Acheni kumsingizia marehemu
 
Mwaka wa 21/22 si mwakani tutaona mengine mapya.upigaji haujawahi kuisha TZ.na hautoisha miaka yote.
 
Mnalazimisha njano Kua nyeusi, hii ripoti ya CAG ni ya mwaka gani?
 
Ni kweli mkuu kuna aibu inayokuja maana mwaka 2023 hakutakuwa tena na ripoti ya cag kwa mwaka 2021 awamu ya tano bado ikiwa madarakani.
 
Ni kweli mkuu kuna aibu inayokuja maana mwaka 2023 hakutakuwa tena na ripoti ya cag kwa mwaka 2021 awamu ya tano bado ikiwa madarakani.
Subiri mambo mazuri, hakuna aibu yoyote, nchi iko salama
 
Report za CAG wa awamu ya 7 ndiyo zitakuwa kufuru, maana zitajikita kwenye madudu ya awamu ya 6.

Hiyo misele tu ya Mama yenu ni kichomi.
 
Kila siku huwa nasema mambumbumbu waliobatizwa maneno ya wanyonge huku wanashangilia ndio walikuwa wanaliwa na hayana akili..

Yaani uzuie wapinzani,upige Pini media then utegemee ufanisi,ile ilikuwa ni awamu yao..

Haki kufikia kumfukuza Kazi Assad ilikuwa ni kilele cha ufisadi.

Imagine jana mbunge wa ccm anaelesea jinsi pesa za mikopo kwa vijana na wanawake zilizopigwa toka 2017 zaidi ya bil.200 ..

Wazalendo wa Chato ni wapuuzi Sana,mwaka wa kwanza wakati Samia anapokea ripoti ya CAG, Sukuma gang walijitokeza na kusema eti Mwendazake anachafuliwa.
 
Report za CAG wa awamu ya 7 ndiyo zitakuwa kufuru, maana zitajikita kwenye madudu ya awamu ya 6.

Hiyo misele tu ya Mama yenu ni kichomi.
Mama anajitahidi Sana kubadili sheria mbovu Ili kuzuia upigaji,pili naona wezi wakipandishwa kizimbani.
 
Watanzania wote tunaonekana hatujasoma,,na tunashangilia upumbavu,kila Rais anayekuja tunashangilia,tunaimba nyimbo za kusifu,tunaabudu,hii yote ni njaa na uchu wa madaraka,hatuwez kujikomboa kwa hali hii,tunahangaika na mambo ya awamu ya tano lakini ukiangalia awamu ya sita hata kipofu anaona juu ya matumizi mabaya ya fedha za wananchi.

Yanatokea madudu washa yanashangilia utumbo,any way time will tell,kama ndo mbinu ya kutafuta sympathy kwa wananchi,kuwasahaulisha jambo lililopo kwa sasa la mfumuko wa bei wa vitu mbalimbali you are a fool!
 
Mkuu, tumpe mama muda, Samia kaipokea nchi ikiwa imeharibika kimfumo, utawala wa sheria uliwekwa kampuni, Sasa mama anayafufua mambo yote na kuyaboresha
 
Kwamba ripoti ni ya 2020-2021,ukiwa chawa kiungo kinachotumika ni matundu mawili tu.
 
Hiyo inaitwa 'Maendeleo ya mtu mmoja moja. Individual development.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…