Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Yule ni businessman chopa mahala pake.Kama Mbowe hana Cheo chochote Serikalini anakodi chopa na kusindikwaza na msululu wa magari sembuse Rais? 😂😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule ni businessman chopa mahala pake.Kama Mbowe hana Cheo chochote Serikalini anakodi chopa na kusindikwaza na msululu wa magari sembuse Rais? 😂😂😂😂
Basi mwambie mwananchi alete utaratibu wa kutokuwa na Rais Wala Mawaziri Ili Kila kitu afanye yeye asilalamikeAnaye lalamika ni mwananchi anaye gharamia hayo magari kwa tozo na kodi za kishenzi shenzi , hayo hayagharamiwi na pesa za mshahara wa samia na kundi lake, usijitoe ufahamu na muwe na heshima kwa wananchi walio waweka hapo, halafu baadae mmesha iharibu nchi mumezeeka ndio mnajifanya washauri wazuri wakati kwasasa mnashirikiana kutumia pesa hovyo kwa mambo ya kijinga wakati kuna vituo vya afya vikubwa tuu vinahudumia mamia kwa mamia hakuna hata mashine moja ultrasound na kuna watanzania wanakufa kwa maradhi ambayo serikali ingekuwa ina mipango thabit wala wasinge kufa. shwain
Sijui hata kama umeelewa mantiki ya uzi.Msururu wa magari upunguzwe na matumizi yasiyo na tija yataji-rectify.Wigwa manangwa?Basi mwambie mwananchi alete utaratibu wa kutokuwa na Rais Wala Mawaziri Ili Kila kitu afanye yeye asilalamike
Anaelewa vizuri tuSijui hata kama umeelewa mantiki ya uzi.Msururu wa magari upunguzwe na matumizi yasiyo na tija yataji-rectify.Wigwa manangwa?
Huyu wakili wa serikali kilaza sana.Anatetea jambo huku yeye mwenyewe anachekea tumboni.Anaelewa vizuri tu
Naaam!Kama kwenye mazishi ya Queen Elizabeth.Kila gari ina dereva na abiria mmoja au wawili. Napendekeza usafiri wa jumla kwa viongozi, watumie mabasi..!
HahahaaHuyu wakili wa serikali kilaza sana.Anatetea jambo huku yeye mwenyewe anachekea tumboni.
Mkuu huyo ana kinga ya kikatiba ya kutoweza kushtakiwa hata kama akiboronga kwa namna gani!Nimesghangaa sana huko Rukwa na ukiangalia bei za ...
Kwani nchi zote zinazo tuzunguka Rais anazunguka na baraza la mawaziri! ? Inamaana CCM imeshindwa kabisa kupata mawazo mampya jinsi ya kupunguza matumizi kwenye ziara za Rais ? Kwani kazi ya waziri ni kuzunguka na Rais kweny ziara zake? Tukiwaambia mna akili ndogo na mbinu na mawazo yaliyo pitwa na muda kwenye ulimwengu wa kisasa mnakataaje ?nchi hii ni nchi ya kuzurura na magari zaid ya 100 kwenye msafara ilihali bado nchi imeandamwa na matatizo meeengi sana ya kijamii, 75% pesa ya kodi inahudumia wanasiasa ambao ni consumers na sio producers ? Hesabu zenu hapo zimekaaje nyie makada? Au kwa sasa akili imejifunga itafunguka baada ya kuachana na utumishi wa umma.Basi mwambie mwananchi alete utaratibu wa kutokuwa na Rais Wala Mawaziri Ili Kila kitu afanye yeye asilalamike
Mama kasahau alipandishwa basi uingereza 😂 , hakujifunza kwanini walipandishwa basi ,lile lilikuwa somo kwanza wajifunze lakini kwakuwa vichwa vina kutu hawakujifunza chochote.Kila gari ina dereva na abiria mmoja au wawili. Napendekeza usafiri wa jumla kwa viongozi, watumie mabasi..!
Hivi wewe ni chawa au mzarendo??Pole
Siko kokoteHivi wewe ni chawa au mzarendo??
Ndio wanazunguka nao.Pili Rais hazunguki na Baraza na Mawaziri maana hakunaga Ziara ambayo inahusisha Mawaziri wote Kwa pamoja.Kwani nchi zote zinazo tuzunguka Rais anazunguka na baraza la mawaziri! ? Inamaana CCM imeshindwa kabisa kupata mawazo mampya jinsi ya kupunguza matumizi kwenye ziara za Rais ? Kwani kazi ya waziri ni kuzunguka na Rais kweny ziara zake? Tukiwaambia mna akili ndogo na mbinu na mawazo yaliyo pitwa na muda kwenye ulimwengu wa kisasa mnakataaje ?nchi hii ni nchi ya kuzurura na magari zaid ya 100 kwenye msafara ilihali bado nchi imeandamwa na matatizo meeengi sana ya kijamii, 75% pesa ya kodi inahudumia wanasiasa ambao ni consumers na sio producers ? Hesabu zenu hapo zimekaaje nyie makada? Au kwa sasa akili imejifunga itafunguka baada ya kuachana na utumishi wa umma.
Ni ngumu kupungua maana inategemea na shughuli inayohusika.Sijui hata kama umeelewa mantiki ya uzi.Msururu wa magari upunguzwe na matumizi yasiyo na tija yataji-rectify.Wigwa manangwa?
Mahali gani magari huwa machache kwa Tanzania?Labda,anavyotoka chumbani kwenda sebuleni kupata chai.🤔Ni ngumu kupungua maana inategemea na shughuli inayohusika.
Kwani Kila mahala Rais Huwa na msururu wa magari kama unavyosema? Si ni kwenye matukio machache ya ziara rasmi za kikazi au?