Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo mkuu huwa napitia ile thread, pisi kali usije jaribu kuweka kambi hata siku moja, utakufa mapema...Mzee kuna watu wanafaidi; huwa unatembelea kweli ule uzi wa pisi kali?
Msafara wa mamba kenge wapo ??🤣🤣🤣Nipo hapa Arusha na msafara wa Makonda
Wewe ni mchawi na mkeka huu utatoka katika jina la ..... 😃😃😃😃Mpaka hapo ulishachemka
Hataki kutuma nauliKaka yule mshangazi wa urusi vipi?
Mwa J wangu....😘😘😘😘Msafara wa mamba kenge wapo ??🤣🤣🤣
Hataki kutuma nauli
Aisee nitakuloga hayaa niite mwajMwa J wangu....😘😘😘😘
uzee ni hazinaUmezeeka tatizo
Umesema ukweli mtupu ata mimi naona hivyo hivyo kwasababu mwanaume aliye kamilika na akili zake timamu anaanzaje kuoa limwanamke limeshindikana huko lilipo tokaHuu ni utafiti wangu Mjanja M1 juu ya Vijana wanaooa Single Mother ilhali wao hawana mtoto kabisa.
1) Vijana wanaooa Single Mother mara nyingi huwa hawana muonekano mzuri.
2) Vijana wanaooa single mother huwa hawajiamini.
3) Vijana wanaooa single mother ni vijana ambao hawajawahi kuwa na mademu wazuri.
4) Vijana wanaooa Single Mother ni vijana wasiokuwa na pesa, yani ni vijana masikini.
5) Vijana wanaooa Single Mother ni vijana ambao wanahistoria ya kukataliwa na mademu wanapowatoongoza
6) Vijana wanaooa Single Mother ni vijana wasiojua ulimwengu wa mapenzi ulivyo kwenye dunia ya leo, yani ni washamba wa mapenzi.
7) Vijana wanaooa single mother ni vijana wasio na malengo yanayoeleweka juu ya familia.
NB: HAKUNA MZAZI ANAETAKA MWANAE AMBAE HANA MTOTO AOE SINGLE MOTHER.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Umenikumbusha aisee niliingia kwenye mahusiano na lidem lizuri balaa aisee afu liko so decent nikafurahia kuwa sasa ntaenjoy tendo maana kumbe lilikuaga kwenye ndoa likazinguliwa likaamua ku -move on likaja Dar kuanza life from Mwanza. Nilikua disappointed sana yaani ni hamna kitu kabisa aisee...ni style moja tu ya mende na hapo linakua linasumbua balaa. Aisee nilikua nimeplan nitulie nalo nilipe bata shenzy type nikalipotezea mazima. Ila lizuri acha kabisa na hata ukikaa nalo unaenjoy sana kampani...huwa siishi kulitamani ila nikikumbuka there's nothing to enjoy zaidi ya kuingia cost sina hamu maana nililipenda nikawa nashinda nalo viwanja vya Masaki weekend liujue mji ila hapo tu likanivuruga...eti hata kushika mashine haliwezi...Lise..nge
tupe kisa chako tuelewe mkuuJeuli na kibuli, ndoa ni kama pesa haibadili tabia bali huzifichua,
hakuna mwanaume anayeweza kuvumilia zarau na gubu ayupo mwanaume uyo, uwa tunaumia sana na kuteseka mno kutenganishwa na watoto wetu tuliowazoea inauma, ila kama aijakukuta uwezi nielewa maumivu nayoyazungumzia apa ya kutengana na mwanao kisa tu limama alijielewi unavumilia kisa mtoto ila inafika kipindi una give up.
Wanawake wanapata presha kubwa sana ya kuolewa kutoka kwa wazazi na marafiki zao walioolewa, hii inafanya hata wale wahuni kujishushe kipindi cha uchumbani utaona umepata wife material, ukishao ndio unajua kama umeuziwa mzigo wenyewe au mbuzi kwenye guniaUpo sawa, ndoa ni muungano wa watu wawili wenye jinsia tofauti walioelewana kuishi pamoja kwa ajili ya kuanzisha familia moja ikiwa pamoja na kuzaa watoto. Mmoja wa wanandoa anapokua haeleweki yaani hafuati misingi ya ndoa maisha yao ya familia yanakuwa batili na ni bora wakaachana kwa usalama