Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitaka na tbc waonyesheKwa nini azam pekee ndio warushe live.........upuuuz huu
Thamani ya Ardhi wanayoomba Yanga per square meter tena town, basi utakuwa ni kichaa kumganda Fei Toto.Umeandika ukweli ombi la Rais wa nchi hua ni amri hapo upende usipende lazima watekeleze tena bila kudai hata mia mbovu
Dini kiaje mkuuYani dini na siasa zimechanganywa pamoja ,
Upumbavu huu
Kwani hii yanga ni timu ya TAIFA
Hii nchi inachezewa san
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Kama una akili za kuvukia barabara tu huwezi kuelewa ombi la Rais Samia.SELIKALI na mpira ni vitu viwili tofauti.
Yeye ameshauri tu Wala hajafanya maamuzi yoyote.
Kwa hiyo kuishia robo ndo ubingwaNchi isiyo na mafanikio yoyote yale yaliyo ya maana, kwenye nyanja yoyote ile, inaona timu kufikia fainali ya kakombe kaliko obscure duniani kuwa ni mafanikio?
Pity the fools.
Yanga inavuna ilichopanda. Hii tabia ya hizi timu kuwakumbatia wanasiasa lazima wawaachie harufu.Rais Samia ameitega Yanga ametowa ombi kwa uongozi wa Yanga kuhusu sakata la Fei Toto liishe.
Ikumbukwe Yanga imemuomba Rais maombi ambayo yana thamani zaidi ya Feitoto.
Na tukubali ukweli hivi kuna kiburi gani mwenye jeuri ya kukataa ombi la Rais? tena Rais muungwana kama Samia?
Pia tufahamu nje ya Mtanzania hawa ni Wazanzibar, mama ameomba ombi kistaarabu na kiungwana uongozi wa Yanga umuheshimu mama ikiwezekana kesho aachwe huru aende anapotaka bila kuchukuwa hata mia lakini Karma itamfuata hukohuko aendako.
Cc: Pascal Mayalla
Usiturudishe nyuma, Feisal ndio kiburi hataki kukaa meza moja na Yanga.Mwenyewe naona ni ushamba uliopo
Alipozingua CR7 utd walimalizana nae kila mmoja akasepa kivyake. ..image ya utd imebakia na ya CR7 imebakia.
Yanga angevunja mkataba nakumuachia dogo aende zake or wangekaa mezani wakalipana kl moja asepe. ..inshu ilipo inaharibu images zao wote. ..yanga and Fei toto pia
Mm sioni tatizo Yanga wakipewa eneo wajenge uwanja ila hii isiwe sababu ya kuachana na Fei.Ulikuwa thamani ya Ardhi wanayoomba Yanga per square meter tena town, basi utakuwa ni kichaa kumganda Fei Toto.
Kwa sheria za Tanzania Ardhi ni Mali ya Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Unataka wahamie kwenye ukristo wahubiri Papa kuruhusu midume mmfirane huko
Ficha ujinga wako,watanzania hawako hivyo.Hawajali chochote kuhusu nchi its is all about power, hapo mbinu ni kuwateka washabiki wote wa Yanga ili wampiganie na kumtetea, anajaribu kila awezalo abakie, kama mnakumbuka alipoingia na kuona mambo magumu alikuja na machief akataka kuleta mambo waliotumia Wakoloni akitaka kufufua uchief ili wampiganie kikabila ikabumu sasa kaingia kwenye mpira mwisho wa siku its all about power na haina uhusiano wowote na football wakishindwa kila kitu watahamia kwenye Uislamu ni swala la muda tu, na huo ndio utakuwa mwisho wa Tanzania, wanaingiza hii nchi shimoni kwa uroho wa madaraka, …
Unajuwa mmiliki wa timu ya Yanga ni nani?Yanga inavuna ilichopanda. Hii tabia ya hizi timu kuwakumbatia wanasiasa lazima wawaachie harufu.
Nini kufika fainali hata kwenda kupokea ile ndege yetu mupyaa pale JKN airport juzi ni bonge la mafanikio.Nchi isiyo na mafanikio yoyote yale yaliyo ya maana, kwenye nyanja yoyote ile, inaona timu kufikia fainali ya kakombe kaliko obscure duniani kuwa ni mafanikio?
Pity the fools.