Sababu ya Single mother kutengwa na wanaume
Kwa sasa hakuna ndoa! Ni ndoa za dot.com generation.
Ndoa zilikuwa enzi zetu ambapo ukioa umeoa au mwanamke akiololewa ameolewa! Mnasikilizana,mwanamme unampenda mke na mke anakunyenyekea anakutii kama mmewe!
Lakini leo unakuta mme na mke wanagombea kuangalia tv mwisho ugomvi unatokea kesho yake wanaachana! Kuna ndoa hapo?
 
Jeuli na kibuli, ndoa ni kama pesa haibadili tabia bali huzifichua,

hakuna mwanaume anayeweza kuvumilia zarau na gubu ayupo mwanaume uyo, uwa tunaumia sana na kuteseka mno kutenganishwa na watoto wetu tuliowazoea inauma, ila kama aijakukuta uwezi nielewa maumivu nayoyazungumzia apa ya kutengana na mwanao kisa tu limama alijielewi unavumilia kisa mtoto ila inafika kipindi una give up.
Mtu kuandika maneno ya Kiswahili ambacho sote tunaamini ni lugha mama yake halafu akaandika vitu kama hivi hata kama ana point hufanya anayesoma kwanza kujiuliza hata umri wake kama anachokiandika ana idea nacho.
 
Hahahah haya mambo. Nilikua nayaskia tu. Mpaka nilivo date na kabinti flani hvi. Aloo, bint ana kiburi, jeuri, dharau na gubu. Mkikosana kidogo tu yeye ndo anakua juu mara anataka kuvunja mahusiano sijui nn.

Tukatengana kikaz nikahama mkoa, siku tunakuja kuonana nikafumania text zake na jamaa mwingine.

Nikashikilia hapo hapo.
 
Generally wapi hivyo. Hata mimi nilikuwa mbishi sana. Nikampata mmoja kwanza ni faita, mcha Mungu, mumewe aliachana muda mrefu, mtoto mmoja tu. Nikaona nimepata mke mwenye experience hapa. Aaagh nilivyoanza kumla na akajiona kwamba siwezi kupindua, akaanza visa, mara baba nani hata nikimwambia leo unanirudia, mara yeye marafiki zangu wengi ni wanaume. Pumbaaavu
Tatizo hili🥺
 
Jeuri na kibuli, Mwanamke kiburi na jeuri uchumbani ni sawa na mtu aliebanwa na mkojo kwenye basi atajibana utaona umepata wife material anasubiri ndoa achimbe dawa.

Hakuna mwanaume anayeweza kuvumilia dharau, kiburi na gubu, hayupo mwanaume uyo !! huwa tunaumia sana na kuteseka mno kutenganishwa na watoto wetu tuliowazoea inauma sana ila kama haijakukuta huwezi elewa maumivu ya kutengana na mwanao kisa tu limama halijielewi, unavumilia kisa mtoto ila inafika kipindi una give up.
I second you..Itapendeza kama tutaamua kuunda group letu la whatsapp kwa wale wote tuliowahi kuoa na kuzaa watoto na masingle maza ili tutengeneze kajamii ketu..
Niweke namba??
 
Ma single mothers ni wabinafs pia katk materials things na kipaumbele ni kwa watoto wao san hakikisha uko na kipato cha kulea watoto wake na wenu / wako
 
Jeuri na kibuli, Mwanamke kiburi na jeuri uchumbani ni sawa na mtu aliebanwa na mkojo kwenye basi atajibana utaona umepata wife material anasubiri ndoa achimbe dawa.

Hakuna mwanaume anayeweza kuvumilia dharau, kiburi na gubu, hayupo mwanaume uyo !! huwa tunaumia sana na kuteseka mno kutenganishwa na watoto wetu tuliowazoea inauma sana ila kama haijakukuta huwezi elewa maumivu ya kutengana na mwanao kisa tu limama halijielewi, unavumilia kisa mtoto ila inafika kipindi una give up.
Pole sana Mkuu najaribu kuvaa viatu vyako naumia sana.
Sijui kitakachonitenga na watoto wangu ni nini si mamayao wala Ustawi wa jamii
 
Pole sana Mkuu najaribu kuvaa viatu vyako naumia sana.
Sijui kitakachonitenga na watoto wangu ni nini si mamayao wala Ustawi wa jamii
Mkuu time comes and you realize those are just her future friends anaowatumia kama kamba (kukugalagaza) elewa fika hilo neno kwenye mabano
Yaani atakuburuza haswa ushawahi kuona kipigo anachotoa mtu ambae yeye mwenyewe na jamii kwa ujumla inaamini kuwa ni mdhaifu au mnyonge pale anapokuwa amepata bahati ya kumuotea shujaa au mbabe wa mapigano?
Kwanza kadamnasi huwa haiingilii kati kwa kuamini kuwa kile kichapo anachopewa shujaa ni halali maana kinaleta ahueni mioyoni mwao na kuwaponya vidonda vilivyosababishwa na taarifa za ushujaa wa alieotewa, kumbe mwenzao pengine kutafuta stance kateguka nyonga.
Sasa hapo mnyonge atatoa kichapo ambacho kimechanganyikana na hofu ndani yake pamoja na chuki.
Kwa hiyo singo maza huwa anakuua huku jamii ikiamini hapo hapo yeye ndie victim wa huo msuguano wenu kwasababu jamii ilishapotea tangu zamani kuwa Men are superior to women kitu ambacho ni kinyume chake.
Wewe angalia mwanamke anakutongoza kwanza kwa posture ya mwili ila ukiconvey meseji ya moyo wako kwake jamii inaamini kuwa mwanaume ndie alianzisha mahusiano how?
These people are super powerful compared to us in many ways.
So hata ukiwakuta wanabeba zege we pita zako hivi usimuonee imani.
Mungu ni mkubwa kuliko kila kitu hapa ulimwenguni na ni kwasababu alimpa kila mtu mizigo kutokana anajua uwezo wake.
Ndio maana akaamua mimba abebe mwanamke kwasababu they are superior to men.
Ila naamini kama maamuzi yangefanywa na mwanaume kuhusu nani abebe mimba kati ya hizi jinsia mbili basi ni wazi kuwa kwaajili ya ujinga na huruma ya mwanaume angetoa maamuzi kuwa mimba abebe mwanaume kulingana na mtizamo hasi kuwa mwanamke ni mnyonge atateseka so anaestahili kuteseka ni mwanaume.
Oya nyie wanaume achaneni na majukumu yasiyowahusu. Tutakufa na kuisha kwenye hii dunia tukiwaachia wanawake majumba wakiendelea kula kodi kisa tu walituonyesha mpasuko wao na sisi tukaingiza tukaingiwa na wivu na kugeuka watumwa,, Oya mazee tunaliwa sana wanetu.. Unajua mwanaume akiwa ndani ya ndoa anapinga sana suala la haki sawa ila akitoka kwenye huo usingizi anaanza kuwaza uwezo mkubwa waliokuwa nao walioleta hiyo ajenda.
Ajenda hiyo ukiitazama kwa juu juu utaona kama inamkandamiza mwanaume but kiundani ni kampeni ya kuwakomboa wanaume waliotokomea utumwani in the name of NDOA. Maanake mwanaume ana uwezo wa kuona ni mzigo kiasi gani alikuwa ametwishwa kwa sifa za kisenge kuwa Mwanaume rijali, shupavu mara Daddie Man Mara husband, mara baba bora Ilimradi kumbembeleza punda akaze mwendo kuufikisha mzigo.
Na ikitokea mzigo umefika salama hakuna anaetaka kukaa karibu na punda tena mpaka pale mzigo mwingine utakapopatikana..
Natafuta Ajira, Half american, dronedrake , Mahondaw , Ivan Stepanov nisaidieni kutag na wengine Atoto na ERoni mkuje hapa.
 
Mkuu time comes and you realize those are just her future friends anaowatumia kama kamba (kukugalagaza) elewa fika hilo neno kwenye mabano
Yaani atakuburuza haswa ushawahi kuona kipigo anachotoa mtu ambae yeye mwenyewe na jamii kwa ujumla inaamini kuwa ni mdhaifu au mnyonge pale anapokuwa amepata bahati ya kumuotea shujaa au mbabe wa mapigano?
Kwanza kadamnasi huwa haiingilii kati kwa kuamini kuwa kile kichapo anachopewa shujaa ni halali maana kinaleta ahueni mioyoni mwao na kuwaponya vidonda vilivyosababishwa na taarifa za ushujaa wa alieotewa, kumbe mwenzao pengine kutafuta stance kateguka nyonga.
Sasa hapo mnyonge atatoa kichapo ambacho kimechanganyikana na hofu ndani yake pamoja na chuki.
Kwa hiyo singo maza huwa anakuua huku jamii ikiamini hapo hapo yeye ndie victim wa huo msuguano wenu kwasababu jamii ilishapotea tangu zamani kuwa Men are superior to women kitu ambacho ni kinyume chake.
Wewe angalia mwanamke anakutongoza kwanza kwa posture ya mwili ila ukiconvey meseji ya moyo wako kwake jamii inaamini kuwa mwanaume ndie alianzisha mahusiano how?
These people are super powerful compared to us in many ways.
So hata ukiwakuta wanabeba zege we pita zako hivi usimuonee imani.
Mungu ni mkubwa kuliko kila kitu hapa ulimwenguni na ni kwasababu alimpa kila mtu mizigo kutokana anajua uwezo wake.
Ndio maana akaamua mimba abebe mwanamke kwasababu they are superior to men.
Ila naamini kama maamuzi yangefanywa na mwanaume kuhusu nani abebe mimba kati ya hizi jinsia mbili basi ni wazi kuwa kwaajili ya ujinga na huruma ya mwanaume angetoa maamuzi kuwa mimba abebe mwanaume kulingana na mtizamo hasi kuwa mwanamke ni mnyonge atateseka so anaestahili kuteseka ni mwanaume.
Oya nyie wanaume achaneni na majukumu yasiyowahusu. Tutakufa na kuisha kwenye hii dunia tukiwaachia wanawake majumba wakiendelea kula kodi kisa tu walituonyesha mpasuko wao na sisi tukaingiza tukaingiwa na wivu na kugeuka watumwa,, Oya mazee tunaliwa sana wanetu.. Unajua mwanaume akiwa ndani ya ndoa anapinga sana suala la haki sawa ila akitoka kwenye huo usingizi anaanza kuwaza uwezo mkubwa waliokuwa nao walioleta hiyo ajenda.
Ajenda hiyo ukiitazama kwa juu juu utaona kama inamkandamiza mwanaume but kiundani ni kampeni ya kuwakomboa wanaume waliotokomea utumwani in the name of NDOA. Maanake mwanaume ana uwezo wa kuona ni mzigo kiasi gani alikuwa ametwishwa kwa sifa za kisenge kuwa Mwanaume rijali, shupavu mara Daddie Man Mara husband, mara baba bora Ilimradi kumbembeleza punda akaze mwendo kuufikisha mzigo.
Na ikitokea mzigo umefika salama hakuna anaetaka kukaa karibu na punda tena mpaka pale mzigo mwingine utakapopatikana..
Natafuta Ajira, Half american, dronedrake , Mahondaw , Ivan Stepanov nisaidieni kutag na wengine Atoto na ERoni mkuje hapa.
Nafarijika sana nikiona vijana wenzangu wanatoa akili nje ya matrix na kuuona ukweli. Aluta continua
 
Nafarijika sana nikiona vijana wenzangu wanatoa akili nje ya matrix na kuuona ukweli. Aluta continua
Wanasema hivi Vingunguti iko ndani ya Dar na Dar kuna joto ila Vingunguti ina joto kuliko Dar. Ukiwa na akili ya kuielewa hiyo maisha yatasonga tu.
 
Mkuu time comes and you realize those are just her future friends anaowatumia kama kamba (kukugalagaza) elewa fika hilo neno kwenye mabano
Yaani atakuburuza haswa ushawahi kuona kipigo anachotoa mtu ambae yeye mwenyewe na jamii kwa ujumla inaamini kuwa ni mdhaifu au mnyonge pale anapokuwa amepata bahati ya kumuotea shujaa au mbabe wa mapigano?
Kwanza kadamnasi huwa haiingilii kati kwa kuamini kuwa kile kichapo anachopewa shujaa ni halali maana kinaleta ahueni mioyoni mwao na kuwaponya vidonda vilivyosababishwa na taarifa za ushujaa wa alieotewa, kumbe mwenzao pengine kutafuta stance kateguka nyonga.
Sasa hapo mnyonge atatoa kichapo ambacho kimechanganyikana na hofu ndani yake pamoja na chuki.
Kwa hiyo singo maza huwa anakuua huku jamii ikiamini hapo hapo yeye ndie victim wa huo msuguano wenu kwasababu jamii ilishapotea tangu zamani kuwa Men are superior to women kitu ambacho ni kinyume chake.
Wewe angalia mwanamke anakutongoza kwanza kwa posture ya mwili ila ukiconvey meseji ya moyo wako kwake jamii inaamini kuwa mwanaume ndie alianzisha mahusiano how?
These people are super powerful compared to us in many ways.
So hata ukiwakuta wanabeba zege we pita zako hivi usimuonee imani.
Mungu ni mkubwa kuliko kila kitu hapa ulimwenguni na ni kwasababu alimpa kila mtu mizigo kutokana anajua uwezo wake.
Ndio maana akaamua mimba abebe mwanamke kwasababu they are superior to men.
Ila naamini kama maamuzi yangefanywa na mwanaume kuhusu nani abebe mimba kati ya hizi jinsia mbili basi ni wazi kuwa kwaajili ya ujinga na huruma ya mwanaume angetoa maamuzi kuwa mimba abebe mwanaume kulingana na mtizamo hasi kuwa mwanamke ni mnyonge atateseka so anaestahili kuteseka ni mwanaume.
Oya nyie wanaume achaneni na majukumu yasiyowahusu. Tutakufa na kuisha kwenye hii dunia tukiwaachia wanawake majumba wakiendelea kula kodi kisa tu walituonyesha mpasuko wao na sisi tukaingiza tukaingiwa na wivu na kugeuka watumwa,, Oya mazee tunaliwa sana wanetu.. Unajua mwanaume akiwa ndani ya ndoa anapinga sana suala la haki sawa ila akitoka kwenye huo usingizi anaanza kuwaza uwezo mkubwa waliokuwa nao walioleta hiyo ajenda.
Ajenda hiyo ukiitazama kwa juu juu utaona kama inamkandamiza mwanaume but kiundani ni kampeni ya kuwakomboa wanaume waliotokomea utumwani in the name of NDOA. Maanake mwanaume ana uwezo wa kuona ni mzigo kiasi gani alikuwa ametwishwa kwa sifa za kisenge kuwa Mwanaume rijali, shupavu mara Daddie Man Mara husband, mara baba bora Ilimradi kumbembeleza punda akaze mwendo kuufikisha mzigo.
Na ikitokea mzigo umefika salama hakuna anaetaka kukaa karibu na punda tena mpaka pale mzigo mwingine utakapopatikana..
Natafuta Ajira, Half american, dronedrake , Mahondaw , Ivan Stepanov nisaidieni kutag na wengine Atoto na ERoni mkuje hapa.
Bebe naomba samare.
 
Maanake mwanaume ana uwezo wa kuona ni mzigo kiasi gani alikuwa ametwishwa kwa sifa za kisenge kuwa Mwanaume rijali, shupavu mara Daddie Man Mara husband, mara baba bora Ilimradi kumbembeleza punda akaze mwendo kuufikisha mzigo.
😀 😀 😀 😀 kuna lile moja silipendi kweli wanapenda kulitumia, mwajibikaji
limekaa kisanii sanii, kiwizi wizi, udangaji wa upande wa pili wa shilingi
 
Back
Top Bottom