Sababu ya Single mother kutengwa na wanaume
Kuna singo maza mmoja, nilimpenda nikajua kwa sababu ni mtu mzima, atajua kunilea ipasavyo pamoja na kunipa kampani pale ninapo muhitaji.

Siku ya kwanza tulienda shoo ya kawaida tu, kwa sababu alikuwa bado hajanizoea na mimi sikufurahia sana.

Mara ya pili kukutana, ndipo akaanza kunionyesha maufundi yake; nami nikaanza kukolea kwenye mahusiano, nikajua Equation x amepatikana; akiwa na njaa, namtuma kijana anampelekea mdudu na chupa mbili tatu anakata kiu.

Mara ya tatu nikaamua kumpelekea shoo ya kibabe, nikawa nambadilishia mastaili ya kupindua pindua huku kule; mara akawa mkali na kuondoka mikononi mwangu na kusema; ''huwezi kunichosha hivyo, huku ukinipindua pindua kama chapati''.

Roho iliniuma sana, na mbaya zaidi nilikuwa bado sijamaliza; akajiandaa akaondoka zake.

Hivi majuzi, akanipigia simu; ''nimemisi mdudu, vipi nije nile?''; nikamjibu hakuna shida we njoo tu.

Baada ya dakika chache akawa amefika, nami nikamwagiza kijana akachukue mdudu; sisi tukabaki tunagusana hapa na pale, ingawa akawa mbishi kunipa tendo.

Baada ya kijana kuleta mdudu akafakamia kwa haraka haraka, huku akinipiga biti, ''nisikuone na mwanamke mwingine, mimi ni mkali sana''

Mimi nikawa namsikiliza ila msimamo wangu naujua; baada ya kumaliza kula, akawa bado hataki kunipa tendo, alipoona namsumbua sana akaamua kuaga na kuondoka.

Baada ya kuondoka nikafuta namba yake nikawa simtafuti; sasa hivi anapiga piga simu, na sipokei.

Nimeamua kumpiga chini, ataletaje busara kwenye tendo!



Unapenda kulelewa syo?? Ngoja waje masplaya wakuachie naniiii....
 
Umenikumbusha aisee niliingia kwenye mahusiano na lidem lizuri balaa aisee afu liko so decent nikafurahia kuwa sasa ntaenjoy tendo maana kumbe lilikuaga kwenye ndoa likazinguliwa likaamua ku -move on likaja Dar kuanza life from Mwanza. Nilikua disappointed sana yaani ni hamna kitu kabisa aisee...ni style moja tu ya mende na hapo linakua linasumbua balaa. Aisee nilikua nimeplan nitulie nalo nilipe bata shenzy type nikalipotezea mazima. Ila lizuri acha kabisa na hata ukikaa nalo unaenjoy sana kampani...huwa siishi kulitamani ila nikikumbuka there's nothing to enjoy zaidi ya kuingia cost sina hamu maana nililipenda nikawa nashinda nalo viwanja vya Masaki weekend liujue mji ila hapo tu likanivuruga...eti hata kushika mashine haliwezi...Lise..nge
 
Back
Top Bottom