Rais Samia wasikudanganye nikodishie Helicopter nikakuonyeshe Wakubwa Watano waliochepusha Maji ya Mto Ruvu

Na wewe umefanya kipi cha maana? Yule mliyemuita chuma alifanya nini cha maana kwenye maji?
 
Inashangaza mikoa inayozunguka maziwa makuu kama ule wakusambaza maji toka ziwa Victoria Shinyanga mpaka Tabora maji yanasua sua. Mwanza, baadhi ya vitongoji vinapata vingine havipati wiki ya tatu sasa, wananchi wa Magu poleni sana.
Ishu ni pesa sio maji.
 
Kwa nini walitoa Kibali cha kuanzisha kilimo maeneo ambayo haifai?
Ni sawa na unauliza kwanini watu wanapewa vibali kujenga maeneo ya wazi ya michezo na kupumzika?
Au kwanini karakana ya mwendokasi ilijengwa Jangwani eneo linalofurika maji ya mto?

Jibu: Wahusika kwenye taasisi mbali mbali za serikali hawana sifa za kukalia nafasi zao sababu ya elimu, ujuzi au rushwa.
 
Wewe unaweza ku make difference kwenye jamii iliyokuwa corrupt ?
 
Kwa andiko hili kama ni kweli sidhani kama watabaki salama,maana wanataka sasa mama naye akachote maji ya kuoga pale baharini...
 
Kuna watu wakija kufa wataenda motoni moja kwa moja bila kusimamishwa njiani wala reception ya jehanamu. Wanawatesa watanzania sana.
 
GENTAMYCINE vumilia sindano ikuingie.
Mtanikumbuka
 

Attachments

  • E2E093ED-3D39-406A-AD04-C65A1AF0A333.jpeg
    87.7 KB · Views: 4
Lisemwalo lipo GENTAMYCIME asipuuzwe apewe chopa akaonyeshe, Awesu apite na huku, ya mwanafunzi darasa la 7 yalikua km hivi hivi fichua fichua, naomba GENTAMYCIME aongezewe ulinzi na chopa apewe akaonyeshe huo mchepuko wa maji ulipo
 
Mama Tanzania analiwa kila kona. Mungu tunusuru na balaa hili la viongozi mchwa.
 
Jibu: Wahusika kwenye taasisi mbali mbali za serikali hawana sifa za kukalia nafasi zao sababu ya elimu, ujuzi au rushwa.


Siongei tena
 
Kumbe unakuwa na akili mkuu, nisisikie unasema sjui 'kina kimeshuka' 'ooh ukame'....kuna mpaka vimipira flani vya rubber vidogo vidogo vinatupiwa kwenye bwawa vinaelea juu, halafu vinazuia evaporation. Serikali inashindwa kuinvest kwenye technology bei cheee kama hiyo?
 
Mkuu Genta unataka kupanda chopa hahaaaaa, maza anajua kila kitu ni vile tu anaogopa kivuli chake mwenyewe na sasa anahali mbaya sana maana anapigwa spana asigombee mitano tena, kimsingi maza hayuko firm eneogh katika mambo mengi ya msingi labla aje amsakizie diblo huo msala ajifanye yeye hajui .
 
Tunaimani na mama.kuna watu mnatumika vibaya na lile kundi lenu.mama anaupiga mwingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…