hakubaliki hata na asilimia 10% ya watanzania
Ruzuku ni hela za walipa nini?Tumia akili.Hapa tunaongelea mqtumizi mabaya ya fedha za walipa kodi.
Kama kawaidaSiku akistaafu atawaacha watanzania bado maskini alafu akikumbuka haya matumizi ataandika kitabu kuomba radhi,
Sio chini ya gari 160Nimehasabu magari nimeishia kuona gari 101, hizo nyingi ni gari za machawa, wanajihudumia wenyewe.
Hawatumii pesa zao mkuu, hizo zote ni kodi zetu yakiwemo hayo magari wanayo tamba nayo.Nimehasabu magari nimeishia kuona gari 101, hizo nyingi ni gari za machawa, wanajihudumia wenyewe.
Waafrica including you siyo wajinga, wajinga ni watawala. Waafrika wengine wanapambana kujikomboa na utawala usiowajibika e.g. Gen ZNi lini tutaondoka a na huu upumbavu ? Hizi gharama za kuendesha huu msafara hazitoshi hata kujenga matundu ya vyoo kwenye mikoa wanayo ongoza kujisaidia vichakani au kwenye shule zenye uhaba wa vyoo ?
Huu msafara wote ni wa nini ? Africans we are FOOLISH AND WAJINGA SANA