Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zilongwa mbali zitendwa mbaliAwe mvumilivu kidogo hii ni awamu ya 6!
Hawa TAKUKURU walinichefua siku wana gwaya kuwafungulia mashitaka wanasiasa walonaswa na rushwa kwenye chaguzi za 2020 eti wakadhitakiwe na CCMDidhani Kama Kuna umuhimu wa kuwa na TAASISI YA KUPAMBANA NA RUSHWA TANZANIA. Tunapaswa kuwa na mkuu wa nchi ambaye ndiye atasimama nafasi ya mapambano dhidi ya Rushwa.
Kwa ripoti za TAKUKURU wanazotoaga kwa viongozi wa nchi ukilonganisha na Hali ilovyo Bora tufute chombo hiki kinachonyanyasa watu nakuunda mamlaka nyingine yenye nidhamu.
Hicho chombo kingine kikiundwa watakaofanya kazi huko ni watanzania hawa hawa au aliens? Sisi kama taifa tuna tatizo kubwa sana when it comes to uaminifu na weledi #Doing the right thing hata kama hakuna mtu anakuona! Tuko na safari ndefu sana Mungu atuongoze tu!Didhani Kama Kuna umuhimu wa kuwa na TAASISI YA KUPAMBANA NA RUSHWA TANZANIA. Tunapaswa kuwa na mkuu wa nchi ambaye ndiye atasimama nafasi ya mapambano dhidi ya Rushwa.
Kwa ripoti za TAKUKURU wanazotoaga kwa viongozi wa nchi ukilonganisha na Hali ilovyo Bora tufute chombo hiki kinachonyanyasa watu nakuunda mamlaka nyingine yenye nidhamu.
Yule alikua hamnazoShujaa hapo angewaambia police hao mahabusu wapigeni mateke.
Hii ni baada ya kutakiwa na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan kuondoa kesi za kubambika.
====
Rais Samia Suluhu: Kwenye suala la wingi wa mahabusu, labda niseme kwamba jana nikiapisha majaji nililigusia hili, uharakishwaji wa kesi na nimezitaka taasisi zote ikiwemo jeshi la polisi ambalo uchunguzi unaanza kwenu kuharakisha chunguzi za kesi mbalimbali zilizopo ili kuharakisha kesi kusikilizwa na iadha kufutwa au mtu kuhukumiwa ipasavyo lakini pia niongee na jeshi la Polisi kupunguza kesi za kubambikiza.
Kuna mlolongo mkubwa wa makesi ya kubambikiza, huu ukipungua na mahabusu watapungua, kwasababu wengi wapo wanasubiri kuhukumiwa, kesi haiendi, ushahidi hakuna, mpelelezi anashindwa kupeleka kesi kwasababu hakuna ushahidi.
Niombe sana, nilizungumza hili na TAKUKURU, wameweza kufuta kesi 147 ambazo waliwabambikizia watu, kwahiyo nanyi Jeshi la polisi jikagueni kama kuna za aina hiyo nazo zifutwe ili tupunguze wingi wa mahabusu kwenye majela yetu.
una maana gani? futa hi kitu inahatarisha JFHuyu mama yenu mwacheni aendelee kucheza na mavi