Sababu ya Single mother kutengwa na wanaume
SIngle mother wengi hawataki kuolewa ila ni kiherehere tu ndo cha vijana ndo maana mwishoni vijana ndo hutoa mlio baada ya kuingia kwenye mahusiano na single mothers.
Kama hawataki kuolewa, kwanini sasa wanalalamika kubaguliwa na wanaume kwenye kuolewa?

Hakuna kiumbe asietaka kuoa/kuolewa.

HUMAN NATURE.
 
Yapasa ujitoe akili kuoa single maza, yaani uanze kulea bao la mwanamume mwenzako si usenge huo
Mapenzi yana nguvu Mkuu, ila ndio hivyo wanawake wenyewe hawana msimamo tu.

Laiti kama Single mother wangekuwa wanajielewa basi wangekuwa wanaolewa sana, maana wana experience ya maisha kuwazidi wasiokuwa na watoto.

SOLUTION NI WAWE NA MISIMAMO NA UPENDO KWA WENZA WAO WAPYA.
 
Muwatie mimba mkimbie mkimaliza mje huku kuwasimanga nyie watu wenye makoromeo ya mapambo mna mambo pmbv zenu
Mkuu kwanini unatujumuisha wanaume wote lakini? Wengine hatujawahi kuzaa nje na wala hatuna mpango huo.

Wanawake Jitunzeni.
 
Kwani hao single mothers huwa wanajibebesha mimba wenyewe?
Wanaume tunaangalia Past ya mwanamke, kwahyo jitunzeni Mkuu.

Ukijitunza hautoleta makasiriko hata siku moja.

Ukibeba mimba niwewe ndio mwenye kupoteza zaidi kuliko mimi Mwanaume, kwahyo usijitetee kwa hoja hiyo Mkuu.

JITUNZENI...
 
Waite single mama waje kwangu, maana mie ndio KIBUZI wao mkuu.

Msiwahukumu saana single mamaz, hawakujitia mimba wenyewe, kuna ambao walizingua wenyewe, kuna ambao sisi wanaume ndio tulizingua..

Point ulizotoa kuna sehemu zinaingia kuna sehemu zinagoma,
Je ni kweli mwanamke kuwa single mama means past yake ilikuwa mbaya, mie nasema hapana, kuna wengine hawana watoto na wana past mbooovu kuliko.
Wapo single mamaz safi tu na wapo viswaswadu pia.
Mkuu Kosa ni kosa tu! Hajajitunza kwahyo anakosa.

Unaposema walijibebesha mimba wenyewe unakosea, maana maadili ya kitanzania na kidini hayaruhusu mtu kuzaa nje bila kuolewa.

UNAWEZAJE KUMZALIA MTU AMBAE HAJAKUOA.?

Kuzaa nje ni moja ya Malipo ya uzinzi.
 
Mkuu Kosa ni kosa tu! Hajajitunza kwahyo anakosa.

Unaposema walijibebesha mimba wenyewe unakosea, maana maadili ya kitanzania na kidini hayaruhusu mtu kuzaa nje bila kuolewa.

UNAWEZAJE KUMZALIA MTU AMBAE HAJAKUOA.?

Kuzaa nje ni moja ya Malipo ya uzinzi.
Je alizaa kwa kujiingilia mwenyewe!? Ni kweli ni kosa lakini tusiwasakame sababu sisi ndio waingiliaji, ila kesi hiyo haionekani saana sababu sisi hatutembei na kidhibiti(ujauzito)

Hoja haikuwa kwamba hawajakosea, hoja ni kuwa tusiwasakame sababu huwa tunakosea nao...
Dhambi ya uzinifu tunaifanya wote, hata mwanaume kuwa na mtoto kabla ya ndoa ilipaswa kuwa jambo lisilopendeza, unakuwa na mtoto na hujaoa mama yake, iwe fedheha kwako.
 
Kama hawataki kuolewa, kwanini sasa wanalalamika kubaguliwa na wanaume kwenye kuolewa?

Hakuna kiumbe asietaka kuoa/kuolewa.

HUMAN NATURE.
Kwenye hii Forum search malalamiko single mothers halafu utaona kuna single mothers wangapi wameleta mada.
 
Habari zenu wakuu,

Nimekuwa naona nyuzi nyingi sana zikiwasema wanawake waliozaa nje ya ndoa kuwa hawafai na sio wa kuwaoa abadani. Kiukweli hili suala ni nyeti na linahitaji mjadala mkubwa ila mimi nitaongelea sababu zinazofanya wanaume wenzangu wengi wawe wagumu kuoa au kuanzia mahusiano ya kudumu na Single Mothers.

Hizi ni kati ya sababu zinazofanya wanaume wenzangu kuogopa kuingia kwenye Ndoa na single mothers;
1) Ubinafsi
- Kiukwei kila binadamu duniani ni mbinafsi, na ninaweza kusema ubinafsi sio kosa maana ni moja ya njia ya kujipenda kama binadam. Unapoona Mwanaume anakataa kuoa single mother basi tambua kuwa hataki kukubali fedha zake, au mali zake zitumike na uzao wa mtu mwengine.

Ngoja nitoe mfano, Mwanaume akioa Mwanamke kwa tamaduni zetu ni kwamba Mwanaume ndio mtoaji Mkuu wa familia, na niyeye ndio anaeihudumia familia yake kwa kiwango kikubwa (Fedha).

Wanaume wengi tunaogopa fedha zetu kuchukuliwa kisiri na kumjengea Mtoto wa single mother future yake, Wanaume hatutaki hilo suala tunataka mali zetu zitumiwe na uzao wetu tu na sio nje ya hapo.

2) Amani - sisi wanaume tunaoa kwa kuangalia past ya mwanamke na sio vyenginevyo, tukigundua past ilikuwa mbaya basi ni lazima tutoke nduki.

Kuzaa nje ni moja ya dalili kuwa past ya mwanamke ilikuwa mbaya, na tukigundua hilo huwa tunakosa amani (Peace).

USHAURI
DADA ZANGU NAOMBA MJITUNZE MAANA SISI WANAUME TUKITAKA KUOA HUWA TUNAANGALIA MAISHA YA NYUMA YA MWANAMKE NA SIO VYENGINEVYO.
siku hizi wanasema x amekwenda.!
 
Hahaha binadamu wanatofautiana Mkuu.

Usiwatenge kiasi hicho
Generally wapi hivyo. Hata mimi nilikuwa mbishi sana. Nikampata mmoja kwanza ni faita, mcha Mungu, mumewe aliachana muda mrefu, mtoto mmoja tu. Nikaona nimepata mke mwenye experience hapa. Aaagh nilivyoanza kumla na akajiona kwamba siwezi kupindua, akaanza visa, mara baba nani hata nikimwambia leo unanirudia, mara yeye marafiki zangu wengi ni wanaume. Pumbaaavu
 
Waite single mama waje kwangu, maana mie ndio KIBUZI wao mkuu.

Msiwahukumu saana single mamaz, hawakujitia mimba wenyewe, kuna ambao walizingua wenyewe, kuna ambao sisi wanaume ndio tulizingua..

Point ulizotoa kuna sehemu zinaingia kuna sehemu zinagoma,
Je ni kweli mwanamke kuwa single mama means past yake ilikuwa mbaya, mie nasema hapana, kuna wengine hawana watoto na wana past mbooovu kuliko.
Wapo single mamaz safi tu na wapo viswaswadu pia.
Una hoja,usikilizwe mkuu
 
Akili za kijinga hizi ndo zinazidi kuwaumiza dada zetu

Mwanaume anakumwagia tu halafu yeye anakaa pembeni wewe ndio unayebeba mzigo mzito mbona mama zenu hawakuwa wajinga hivi

Madhara ya kimwili na kihisia mwanamke ndio unayabeba. Utabeba mimba miezi Tisa, utakongoroka mwili, utapoteza mda mwingi nk

wanawake wa sasa wanataka wazae na mwanaume A ambaye mme wa mtu au 'handsome boy' halafu aje kuolewa na mwanaume B na mtoto wake alelewe na mwanaume B
Hii haikubaliki
 
Back
Top Bottom