mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
wacha twende tutafika nchi ya ahadi anayotupeleka mama.Huoni hata leo IGP kajikakamua kusema mapato ya usalama barabarani yamepungua kwa vile watu hawafanyi makosa tena. Akidhani ni ujiko kukusanya fine za barabarani. Mh. Rais kamzodoa kwamba wasitegemee fine kama chanzo cha mapato. Bali watoe elimu watu wasifanye makosa.
nchi ambayo kila mtu atabembelezwa achague adhabu ipi inamfaa baada ya kutenda kosa.
mtu anatenda kosa barabarani makusudi anashauri aonywe[emoji23][emoji23][emoji23].
uzuri ni kwamba hazina hakuna biashara inafanyila kule,zinaingia ambazo zilitoka[emoji2223][emoji2223][emoji2223]