Rais Samia na msafara wa Magari zaidi ya 150, tulipe tozo nchi ijiendeshe
Rais wetu namfananisha na Marie Antoinette Mke wa King Lousi wa Ufaransa kabla ya Mapinduzi.

Rais anasisitiza sana tulipe Tozo na kodi ili nchi ijiendeshe yenyewe bila mikopo. Wakati huo huo yeye akiwa ndio mtumaiji mbaya wa hizo pesa na akiwa na matumizi ya anasa, akiwa anatumia Ikulu mbili za Dodoma na Dar es salaam, akiwa na msafara mkubwa kuliko sasa kiongozi yoyote yule Afrika na Duniani.

Ukiangalia huo msafara ni inatisha, huwezi amini kuna shule hazina matundu ya vyoo na tunangoja USAID watujengee.

Kazi kweli kweli.
 
Magari 150 kila gari wastani watu 6 bado mabasi yanayo somba wana ccm jumla ni zaidi ya watu elfu 3000 wana pelekwa kwenye mikutano ya ccm ..sababu ya kufanya hivi ni kwamba huyo haramia SA100 hakubaliki hata na asilimia 10% ya watanzania

Gari 150, na kila gari ina watu 6, maana yake ni msafara wa watu 900. Tufanye wanasafiri kishua kila gari watu 4, jumla ni watu 600. Tunapaswa kupunguza idadi ya watumishi wanasafiri na Raisi, pia tupunguze idadi ya magari ya kifahari. Wangeweza kutumia usafiri wa mabasi.
 
Siku akistaafu atawaacha watanzania bado maskini alafu akikumbuka haya matumizi ataandika kitabu kuomba radhi,
Kama kawaida
Nyerere aliomba msamaha
Mkapa alijuta sana
Mwinyi alijuta sana
KIkwete huyu bado anaiba


Dawa ni tuendelee kusomesha watoto
 
Nimehasabu magari nimeishia kuona gari 101, hizo nyingi ni gari za machawa, wanajihudumia wenyewe.
Hawatumii pesa zao mkuu, hizo zote ni kodi zetu yakiwemo hayo magari wanayo tamba nayo.
 
Ni lini tutaondoka a na huu upumbavu ? Hizi gharama za kuendesha huu msafara hazitoshi hata kujenga matundu ya vyoo kwenye mikoa wanayo ongoza kujisaidia vichakani au kwenye shule zenye uhaba wa vyoo ?
Huu msafara wote ni wa nini ? Africans we are FOOLISH AND WAJINGA SANA
 
Haya maajabu utayapata kwenye nchi za Kiafrika pekee. Viongozi wanaishi maisha ya anasa, halafu kutwa wanatembeza bakuli kuomba misaada.
 
Ni lini tutaondoka a na huu upumbavu ? Hizi gharama za kuendesha huu msafara hazitoshi hata kujenga matundu ya vyoo kwenye mikoa wanayo ongoza kujisaidia vichakani au kwenye shule zenye uhaba wa vyoo ?
Huu msafara wote ni wa nini ? Africans we are FOOLISH AND WAJINGA SANA
Waafrica including you siyo wajinga, wajinga ni watawala. Waafrika wengine wanapambana kujikomboa na utawala usiowajibika e.g. Gen Z
 
Back
Top Bottom