Rais Samia: Sifurahii Mgogoro wa Yanga na Feitoto. Nataka umalizike

Inawezekana mpira unaufuatilia ukubwani, serikali hairuhusiwi kuingilia maswala ya kisheria ya mpira wa miguu kwa mujibu wa sheria za FIFA, ipo hivyo ina itabaki kuwa hivyo kwa mujibu wa FIFA hata kama kichwa chako ukikitia ugumu kuelewa.
Hivi unajuwa kama Sepp Blater alikamatwa na serikali kwa mambo ya mpira?

Wewe jizime data tu waulize kina Michael Wambura amenyooka sasa.
 
Pamojq na kwamba mliiwakilisha nchi kwa kiasi chake na mkapewa zawadi kede kede mpka ndege mkapewa lakini bado club ya Yanga mna fedheha kubwa inawagubika na kuwaumbua . Dhana yangu ni nini Wakati Dr Samia Sulhu Hasanai yuko katika kuponya majeraha na kuondoa migogoro na makovu yaloachwa na mwenda zake kwenye taasisi mashirika na nchi mbalimbali nyinyi hamuyaoni matunda ya Raisi zaidi sana nyinyi ndio mnaku viongozi wapinzani dhidi ya Raisi .

Leo Yanga sports club mmeabisha kama mmeelewa Dr samia suluhu alilolizungumza haiwezekani suala la Katoto kamoja ata kasiko na madhara kwa timu mnalicha mpk raisi analiingilia na kutoa tamko .Uongozi wa yanga hii ni aibu kubwa kwenu maaana kwa sasa hata mkienda kulitolea maamuzi suala la Feisal salumu kwenye club mtaonekana mmefanya sababu ya shinikizo la raisi kuwaambia mlimalizi mlishindwa kumaliza suala hili kabla hata ya raisi kuliingilia?

Maamuzi mtakaoyafanya kwa sasa ni kuonesha dhahiri kua mlishindwa kujismamia mpaka kiongozi wa nchi awaambia hapa mnafanya makosa hili liwaandee Taasisi ,mashirika na watu binafsi wote tekelezeni wajibu wenu sio kila kitu mpka mkuu wa nchi atoe maamuzi kwenye mambo madogomadogo nia aibu inapotokea suala kama la leo kwa yanga Africa
 
Waliokuwa wanasema Yanga ni ya kwanza kufika fainali Mama anewapa jibu safi kuwa Simba ilishafika hapo miaka 30 iliyopita!
 
Iko hivi,Leo watalahi,wataondoka kesho asubuhi,na ndege,mkuu wa nchi kawapa ndege ya kuwapeleka mbeya,isiwe na shaka na Hilo mkuu
 
Hata huo Uislamu wenyewe wewe unatumiwa tu lkn wenzako wala siyo Waislamu kihivyo ni jina tu kuwadanganya ingekuwa ni Waislamu kweli wasingeruhusu Ushoga, …
BBC News, Swahili
Ruka hadi maelezo
Yaliyomo
HabariMichezoMakalaAfyaBurudaniVideoVipindi vya Redio
Papa 'aashiria kuunga mkono' ndoa za watu wa jinsia moja
22 Oktoba 2020

CHANZO CHA PICHA,REUTERS
Maelezo ya picha,
Kauli ya Papa Francis inatofautiana msimamo wake wa awali kuhusu haki ya wapenzi wa jinsia moja

Kiongozi wa Kanisa katoliki duniani Papa Francis amesema kwamba anafikiria wapenzi wa jinsia wanastahili kuruhusiwa "kuoana".

Wachambuzi wanasema kauli yake hiyo imeashiria wazi msimamo wake kuhusu uhusiano wa kimapenzi wa watu wa jinsia moja, katika makala yaliyoelekezwa na Evgeny Afineevsky.

"Watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja wana haki ya kuwa na familia,"alisema katika filamu, ambayo ilioneshwa kwa mara ya kwanza siku ya Jumatano.

"Ni watoto wa Mungu nawana haki ya kuwa na familia. Hakuna mtu anayestahili kutengwa ama kufanywa ajihisi mnyonge kwa kuamua kuwa katika uhusiano wa aina hiyo.

"Tunachopaswa kuunda ni sheria ya umoja wa kiraia. ili kuwalinda kisheria."

Ameongeza kwamba "aliunga mkono wazo hilo", akiashiria nyakati alipokuwa Askofu mkuu wa Buenos Aires, akisema japo alipinga ndoa ya wapenzi wa jinsia moja katika sheria, aliunga mkono ulinzi wa kisheria kwa wapenzi wa jinsia moja.

Filamu ya Francesco, inayoangazi amaisha na kazi ya Papa Francis, ilioneshwa kama sehemu ya Tamasha la Filamu la Roma.

Unaweza pia kusoma:
Papa 'ahofia' makasisi wapenzi wa jinsia moja
Vatican yapinga dhana ya mapenzi ya jinsia moja
Japo kauli ya Papa kuhusu ulinzi wa kisheria kwa wapenzi wa jinsia moja iliangaziwa, filamu hiyo pia inamuonyesha akiwahimiza wanaume wawili mashoga kuhudhuria kanisa na watoto wao watatu.

Muandishi wa Biografia ya Papa Francis, Austen Ivereigh, ameiambia BBC kwamba "hakushangazwa" na kauli hiyo ya hivi punde.

"Huo ulikuwa msimamo wake alipokuwa Askofu Mkuu wa Buenos Aires," alisema Bw. Ivereigh. "Siku zote alikuwa akipinga ndoa ya wapenzi wa jinsia moja. Lakini aliamini kanisa linapaswa kutetea sheria ya kuwalinda wapenzi wa jinsia."

Chini ya mafundisho ya sasa ya Katoliki, uhusiano wa wapenzi wajinsia moja unaangaziwa kama "tabia potofu"

Mwaka 2003, shirika la mafundisho la Vatican, Usharika wa Mafundisho ya Imani, lilisema kwamba "heshima kwa watu wa jinsia moja haiwezi kwa njia yoyote kuidhinisha ya uhusiano wa wapenzi wa jinsia moja au kutambuliwa kisheria kwa vyama vya wapenzi wa njinsia moja".


Msimamo uliopita wa Papa kuhusu mapenzi ya jinsia moja ulikuwa upi?

Tamko la Papa la hivi karibuni ni msururu wa maoni ambayo ametoa kuhusu haki za wapenzi wa jinsia moja - akiangazia msaada wanaostahili kupewa, lakini hajaidhinsha moja kwa moja mahusiano ya kimapenzi ya aina hiyo.

Mwaka 2013, katika kitabu cha Heaven and Earth, Papa alisema kuwa kusawazisha kisheria mahusiano ya jinsia moja na ndoa za jinsia moja itakuwa "upungufu wa kianthropolojia".

Pia alisema ikiwa wanandoa wa jinsia moja wataruhusiwa kuasili, "watoto huenda wakaathitika ... kwami kila mtu anahitaji kuwa na baba wa kiume na mama wa kike ambao wanaweza kuwasaidia utambulisho wao''.


Maelezo ya video,
"If a person is gay and seeks God and has good will, who am I to judge?"

Mwaka huo huo,alisisitiza msimamo wa Kanisa kwamba vitendo vya ushoga ni dhambi, lakini akasema mwelekeo wa ushoga sio.

"Ikiwa mtu anashiriki mapenzi ya jinsia moja na anamtafuta Mungu kwa nia njema, mimi ni nani nimhukumu?,"aliuliza.

Mwaka 2014 iliripotiwa kuwa Papa Francis aliashiria kuunga mkono ndoa ya wapenzi wa wa jinsia moja katika mahojiano, lakini ofisi yake ya mawasiliano ilikanusha taarifa hizo.

Na mwaka 2018, Papa Francis alisema "ana hofu" kuhusu mapenzi ya jinsia moja miongoni mwa makasisi akiongeza kwamba ni "jambo zito".

Habari kuu
Moja kwa moja“Mackenzie hatatoka gerezani tena, atazeeka huko” - Waziri
Ubelgiji yachunguza kama silaha zake zimetumika kushambulia ardhi ya Urusi
Saa 3 zilizopita
Kati ya washambuliaji hawa watano mmoja kuziba pengo la Benzema Madrid
Saa 4 zilizopita
Gumzo mitandaoni

Kwa nini tunashikwa na homa? na ni wakati gani inapaswa kuchukuliwa kwa umuhimu mkubwa?
3 Juni 2023

Hakuna suluhu ya Sudan inayoweza kudumu hadi wapiganaji waondoke mji mkuu - jeshi
Saa 8 zilizopita

UFO: Mambo matano yaliyofichliwa katika kikao cha jopo la NASA
2 Juni 2023

Kifahamu Chuo Kikuu cha kwanza na kikongwe zaidi duniani kilichotokana na msikiti
2 Juni 2023

Kwa nini shambulio kubwa na la nguvu lililotangazwa na jeshi la Ukraine dhidi ya Urusi halijaanza mpaka sasa?
2 Juni 2023

Vita vya Ukraine: Zifahamu rasilimali 5 zilizopokwa na Urusi huko Ukraine mpaka sasa
1 Juni 2023

Pande mbili za mji mkuu wa Somalia Mogadishu
31 Mei 2023

Fahamu fukwe bora za bahari duniani mwaka 2023
31 Mei 2023

Miradi ya utajiri wa haraka: Hizi ni ishara tano kwamba unatapeliwa
30 Mei 2023
Iliyosomwa zaidi
BBC News, Swahili
Kwanini unaweza kuiamini BBC News
Sheria ya matumizi
Kuhusu BBC
Sera ya faragha
Cookies
Wasiliana na BBC
Do not share or sell my info
© 2023 BBC. BBC haihusiki na taarifa za kutoka mitandao ya nje. Soma kuhusu mtazamo wetu wa viambatanishi vya nje
 
Kiukweli mwanangu una mwandiko mbaya.

Jaribu kuweka aya ili ueleleweke vizuri.

Samahani mkuu kama nitakua nimekukwaza.
 
Nchi isiyo na mafanikio yoyote yale yaliyo ya maana, kwenye nyanja yoyote ile, inaona timu kufikia fainali ya kakombe kaliko obscure duniani kuwa ni mafanikio?

Pity the fools.

Na wewe unachukua mda kujadili fools, very stupid
 
Waliokuwa wanasema Yanga ni ya kwanza kufika fainali Mama anewapa jibu safi kuwa Simba ilishafika hapo miaka 30 iliyopita!
Hivi unadhani huyu mama ni boya kama makolo?

Viongozi wa Simba wako pale amewapoza tu kwa kusema simba iliwahi kufika level ya Fainali na siyo Fainali ya Confederation cup.
 
Hivi unajuwa kama Sepp Blater alikamatwa na serikali kwa mambo ya mpira?

Wewe jizime data tu waulize kina Michael Wambura amenyooka sasa.
Serikali gani iliyomtia hatiani? FIFA inajiendesha yenyewe mambo yake , hata US na EU ilitia ngumu World Cup isifanyike Russia na bado ikafanyika. Sasa Super kama US pamoja na washirika wake EU,ila kwa FIFA waligonga mwamba. FIFA kwenye mpira maamuzi yake huwaga ya mwisho, labda turudi kwenye zile tabia zetu za kuoneana huruma tuongee ila kisheria Rais hana mamlaka kwenye mpira wa miguu.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
 
Kiukweli mwanangu una mwandiko mbaya.

Jaribu kuweka aya ili ueleleweke vizuri.

Samahani mkuu kama nitakua nimekukwaza.
Umemkwaza vipi na ndio ukweli wenyewe.

Halafu hapo mwenyewe anaona ameshusha nondo kumbe ni ushuzi wa bata tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…