Rais Samia: Sifurahii Mgogoro wa Yanga na Feitoto. Nataka umalizike

KKwa
Huyu ana Uzanzibari sana, anataka fei ahurumiwe kwakuwa ni Mzanzibari. Tusirudie kuwapa hawa wabaguzi uongozi wa nchi,

Hili.likikubalika fifa lazima itufungie kwa kuingiza siasa kwenye mpira
 
Aya Sasa simnasema Mnafata sheria Mara mna utaratibu haya Sasa tuone. Mkikataa maombi ya Rais walahi nyie ni mbinguni moja Kwa moja manina. [emoji23][emoji23][emoji23]

Ukijipendekeza na kuingia kwenye korido za wanasiasa lazima yatakugharimu tuu. Tuone Sasa kama hamtafa matakwa ya huyu mama [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], shida mnakuwa machawa mpaka mnakera na bado [emoji38][emoji38]
 
Hili umelisemea sana lakini watu hawakutaka kuelewa sababu ya ushabiki.Sasa tuone kama Yanga bado watataka kumwambia Fei team inayomtaka ije mezani baada ya maelekezo ya leo .Hapa linakwisha kwa 112M walizozikataa na dogo anasepa zake kiulaini.
Hatma ya fei Toto ,iko kwa mtu mmoja tu,wala sio Rais,uyo akiweka ngumu ,dogo ataendelea kufurukuta
 
Kumg'ang'ania Fei ni ujinga sababu:

Akishinda kesi mnamlipa, Akishindwa kesi either atawalipa kidogo na kama hana uwezo wa kuwalipa labda kufungiwa soka.

Sasa kwanini asipigwe faini akaachwa? Kwa Club hakuna manufaa yoyote kumshikilia ila kama ni kiongozi anataka kuonyesha umwamba wake kwa Fei sawa, auonyeshe tuuone.
Mwingine akilianzisha kama Fei .. mama akiomba tena ? lazima kuwe na nidhamu, yakiendekezwa haya mambo kuna hatari kwenye vilabu vyetu
 
hapa dogo kapata ahueni ila tungemtoa mavvi...KWA HIVI ITABIDI YANGA WAMWACHE BILA MIA YA KUVUNJA MKATABA akazuzrure huko anapopataka
 
Si uende huko Uingereza ukaishi ambako King Charles hawezi kutaja timu anayoshabikia!! Sisi tuache hivyo hivyo, timu hizi 2 huwezi kuzitenganisha na historia ya Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…