Uchaguzi 2020 Samia Suluhu Hassan: Askari wa Serikali ya CCM akipiga mtu risasi 3 akamkosa atawajibika

Uchaguzi 2020 Samia Suluhu Hassan: Askari wa Serikali ya CCM akipiga mtu risasi 3 akamkosa atawajibika

Hapo kasema ukweli mtupu Maana yeye ndo miongoni mwa maboss wa Askari wao wa CCM hivyo anawajua vizuri weredi wao. Kwahiyo Mimi naamini alichokisema na ndo uhalisia.


Zitto aliutaka uenyekit wa chadema akafukuzwa Chama.
Ben sanane aliutaka uenyekit wa Chama akapotea mpaka leo.
Tundu lissu aliutaka uenyekiti wa Chama akapigwa na vitu vinavyosadikika ni risasi.
F. SUMAYE aliutaka uenyekiti wa Chama akaambiwa kuwa Sumu haionjwi kwa usalama wa maisha yake akaamua kujiweka pembeni na kuchomoka kwenye himaya za mtia Sumu.

Swali; kwanini Kila anaeutaka uenyekiti wa Chama CDM anapatwa na matatizo Ni ipi Siri iliyopo Hapo nyuma?
Je nikweli Mbowe Ni kibaraka wa serikali kwamba hawezi kutoka kwenye kile kiti kwa masilahi ya Taifa?
Swali; nyie ndio mnamiliki vyombo vyote vya usalama na vya sheria, mnsjus kuwa mwenyekiti wa chadema amefanya haya yote. Kwanini mpaka leo hamjamchukulia hatua za kisheria? au yeye yuko juu ya sheria?
 
Watu wanafata ushabiki tu nahili jambo kipo kitu ndani yake! Hivi unawezaje kurudi kwenye nchi unayowindwa na serikali husika huku ukiomba ulinzi huohuo!.. kipo kitu nyuma ya pazia.

Mama samia kasema ukweli hata msimlaumu.. kwa serikali njia za kumtaka mtu zipo nyingi tu lkn sio kwa namna ile ya lissu.. hayo maswali ya CCTV sijui walinzi n.k yatakuwa na majibu tu tatizo kuwekwa hadharani.
 
Lissu itakuwa alipigwa risasi na Wadeni wake au alikua anachukua wake za watu, ndiyo hayo matatizo kajisababishia!!
Kwahiyo hao wadeni wake ndio walio ondoa wale walinzi geti kuondoa CCTV camera kuzuia pesa za matibabu kumvua ubunge na kuzuiya wabunge wa chama cha ccm wasiende kumuangalia lisu spital

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Watu wanafata ushabiki tu nahili jambo kipo kitu ndani yake! Hivi unawezaje kurudi kwenye nchi unayowindwa na serikali husika huku ukiomba ulinzi huohuo!.. kipo kitu nyuma ya pazia..
Mama samia kasema ukweli hata msimlaumu.. kwa serikali njia za kumtaka mtu zipo nyingi tu lkn sio kwa namna ile ya lissu.. hayo maswali ya CCTV sijui walinzi n.k yatakuwa na majibu tu tatizo kuwekwa hadharani.
Toka ameshambuliwa ni miaka mitatu, mlituambia kuwa mhusika mkuu hayupo ndio maana hakukuwa na linaloendelea, sasa mhusika mkuu karudi mbona bado mko kimya? Kwanini mliondoa cctv kamera, kwanini siku anashambuliwa walinzi wa serikali waliondolewa?
 
Hapo kasema ukweli mtupu Maana yeye ndo miongoni mwa maboss wa Askari wao wa CCM hivyo anawajua vizuri weredi wao. Kwahiyo Mimi naamini alichokisema na ndo uhalisia.


Zitto aliutaka uenyekit wa chadema akafukuzwa Chama.
Ben sanane aliutaka uenyekit wa Chama akapotea mpaka leo.
Tundu lissu aliutaka uenyekiti wa Chama akapigwa na vitu vinavyosadikika ni risasi.
F. SUMAYE aliutaka uenyekiti wa Chama akaambiwa kuwa Sumu haionjwi kwa usalama wa maisha yake akaamua kujiweka pembeni na kuchomoka kwenye himaya za mtia Sumu.

Swali; kwanini Kila anaeutaka uenyekiti wa Chama CDM anapatwa na matatizo Ni ipi Siri iliyopo Hapo nyuma?
Je nikweli Mbowe Ni kibaraka wa serikali kwamba hawezi kutoka kwenye kile kiti kwa masilahi ya Taifa?
Na chacha wangwe aliutaka uenyekiti aka rest in peace.
 
mama katema pumba
Tatizo nyie vijana wa Ufipa mnapoambiwa ukweli mnajikuta kukaza fuvu.

Mama Samia alichokisema ni sahihi; hakuna muuwaji wa kutumia bunduki Ambaye anaweza piga risasi zaidi ya 16 pasipo kumuua mtu na Wala hakuna muuaji anae shambulia miguu na kuacha kichwa na kifua.

Hivyo muwe mnaelewa uhalisia siyo kuwasikiliza wanasiasa kila kitu.
 
Na chacha wangwe aliutaka uenyekiti aka rest in peace.
Kabisa inatakiwa tuanze kujaji hapa kwanza kwenye suala la uenyekiti kabla hatujaenda kuipaka matope serikali.

Kwanini hii nafasi Ni hatari Sana.
 
Toka ameshambuliwa ni miaka mitatu, mlituambia kuwa mhusika mkuu hayupo ndio maana hakukuwa na linaloendelea, sasa mhusika mkuu karudi mbona bado mko kimya? Kwanini mliondoa cctv kamera, kwanini siku anashambuliwa walinzi wa serikali waliondolewa?
Ulitaka waanze kumuhoji na kampeni hizi si atalalamika! Halafu usitumie tuli mi sihusiki wewe acha kuwa na akili mgando..
Matukio mengine yanahitaji muda.. tunajadili hatima ukifata process hutaelewa kamwe.
 
Back
Top Bottom