GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Rais Samia Suluhu amesema Takukuru wamefuta kesi 147 ambazo waliwabambikizia watu. Awataka Polisi kupunguza kesi za kubambikiza.
Chanzo: MwananchiUpadates
Usiombe ushindane Kutongoza Demu ambaye Askari Polisi nae anaitaka Mbunye yake ni lazima tu ama Rumande au Segerea kabisa kutakuhusu kwa Kubambikiziwa Kesi ya Kubaka au Kuuza Bangi au hata Ujambazi.
Heko sana Mheshimiwa Rais Mama Samia Suluhu Hassan kwa kuliona hili kwa Jicho la Kipekee kabisa na Kiumuhimu kwani kuna Watanzania Wenzetu wanaozea na hata Kufia Rumande na Magerezani kwa Kubambikiziwa Kesi na hawa hawa Mandata ( Mapolisi )
Chanzo: MwananchiUpadates
Usiombe ushindane Kutongoza Demu ambaye Askari Polisi nae anaitaka Mbunye yake ni lazima tu ama Rumande au Segerea kabisa kutakuhusu kwa Kubambikiziwa Kesi ya Kubaka au Kuuza Bangi au hata Ujambazi.
Heko sana Mheshimiwa Rais Mama Samia Suluhu Hassan kwa kuliona hili kwa Jicho la Kipekee kabisa na Kiumuhimu kwani kuna Watanzania Wenzetu wanaozea na hata Kufia Rumande na Magerezani kwa Kubambikiziwa Kesi na hawa hawa Mandata ( Mapolisi )