Uchaguzi 2020 Samia Suluhu Hassan: Askari wa Serikali ya CCM akipiga mtu risasi 3 akamkosa atawajibika

Uchaguzi 2020 Samia Suluhu Hassan: Askari wa Serikali ya CCM akipiga mtu risasi 3 akamkosa atawajibika

Ulitaka waanze kumuhoji na kampeni hizi si atalalamika! Halafu usitumie tuli mi sihusiki wewe acha kuwa na akili mgando..
Matukio mengine yanahitaji muda.. tunajadili hatima ukifata process hutaelewa kamwe.
Kwahiyo ukiwa mhalifu kipindi cha kampeni huhojiwi? mbona kuna wagombea mmewaweka ndani kipindi hiki? na Kwanini muogope mhalifu kulalamika kama mna uhakika katenda huo uhalifu?
 
Kwahiyo ukiwa mhalifu kipindi cha kampeni huhojiwi? mbona kuna wagombea mmewaweka ndani kipindi hiki? na Kwanini muogope mhalifu kulalamika kama mna uhakika katenda huo uhalifu?
Mkuu tusichoshane na mi siwezi wapangia kazi hao wahusika wao wanajua utaratibu wao by the way upelelezi wao huenda bado wanaufanya hivyo subiri hitimisho na sio process kuwa muelewa..
 
Lissu itakuwa alipigwa risasi na Wadeni wake au alikua anachukua wake za watu, ndiyo hayo matatizo kajisababishia!!
Ni kweli,huyu jamaa ni kipanga kweli kweli.
Kuna siku nilimkuta akim*** mba mama yako...inawezekana ikawa sababu ya kweli ya lile shambulio.

Sasa nadhani wewe jkipaji unaweza kuwa mtuhumiwa wa jinai ile.

Unatafutiwa na polisi,uwe makini
 
Yani nimesikiliza hilo nimechoka sana, hasa kwamba maneno hayo yanatoka kwa huyo mama! Kwa hiyo anataka kusemaje? Wangepiga moja tu? Ilikuwa stahili ya Lissu kupigwa moja? Mbona mama anajishushia heshima kiasi hiki??
 
Hapo kasema ukweli mtupu Maana yeye ndo miongoni mwa maboss wa Askari wao wa CCM hivyo anawajua vizuri weredi wao. Kwahiyo Mimi naamini alichokisema na ndo uhalisia.


Zitto aliutaka uenyekit wa chadema akafukuzwa Chama.
Ben sanane aliutaka uenyekit wa Chama akapotea mpaka leo.
Tundu lissu aliutaka uenyekiti wa Chama akapigwa na vitu vinavyosadikika ni risasi.
F. SUMAYE aliutaka uenyekiti wa Chama akaambiwa kuwa Sumu haionjwi kwa usalama wa maisha yake akaamua kujiweka pembeni na kuchomoka kwenye himaya za mtia Sumu.

Swali; kwanini Kila anaeutaka uenyekiti wa Chama CDM anapatwa na matatizo Ni ipi Siri iliyopo Hapo nyuma?
Je nikweli Mbowe Ni kibaraka wa serikali kwamba hawezi kutoka kwenye kile kiti kwa masilahi ya Taifa?
Mna mawazo duni sana !!. Hayo yafanyike na uchunguzi usifanyike !!??. Wiki moja baadaye igp atangaze kufunga upelelezi wa jambo hilo ?!. Basi hatuna vyombo vya dola !!
 
Mama amekosa heshima huyu. Sasa asubiri majibu ya Genius wetu. Lissu usiliachie hili likapita, lazma huyu bibi awekwe sawa jukwaani mbele ya macamera na Watanzania nzima.

Halafu mama nae anavi-issues vyake watu wanakaa kimya tu. Sasa ni muda muafaka kuviweka hadharani.
 
Lissu itakuwa alipigwa risasi na Wadeni wake au alikua anachukua wake za watu, ndiyo hayo matatizo kajisababishia!!
Ndio mke wako alisema Lissu anamkula..?

65IN42 Kazi unayo
 
Hao wadeni wake baadae wakaenda kun'goa CCTV

Lakini kabla ya shambulizi hao jamaa ambao walichukuliwa wake zao walihakikisha walinzi wote hapo Area D wanaondolewa amaa kweli hao watu wananguvu serikalini
Huyo alipigwa na risasi za wawindia ndege,
Special task hawezi kupiga risasi 38 kwenye gari,
Hawezi kuingia hasara yote hiyo ya risasi kwa kitu kidogi hivyo.
Pale angetumia risasi zisizozid 3 na sehem muhimu tu,
Hao ni wawinda mdege ndo walimrushia
tundu magoroli tu ya kuua ndege.
 
Mimi huwa nawaangalia tu, wanaosema et wale jamaa waliomshambulia Lissu walitumwa na Magufuli kumuua Lissu🤔.

Sniper au commando anaeaminika na mkuu wa nchi na intelejensia nzima, ATUMWE KUTEKELEZA MAUAJI ya mtu mdogo asiejua lolote katika swala zima la kujihami Kama lissu, pamoja na Yale mazingira wanayojaribu kutuaminisha, ambayo yanarahisisha kabisa mission, et apige risasi 16, zote zimpate mguuni😲? Jamani hebu tuweni serious kidogo 😂😂.Mama Samia Yuko sawa, Kwa mazingira mepesi Kama yake risasi MOJA TU INGETOSHA.

Huu mchezo ni wa chadema hukohuko, tujiulize kwanini kila mtu atakae onyesha nia ya kuutaka uenyekiti, lazima yamkute mazito?? Kunzai kwa Zitto, Ben sanane, Chacha wangwe, sumaye , Lissu...?
 
Huyu hapa mwengine dada
Mama amenogewa na maisha ya kwenye kiyoyozi.
Screenshot_20200905-083213_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom