Rais Samia nakushauri watose sasa Spika (Tulia) na PM (Majaliwa), sakata la bandari limekumaliza kisiasa!

Ni mgeni huko, kaletwa na JK jana tu, hajawahi kufanya kazi serikalini hata kwao huku kaingizwa juzi tu na Amani Karume wakawa serikali moja na kina Jussa. Nchi yao tu Zenji haijui vizuri sembuse Tanganyika? Kuna speech yeye mwenyewe anawaeleza vijana wa UVCCM akiwa MAKAMU, aliwaambia kaingia ukubwani tu tena kwa kujaribu kugombea uwakilishi mwaka 2001
 
Tulia anafanya makusudi ili Rais aaibike.

Yule ni wa kuwa naye makini.
 
UKIONA BUNGE LINATEMBELEWA SANA NA WAGENI ,PIERE MARA MANDONGA ,POSHYQEEN SJUI BABALEVEL MWIJAKU STEVEN NYERERE ,MARA SIJUI MANARA ANAENDA BUNGENI KUWAONESHA
WAKE ZAKE
BASI HAPO HAKUNA BUNGE ILA NI SEHEMU TU YA WAO KUBURUDIKA

ova
 
Ma lawyer shikamoo. Hawa viumbe wakitaka kukutoa kwenye reli wanakuuliza kijiswali la kukupandisha jazba. Kuna kipindi kile kijukuu Cha kizungu kilimuuliza mruma ili kumtoa kwenye reli and I quote.
Kijukuu kiliuliza 'is that what your lawyer taught you'? Mzee mzima ung'eng'e mfukoni.
Hata Kama alivuna hizo per diem na kuvaa suti Kali, lakini mavi debe.
 
Mkataba/makubaliano vyote ni sawa tu kwa muktadha wa suala la DPW. Inategemea lugha ya mtumiaji wa maneno hayo.
 
Nilisema mimi kuwa hili sakata la DP World ndiyo litatumiwa na wahafidhina wa CCM kumtengenezea Samia kitanzi ajimalize mwenyewe
 
Sio hao tu mkuu,CCM na serikali yake should go in it's etirerity,miaka sitini(60) ya Uhuru wameshindwa kabisa kuiletea Tanzania maendeleo chanya pamoja na resources zake nyingi:ni ufisadi tu,mikataba mibovu,kushirikiana na mabeberu kuharibu elimu,kuharibu Kilimo, afya za watu nk.nk..Tulipaswa kimaendeleo kuwa mbali sana.Waondoke,we want our Tanganyika back.
 
Da Joy inglishi noti richabo kabisa
 
2025 Majaliwa atakuwa ametimiza miaka 10 akiwa Waziri Mkuu, sidhani kama mama atamuongezea muda tena. Labda kwa huyu Miss wa bunge.
 
Kwa hiyo bora angebaki Ndugai tu? Kuliko Tulia
 
Nimemkubali Samia kama mama, mzazi na mlezi, mwenye huruma...
Tatizo ni zile kelele na hila kutoka ndani. It is unfortunate! Kama dhambi si yake mbingu ataiona.
 
Mkataba/makubaliano vyote ni sawa tu kwa muktadha wa suala la DPW. Inategemea lugha ya mtumiaji wa maneno hayo.
Wewe kasome ripoti ya Sekretariet ya bunge.., halafu kajibizane nao. Kwamba serikali ilikuwa inapinga nini kwamba si mkataba bali ni makubaliano?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…