Rais Samia: Sifurahii Mgogoro wa Yanga na Feitoto. Nataka umalizike

Usisahau kwamba kombe linatakiwa bungeni pia, kwahiyo bungeni ni lazima.

Yani safari hii makolo na wavimbe wapasuke.
 
Utakuwa umezoea kujitia kidole wewe.
Aisee kweli kabisa mie nikiwa constipated wala sijisumbui kukaza mishipa, najitia kidole mkunduni ili kimba litoke kiulaini zaidi. Ila leo nimepewa trick mpya kuwa ninywe maziwa mtindi inasaidia kulainisha choo so nitaanza fanya hivyo
 
Maisha haya ......
 
Fei ndio kashaondoka yanga🤣🤣🤣🤣 azam next season anachukua ndoo
 
Hapo kwa Fei toto mama Samia kachemka!
 

upo sahihi kabisa. Lakini unalizungumziaje suala la fifa kuwasimamisha urusi?
 
upo sahihi kabisa. Lakini unalizungumziaje suala la fifa kuwasimamisha urusi?
Udhaifu kwa uongozi wa sasa ila FIFA ilivyojengwa haitakiwi kuingilia maswala ya kisiasa ya nchi yyt na ndio maana hata wao FIFA maamuzi yao hawataki serikali iingilie. Sema sasa hivi kuna udahaifu FIFA still US kama wamefanikiwa kuibana.

Maana alichofanya Russia,ndicho alichofanya US kwa Libya,Iraq na Afghanistan ila US hakuguswa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…