Sababu ya Single mother kutengwa na wanaume
Afu wakipigwa tukio wanakua na akili sana ya wanaume lakini ni too late.
 
Mbona sisi hatujalalamika, tujifunze nini sasa?
Unaachana nao tu unatafuta chaguo lako kiroho safi.
Tumeshaachana nao Mkuu, ila tunawapa vijana wenzetu elimu ili na wao waachane na hao masingle mother.
 
Kwani hao single mothers huwa wanajibebesha mimba wenyewe?
Wewe kama mwanamke ambae unajua mimba ambayo haikupangwa itakusababishia misukosuko zaidi wewe basi ndie unaetakiwa kuwa makini. Kabla ya kushika mimba akikisha mnaishi pamoja na uyo jamaa mkiwa katika mahusiano rasmi (kifamilia, kitamaduni au kidini), akikisha mmekubaliana kuzaa mtoto na uyo jamaa, uyo jamaa sio mume wa mtu na kipato chake kinaruhusu kumudu gharama za malezi vile vile baada ya kubeba na kujifungua usijaribu kumtumia mtoto kama nyenzo ya kutaka kupewa mahitaji ambayo yapo nje ya uwezo wa mwanaume au kutaka kumpanda mwanaume kichwani awe kama zezeta anaetakiwa kufanya kila unachotaka kwa kufikiri kwa sababu una mtoto wake hawezi kukuacha solemba.
 
Habari zenu wakuu,

Nimekuwa naona nyuzi nyingi sana zikiwasema wanawake waliozaa nje ya ndoa kuwa hawafai na sio wa kuwaoa abadani. Kiukweli hili suala ni nyeti na linahitaji mjadala mkubwa ila mimi nitaongelea sababu zinazofanya wanaume wenzangu wengi wawe wagumu kuoa au kuanzia mahusiano ya kudumu na Single Mothers.

Hizi ni kati ya sababu zinazofanya wanaume wenzangu kuogopa kuingia kwenye Ndoa na single mothers;
1) Ubinafsi
- Kiukwei kila binadamu duniani ni mbinafsi, na ninaweza kusema ubinafsi sio kosa maana ni moja ya njia ya kujipenda kama binadam. Unapoona Mwanaume anakataa kuoa single mother basi tambua kuwa hataki kukubali fedha zake, au mali zake zitumike na uzao wa mtu mwengine.

Ngoja nitoe mfano, Mwanaume akioa Mwanamke kwa tamaduni zetu ni kwamba Mwanaume ndio mtoaji Mkuu wa familia, na niyeye ndio anaeihudumia familia yake kwa kiwango kikubwa (Fedha).

Wanaume wengi tunaogopa fedha zetu kuchukuliwa kisiri na kumjengea Mtoto wa single mother future yake, Wanaume hatutaki hilo suala tunataka mali zetu zitumiwe na uzao wetu tu na sio nje ya hapo.

2) Amani - sisi wanaume tunaoa kwa kuangalia past ya mwanamke na sio vyenginevyo, tukigundua past ilikuwa mbaya basi ni lazima tutoke nduki.

Kuzaa nje ni moja ya dalili kuwa past ya mwanamke ilikuwa mbaya, na tukigundua hilo huwa tunakosa amani (Peace).

USHAURI
DADA ZANGU NAOMBA MJITUNZE MAANA SISI WANAUME TUKITAKA KUOA HUWA TUNAANGALIA MAISHA YA NYUMA YA MWANAMKE NA SIO VYENGINEVYO.
Na ambaye amepoteza bikira yake unamuweka kundi lipi. Maana ni kwa vile alipata bahati au ametoa mimba otherwise naye angekuwa single mother.
 
Hana Hoja yoyote Mkuu.

Wanawake walipewa Bikra na Muumba ili wajitunze. Wameshindwa kujitunza sawa. kwanini wazae nje?

Wanadhalilisha familia zao sana, maana unakuta anakaa kwa wazazi na hakuna inshu yoyote inayoendelea kwenye maisha yake.

Tamaa ndio zinafanya wabebe mimba nje ya ndoa.
Kuna wengine wajinga ambao wanakosa uvumilivu kwenye ndoa zao wanafanya ujinga adi ndoa inakufa matokeo yake wanaishia kua single moms na wanarudi majumbani kwao kuaibia kuishi na wazazi tena
 
Wewe kama mwanamke ambae unajua mimba ambayo haikupangwa itakusababishia misukosuko zaidi wewe basi ndie unaetakiwa kuwa makini. Kabla ya kushika mimba akikisha mnaishi pamoja na uyo jamaa mkiwa katika mahusiano rasmi (kifamilia, kitamaduni au kidini), akikisha mmekubaliana kuzaa mtoto na uyo jamaa, uyo jamaa sio mume wa mtu na kipato chake kinaruhusu kumudu gharama za malezi vile vile baada ya kubeba na kujifungua usijaribu kumtumia mtoto kama nyenzo ya kutaka kupewa mahitaji ambayo yapo nje ya uwezo wa mwanaume au kutaka kumpanda mwanaume kichwani awe kama zezeta anaetakiwa kufanya kila unachotaka kwa kufikiri kwa sababu una mtoto wake hawezi kukuacha solemba.
Kuna wengine wanakua single mother wakiwa wametoka kwenye ndoa zao tena wanatoka kwa sababu za kijinga kabisa wakizani bado ni mabinti wataolewa upya matokeo yake wanaishia kua wa mtaani inauma sana wanawake inatakiwa wawe wanajielewa na wawe wavumilivu na wajue kujenga miji yao
 
Mimi nimefika umri wakua katka ndoa ni vitu gani naitaji nifanye ili kukamilisha ndoa hiyo! Maana ndio kwanza ata mpenzi Sina naomba msaada wa mawazo
 
Back
Top Bottom