Uchaguzi 2020 Samia Suluhu Hassan: Askari wa Serikali ya CCM akipiga mtu risasi 3 akamkosa atawajibika

Uchaguzi 2020 Samia Suluhu Hassan: Askari wa Serikali ya CCM akipiga mtu risasi 3 akamkosa atawajibika


Sasa ni dhahili kuwa CCM ni mashetani!!! Huu ni udhalimu wa kiwango cha juu kabisa!!! Kwa iyo wanampangia Mungu sio???? Yaani mtume watu wampige mtu wa watu risasi, Mungu anamponya bado mnaleta maneno ya kebehi???

Lazima Mungu awape CCM anguko kuu mwaka huu!!
 
Swali; nyie ndio mnamiliki vyombo vyote vya usalama na vya sheria, mnsjus kuwa mwenyekiti wa chadema amefanya haya yote. Kwanini mpaka leo hamjamchukulia hatua za kisheria? au yeye yuko juu ya sheria?
Mungu kawapiga upofu CCM. Sasaivi wamekuja na stairi mpya wanafanya matukio alafu wanawaambia polisi waseme ni Chadema!!! Wanawaona Watanzania ni wapumbavu sana!!

Mungu lazima awapige pigo kubwa sana Ccm mwaka huu, si kwa kumdhihaki huku!!

Inauma sana , mnatuma watu wenu wafanye mauaji alafu Mungu aliingilia kati mnaleta maneno ya kishenzi.
 
Yaani kwa jinsi mambo yalivyo na kwa nafasi yake kama Mama wa Kiislam akiwa na headscarf muda wote angepumzika siasa mbaya ili kujitenga na upande huo. Lakini yeye anafikia hatua ya kukejeli wananchi wake waliopatwa na maswaibu....nimesikitika sana!

Kwakweli (samahani hapa wanawake/akina mama); hivi huwa baadhi yenu mnawezaje kutoa mimba na au kutupa kichanga chooni???

Hata kama alipigwa na majambazi au CHADEMA wenyewe Kwanini basi kukejeli Utukufu na Uwezo wa Mungu kumponya binadamu mwenzio???

Mbona viongozi wetu mmejawa na viburi na kejeli nyingi kwa raia wenu wapole hawa mnawataka nini lakini??

So video has been watched by many and yes we have now concluded of your innermost character.

May God heal our country and the people within it who are being squeezed unnecessarily.
Mkuu kitu unachosahau kikubwa ni kuwa umeasahau kuwa mpaka hapo alipofika sio lele mama. Kwa sisiemu kufika kcheo kama hicho alicho nacho ujue kafanya umafia sana na wa kutisha mpaka akakubalika.

Ni vile tu ni mwanamke ndio maana unamchukulia poa. Achana na mascafu hayo hata shetani anayo.
 
Mkuu kitu unachosahau kikubwa ni kuwa umeasahau kuwa mpaka hapo alipofika sio lele mama. Kwa sisiemu kufika kcheo kama hicho alicho nacho ujue kafanya umafia sana na wa kutisha mpaka akakubalika.

Ni vile tu ni mwanamke ndio maana unamchukulia poa. Achana na mascafu hayo hata shetani anayo.
Una uhakika na hiko ukisemacho?

CCM ni chama kinachoandaa viongozi na siyo majahili.

Mna siasa za kuchafuana sana. Hatuwapigii kura CHADEMA this time
 
Mimi nadhani chuki ni kuwanyima watu maendeleo kisa wamechagua chama tofauti na chako!Hiyo ni chuki kubwa sana!
Hakuna aliyenyimwa maendeleo.

Siasa za jukwaani za ushawishi wa kura zisikuue kwa vidonda vya tumbo
 
Yaani kwa jinsi mambo yalivyo na kwa nafasi yake kama Mama wa Kiislam akiwa na headscarf muda wote angepumzika siasa mbaya ili kujitenga na upande huo. Lakini yeye anafikia hatua ya kukejeli wananchi wake waliopatwa na maswaibu....nimesikitika sana!

Kwakweli (samahani hapa wanawake/akina mama); hivi huwa baadhi yenu mnawezaje kutoa mimba na au kutupa kichanga chooni???

Hata kama alipigwa na majambazi au CHADEMA wenyewe Kwanini basi kukejeli Utukufu na Uwezo wa Mungu kumponya binadamu mwenzio???

Mbona viongozi wetu mmejawa na viburi na kejeli nyingi kwa raia wenu wapole hawa mnawataka nini lakini??

So video has been watched by many and yes we have now concluded of your innermost character.

May God heal our country and the people within it who are being squeezed unnecessarily.
Kwa heshima aliyo jijengea mama samia kwa miaka mitano yote iliyo pita sikudhan kama angeweza kuiharibu kwa maneno ya sekunde chache tu , hapa mama kakosea na kamkosea allah!

Ninacho amini angeweza kufanya kampeni zake hadi mwisho pasipo kuongelea swala hili na bado angekuwa na ushawishi mkubwa tu maana watanzania tunamuelewa mama samia , ila kwa hili MAMA UMEPOTOKA.
 
Una uhakika na hiko ukisemacho?

CCM ni chama kinachoandaa viongozi na siyo majahili.

Mna siasa za kuchafuana sana. Hatuwapigii kura CHADEMA this time
Mlishawahi kutupigia?? CCM gani sio mafia?
 
Kwa heshima aliyo jijengea mama samia kwa miaka mitano yote iliyo pita sikudhan kama angeweza kuiharibu kwa maneno ya sekunde chache tu , hapa mama kakosea na kamkosea allah!
Thubutu. Heshima gani kama alikaa kimya kwa unyama unaofanywa na mkubwa wake?? Hio heshima ni ipi?
 
Back
Top Bottom