Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahio?Kesi ya Mdude iko mahakamani tofauti na kama ile ya Nusrat Henje!
CCM ina wenyeweMama ni kama ana kigugumizi hivi. Au Kuna manyang'au ya ccm yanamzuia? Mbona anaonekana kuwa na roho Safi na moyo wa msamaha??
Jizi mojawapo ni Kimei, wamelipa na ubunge kabisa, jamaa kaiba sana crdb. Alikuwa anashirikiana na wafanyabiashara wezi kutoa mikopo ya hovyo hovyo huku yeye akipewa 10%.Shida ya maccm ni kulindana majizi ya awamu iliyopita yote yapo uraiani badala ya kuwa jela,yalijifichia kwenye ukali Ili kuficha uhalifu wao.
Polisi wanakulazimisha ufanye kosa la barabarani wakutwange fine.Huoni hata leo IGP kajikakamua kusema mapato ya usalama barabarani yamepungua kwa vile watu hawafanyi makosa tena. Akidhani ni ujiko kukusanya fine za barabarani. Mh. Rais kamzodoa kwamba wasitegemee fine kama chanzo cha mapato. Bali watoe elimu watu wasifanye makosa.
Mwingine Dau hadi kazawadiwa ubalozi akazitumie vizuri baada ya kuifilisi nssf na mwendazake huku wanachama wakikosa pesa zao.Jizi mojawapo ni Kimei, wamelipa na ubunge kabisa, jamaa kaiba sana crdb. Alikuwa anashirikiana na wafanyabiashara wezi kutoa mikopo ya hovyo hovyo huku yeye akipewa 10%.
Huko ﹰMagharibi wenzetu wamefunga ﹰCamera barabarani ukifanya kosa camera ibapiga picha unakuta bili yako kwa email yako issue unathibitisha tu..!! Huku sisi tunataka tuanze ukifanya kosa askari aje kukuelimisha eti umepita kwenye taa nyekundu unatakiwa upite kwenye taa kijani..!! ShubamitiiiiHuoni hata leo IGP kajikakamua kusema mapato ya usalama barabarani yamepungua kwa vile watu hawafanyi makosa tena. Akidhani ni ujiko kukusanya fine za barabarani. Mh. Rais kamzodoa kwamba wasitegemee fine kama chanzo cha mapato. Bali watoe elimu watu wasifanye makosa.
Inatisha sana ndugu,Nchi ikikosa Rais mzuri mifumo yote inakuwa ya kishetani. Akina Igp siro leo wanafanya kazi kwa uhuru kwa mujibu wa sheria za nchi. Wametukosea sana kwa kushiriki maovu na vitendo vibaya wakati wa Ibilisi Jiwe.
Tumia hata hiyo akili kiduchu uliyobakishiwa na yule dhalim.Lisu atulie huko alipo aendelee kulishwa atuache na Rais wetu kipenzi.
Zilongwa mbali zitendwa mbaliKWANI ERYTHROCYTE ANASEMAJE?
Wamezoea unyang'anyi wa kutumia nguvuTeam kayafa washa chukia kwa hatua hii
Zilongwa mbali na zilitendwa mbali
"Bunge la Tanzania ni dhaifu"--- Profesa Mussa AsadLazima tuwe na sheria ya watu wanambambikia watu makosa,hivihivi yatajirudia..Bunge limelala,tungeni sheria,ili suala hamlioni???
Huyo alikuwa hajahukumiwa?Tutajua tu ni akina nani wamefutiwa. Bilashaka ya Nyangali Mdude itakuwemo
Wewe na rais ni nani anayejua zaidi yaliyopo ofisi ya DPP, TAKUKURU na Polisi?Sio kama wanabambikiwa bali ushahidi ulipo ni hafifu kuwatia hatiani.
Kwa hiyo na yeye aendelee kubambikia watu kesi?PAMOJA NAJUHUDI ZOTE HIZO ZA RAIS WETU, AMINI NA WAAMBIA MALIPO ATAKAYO YAPATA MAMA KWENYE SERIKALI YAKE JUU YA UVUNJIVU WA AMANI NA RUSHWA HAUTA SAHAULIKA, SABABU WATANZANIA HATUPO HIVYO NA HUWA TUNATAFUTA WEAK POINT
Dpp hawezi kuweka Nolle kwa mkono wa mama?Kesi ya Mdude iko mahakamani tofauti na kama ile ya Nusrat Henje!