Halaiser
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 4,230
- 6,653
Mkuu hili la kuwabambikia Raia kesi ni kashfa kubwa kwa Jeshi lenye jukumu la kuwalinda Raia na mali zao. Ni Raia wangapi waliohukumiwa kwa kesi na ushahidi wa kuwabambikia?? Kwa mfano Raia anakamatwa na kubambikiwa madawa ya kulevya ama silaha. Hapo shahidi ni Polisi na ushahidi ni kile alichodai kamkuta nacho Raia.Mambo mengine tusipende kuwaonea tu watu.hivi mkuu wewe binafsi ukipewa changamoto na bosi wako unaweza kujiuzulu?
Hapa ningeshauri Mama SASHA angeunda Tume chini ya Mawakili Wabobezi kupita kwenye Magereza yote Nchini kuwaibaini wote walioonewa. Ninaamini wako wengi Magerezani.