Rais Samia: Sifurahii Mgogoro wa Yanga na Feitoto. Nataka umalizike

Waliokuwa wanasema Yanga ni ya kwanza kufika fainali Mama amewapa jibu safi kuwa Simba ilishafika hapo miaka 30 iliyopita!
 
Hapo shughuli ishaisha hiyo soon fei anakuwa huru, nchi za kiafrika raisi ndio kila kitu
 
Inabidi wagawe kikosi, wakina zawadi mauya na wenzake wala mkeka wenzake wakamalizie izo mechi mkoani kikosi cha kwanza kibaki dar kwa ajili ya maandalizi ya mechi ya fainali na azam.
 
Iliyo niuma ni hiyo milioni mia moja tisini za motisha kwenye sekta ya burudani , lakini walio kwenye sekta ya huduma za jamii hawapewi hata mia zaidi ya kutukanwa na wakina mpwayungu wa jamii forums.

One day tutakutana kwenye kwenye ile bandari ya milele asubuhi ile ya milele kwenye haki iliyo haki kweli.
 
Ndiyo shida ya kupokea vya watu mara kanunua goli mara katoa ndege hatimae anaanza kuwaambia nini cha kufanya.
Wenzako wanasema siasa na michezo ni kitu chausahihi😂😂😂. Hawajui kwanini FIFA walipiga marufuku hivi vitu, ngoja tufunzwe na ulimwengu kwanza😂😂
 
Una utapia mlo wewe endelea kuchezea poka za wazungu... Bata Waheed.
Nchi isiyo na mafanikio yoyote yale yaliyo ya maana, kwenye nyanja yoyote ile, inaona timu kufikia fainali ya kakombe kaliko obscure duniani kuwa ni mafanikio?

Pity the fools.
 
hapa dogo kapata ahueni ila tungemtoa mavvi...KWA HIVI ITABIDI YANGA WAMWACHE BILA MIA YA KUVUNJA MKATABA akazuzrure huko anapopataka
Tuko pamoja, uongozi wa Yanga umuache huru Feitoto bila hata kuchukuwa mia yake halafu warudi kwa Rais kumpa mrejesho ombi lake limetekelezwa, bado ombi la Yanga halafu ndio mtaona mama atafanya nini.

Tujifunze kula na vipofu.
 
Hizo ndiyo strategies za siasa sasa siyo zile ambazo Magufuli alikuwa ananunua wabunge wa upinzania kisha kurudia uchaguzi. Au kuua wapinzania
 
Tuko pamoja, uongozi wa Yanga umuache huru Feitoto bila hata kuchukuwa mia yake halafu warudi kwa Rais kumpa mrejesho ombi lake limetekelezwa, bado ombi la Yanga halafu ndio mtaona mama atafanya nini.

Tujifunze kula na vipofu.

Umeona mbali sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…