Rais Samia: Sifurahii Mgogoro wa Yanga na Feitoto. Nataka umalizike

Rais Samia: Sifurahii Mgogoro wa Yanga na Feitoto. Nataka umalizike

Mwenyewe naona ni ushamba uliopo
Alipozingua CR7 utd walimalizana nae kila mmoja akasepa kivyake. ..image ya utd imebakia na ya CR7 imebakia.
Yanga angevunja mkataba nakumuachia dogo aende zake or wangekaa mezani wakalipana kl moja asepe. ..inshu ilipo inaharibu images zao wote. ..yanga and Fei toto pia
 
Yanga simamia taratibu za mpira, Kama hawezi kuja na kuongea kumaliza suala yeye basi mkamalizane CAS.
Naona B ushungu anataka kupapasa makalio sasa...!
 
Mama na shangazi wanamtete mtoto wa baba, nawaza nje na hii michezo tu. Kuna uwezekana zanzibar wanaona kama wa bara wanawanyanyasa hivi.
 
Rais Samia ameitega Yanga ametowa ombi kwa uongozi wa Yanga kuhusu sakata la Fei Toto liishe.

Ikumbukwe Yanga imemuomba Rais maombi ambayo yana thamani zaidi ya Feitoto.

Na tukubali ukweli hivi kuna kiburi gani mwenye jeuri ya kukataa ombi la Rais? tena Rais muungwana kama Samia?

Pia tufahamu nje ya Mtanzania hawa ni Wazanzibar, mama ameomba ombi kistaarabu na kiungwana uongozi wa Yanga umuheshimu mama ikiwezekana kesho aachwe huru aende anapotaka bila kuchukuwa hata mia lakini Karma itamfuata hukohuko aendako.

Cc: Pascal Mayalla
Yanga inavuna ilichopanda. Hii tabia ya hizi timu kuwakumbatia wanasiasa lazima wawaachie harufu.
 
Mwenyewe naona ni ushamba uliopo
Alipozingua CR7 utd walimalizana nae kila mmoja akasepa kivyake. ..image ya utd imebakia na ya CR7 imebakia.
Yanga angevunja mkataba nakumuachia dogo aende zake or wangekaa mezani wakalipana kl moja asepe. ..inshu ilipo inaharibu images zao wote. ..yanga and Fei toto pia
Usiturudishe nyuma, Feisal ndio kiburi hataki kukaa meza moja na Yanga.

Sasa exchange deal tutabadirishana naye kwa Ardhi ambayo ina thamani zaidi yake Feitoto.
 
Ulikuwa thamani ya Ardhi wanayoomba Yanga per square meter tena town, basi utakuwa ni kichaa kumganda Fei Toto.

Kwa sheria za Tanzania Ardhi ni Mali ya Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Mm sioni tatizo Yanga wakipewa eneo wajenge uwanja ila hii isiwe sababu ya kuachana na Fei.

Kwa hali livyo, Yanga kumng'ang'ania Fei ili kumkomoa hakuna maslahi yoyote kwa Club. Zaidi ya kuonyeshana tu kuwa mm ndo mm.
 
Tuwekeeni na picha za wanafunzi wanaokaa chini kwa kukosa madawati.

Kina mama wajawazito wasio na dawa.

Wazee wastaafu wanaohangaikia mafao.

Tunapumbazwa tu .
 
Ah hamna kumuachia bure labda wampe nafasi ya mwisho ya kuvunja mkataba kwa kufata taratibu .
Serikali haihusiki na hili swala pia lazima sheria ziheshimiwe.
 
Unataka wahamie kwenye ukristo wahubiri Papa kuruhusu midume mmfirane huko

Hata huo Uislamu wenyewe wewe unatumiwa tu lkn wenzako wala siyo Waislamu kihivyo ni jina tu kuwadanganya ingekuwa ni Waislamu kweli wasingeruhusu Ushoga, …
 
Hawajali chochote kuhusu nchi its is all about power, hapo mbinu ni kuwateka washabiki wote wa Yanga ili wampiganie na kumtetea, anajaribu kila awezalo abakie, kama mnakumbuka alipoingia na kuona mambo magumu alikuja na machief akataka kuleta mambo waliotumia Wakoloni akitaka kufufua uchief ili wampiganie kikabila ikabumu sasa kaingia kwenye mpira mwisho wa siku its all about power na haina uhusiano wowote na football wakishindwa kila kitu watahamia kwenye Uislamu ni swala la muda tu, na huo ndio utakuwa mwisho wa Tanzania, wanaingiza hii nchi shimoni kwa uroho wa madaraka, …
Ficha ujinga wako,watanzania hawako hivyo.
 
Nchi isiyo na mafanikio yoyote yale yaliyo ya maana, kwenye nyanja yoyote ile, inaona timu kufikia fainali ya kakombe kaliko obscure duniani kuwa ni mafanikio?

Pity the fools.
Nini kufika fainali hata kwenda kupokea ile ndege yetu mupyaa pale JKN airport juzi ni bonge la mafanikio.
 
Back
Top Bottom