Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 7,681
- 9,892
Hiyo fog ni kwa helicopter moja tu ya raisi hizo nyingine hazikuona iyo fog tumia akili wewe sio mpaka watangaze kama wamehusikaNdio wamesabanisha hiyo fog ?
Mbona hata Mashehe huwa wanaliwa? Hiyo ni hulka ya Mwanadamu.Kunywa gongo uanguke watu wajilabuwe unamuona Nabii wako Tito alifanywa nini 😛 😛
Kwa maswali yako haya tu inaonyesha wewe ndio ukapime akili. Hujui kitu yaani😄 hivi we ni ujinga au unajitoa akili, sa vipi wale walio kufa wa Israel kwa kujipiga wenyewe kwa wenyewe kwanini asiwakingie kifua wasife, au wanao uliwa na Hamas au pia anafanya ubaguzi kwa wengine waisrael kama anavyo wabagua wote wasio kuwa waisrael.
Sa we si Muisrael vipi utaenda peponi au? Kama utaenda vipi utaenda na wewe Mtanzania 😄
Kapime akili dogo hakuna Mungu wa taifa moja Mungu ndio huyo huyo wa mataifa yote.
Ndio uwezo wao ulipoishia wala sio uzembeKila mtu anawalaumu kwa hiki kitu.
Yani wameonekana wazembe kufuru ya rahmani.
Kwenye kile kitabu cha muddyWapi hi story mmeitoa mbona haipo kwenye Qur'an au mmeitoa kwenye bibilia za uwongo au zile fake hadith 😄
Ni uzembe sio uwezo ulipoishia.Ndio uwezo wao ulipoishia wala sio uzembe
Kwenye kile kitabu cha muddy
Mtume Muhammad alikuja na Qur'an we nionyeshe hio Aya kama ipo usiniletee ujinga wa hadith ambazo karibu 80% huwa ni fake ambazo wanamzulia Mtume Muhammad vitu ambavyo hakuongea.Kwenye kile kitabu cha muddy
Kweli akili ni nyweleNimeamini majinni hayana nguvu mbele ya hali ya hewa iliyoumbwa na Mwenyezi Mungu
Hizi ni hadithi tu kama ya Juma na Roza wanasoma kitabu au Sungura alimdanganya Tembo akakanyaga moto 🔥 hamna kitu hapo ni dogma tu hizo.WAISLAM
"Hivyo ndivyo itakavyokuwa; na tutawaozesha na wale wanawake wenye macho makubwa mazuri." (Qur'ani 44:54)
Pia katika Surah Al-Tur, Aya ya 20, inasema:
"Wakiwa wameegemea katika viti vya enzi vilivyopangwa safu. Na tutawaozesha na wale wanawake wenye macho mazuri makubwa." (Qur'ani 52:20)
WAKIRISTO NA WASIOKUWA WAISLAM
- Maji ya Moto na Usaa: Watu wa Motoni watalazimika kunywa maji ya moto na usaha, ambayo yatakuwa ni mateso makubwa kwao.
- Njaa na Kiungulia: Watakumbwa na njaa na kiungulia ambavyo havitazimwa kwa chakula au kinywaji chochote. Katika Surah Al-Ghashiyah, Aya ya 6-7, inasema:"Hawatakuwa na chakula ila mti wenye miiba. Hautanenepesha wala hautashibisha njaa." (Qur'ani 88:6-7)
- Nguo za Moto: Watu wa Motoni watavishwa nguo za moto, kama inavyosemwa katika Surah Al-Hajj, Aya ya 19:"Hizi ni sehemu mbili zenye kugombana, ambazo ziligombana kuhusu Mola wao Mlezi. Basi wale waliokufuru watakatwa nguo za moto, na juu ya vichwa vyao yatamiminwa maji yenye kuchemka." (Qur'ani 22:19)
- Majuto na Masikitiko:
- Watu wa Motoni watajuta kwa kutokufuata mwongozo wa Mwenyezi Mungu na watakuwa na masikitiko makubwa kwa yale waliyoyafanya duniani. Katika Surah Al-Mulk, Aya ya 10, inasema:"Na walisema: Lau tungelisikia au tungelitafakari, tusingelikuwa katika watu wa Moto wa Jahannam." (Qur'ani 67:10)
- Ukosefu wa Msaada:
- Watu wa Motoni hawatapata mlinzi wala msaidizi. Watakuwa peke yao katika mateso yao. Katika Surah Al-Baqarah, Aya ya 86, inasema:"Hao ndio walionunua maisha ya duniani kwa Akhera, basi adhabu yao haitapunguzwa, wala hawatanusuriwa." (Qur'ani 2:86)
Akachangamkie mabikira...hii iwe fundisho kwa wengine wote, mtafikiwa tu taratibu..... brazaj
God Bless IsraelIsrael ijiandae!!😏
Jamaa alikuwa anabonga sanakwahiyo yule waziri mwenye kiburi na mdomo mchafu naye sasaivi ameshakabidhiwa vibibi bikra 72.
Dada wa Ismail Haniya ni Raia wa Israel na anahudumiwa kila kitu na Serikali ya Israel, kaka yake ndio kichwa ngumuIsrael ni noma. Mimi nilishangaa walipowatwanga watoto wote wa Ismail Haniy kiongozi wa Hamas. Walijuaje wale ni watoto wake?