Kingwaba Mazegenuka
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 1,016
- 1,707
Malipo ni hapa hapa duniani, Iran ndiye mfadhili mkubwa wa vikundi vyote vya kigaidi duniani sasa naye kakutana na mbabe wake.Wenye Akili Kubwa hilo tulilitegemea na tumelijua jana ile ile tu. Shikamoo Israel Kudadadeki. Halafu wamekaa Kimya.
Unaweza kututajia vikundi vya kigaidi Iran anavyofadhili?Malipo ni hapa hapa duniani, Iran ndiye mfadhili mkubwa wa vikundi vyote vya kigaidi duniani sasa naye kakutana na mbabe wake.
Ww si ndo uliye tuambia kuwa Israel imewazunguka viongozi wa hamas kwenye hospital ya Alshifa?Huwezi kunielewa , uelewa wako mdogo Sana. Nielewe kwanza ndio uache kuuliza maswali ya kijinga. Ni kwamba Khaseem Suleiman ni mtu aliyekuwa ana fanya kazi kwa usiri Sana lakini akatunguliwa, sembuse ambaye yupo wazi?. Anaweza kuwa tracked? Uwe unaelewa.
Maziko ni lini na Saa ngapi huko / kule Iran Mkuu?Wakristo mnajikomba bure tu kwa Israel, wenzenu waisrael wanawachukia kuliko nyie mnavyowachukia waislamu.
Lakini pia waislamu wa Tanzania wanajikomba bure kwa Iran. Uislamu wa Tanzania sio ule wa Iran. Ni madhehebu mawili tofauti kabisa.
Cha msingi watanzania tupendane bila kujali Imani zetu.
Hapa nilipo sio Zanzibar watu hawapendi mapenzi ya Jinsia moja.
Nimefurahi sana kama si mno Mkuu kwa kilichotokea.Malipo ni hapa hapa duniani, Iran ndiye mfadhili mkubwa wa vikundi vyote vya kigaidi duniani sasa naye kakutana na mbabe wake.
Mashoga wako wa Dini zote hata huko Peponi kuna Pombe na Mashoga kwahiyo uskonde sana kiviile.Mnao mpaka walimu wa kuwafundisha ushoga mashuleni , Kunywa bia tu ukianguka watu waje na visu vyao wajilie nyama
Mashoga wako wa Dini zote hata huko Peponi kuna Pombe na Mashoga kwahiyo uskonde sana kiviile.
Nimefurahi sana kama si mno Mkuu kwa kilichotokea.
ajali ya mchongo mossad + ciaHiyo ni ajali kama ajali nyinginezo ambayo inaweza kumkuta mtu yeyote , msitake kuzua taaruki.
hayo ndio majibu yake sasa wafurahi kama tarehe 7 sasaYes!! Unawezaje kurusha drones kwenda Israel halafu ubaki salama!?