Kitwa-Mulomoni
JF-Expert Member
- Oct 25, 2016
- 1,779
- 1,119
Hiki ni kipimo tosha kuona Lissu kuwa anakera - anatuhumu serikali kutaka kumuua bila kuwa na ushahidi wa kutosha!. Mpaka mama wa watu yamemfika hapa! Kumbuka mama Samia alikwenda hata Nairobi kumjulia hali!Please Mama Samia tulikuona upo neutral una roho ya kimama ya huruma! Maneno hayo yanatoka kweli kinywani mwako????
Ngese kbsMie hapa ndo nimebaki kuduwaaa tuu, nahisi km movie kumbe ndo reality lol
My love msamehe, huenda uso wa Lisu unamtishaHuyu mama kumbe mpumbavu kias hiki?? Au alinyweshwa k vant
Astakafirullah Huyu mama kapatwa na nini yaani tulikuwa tunamwona mtu kumbe nayeye shetwani,jamani mtu anapigwa risasi,alafu anaongea kama jambo dogo sana,utadhani sio mama na hana watoto
=======
Mama Samia Suluhu Hassani ambaye ni mgombea mwenza wa kiti cha urais kupitia Chama cha Mapinduzi(CCM) amesema kuwa anawaomba wafanye kampeni kwa amani wakipita wawasikilize wala wasigombane nao.
Amesema kuwa wapo wagombea watakwenda kuwaambia kuwa walivunjwa miguu na mwingine alimsikia akisema kuwa alipigwa risasi 16.
''Watakuja kuwaambieni wameunjwa miguu lakini waulizeni ilikuwaje wakavunjwa miguu, wengine jana nilisikia mmoja anasema amemimiwa risasi 16 nataka niwaambie huyo sio askari wetu wa serikali ya chama cha Mapinduzi, askari wetu akipiga mtu tatu akamkosa atawajibika sikwambii askari aliefundishwa akapiga 16 huyo mtu atoke mzima".
Mbona mashekhe wa uamsho mnawatuhumu na huu ni mwaka wa 7 wako ndani, enyi wanahizaya msisahau iko siku ya malipoHiki ni kipimo tosha kuona Lissu kuwa anakera - anatuhumu serikali kutaka kumuua bila kuwa na ushahidi wa kutosha!. Mpaka mama wa watu yamemfika hapa! Kumbuka mama Samia alikwenda hata Nairobi kumjulia hali!
Angejua jinsi watanzania wanavyomheshimu mama huyu, asingedhubutu kutoa kejeli hii.Mi bado siamini kama kasema hayo kwenye video hii,kwani ndiye kiongozi pekee mkubwa aliyemjulia hali Tundu akiwa Nairobi hospitali na kukifanya chama tawala kuonyesha ungwana kidogo.Sasa yanaposikika haya watanzania wataelewaje?
=======
Mama Samia Suluhu Hassani ambaye ni mgombea mwenza wa kiti cha urais kupitia Chama cha Mapinduzi(CCM) amesema kuwa anawaomba wafanye kampeni kwa amani wakipita wawasikilize wala wasigombane nao.
Amesema kuwa wapo wagombea watakwenda kuwaambia kuwa walivunjwa miguu na mwingine alimsikia akisema kuwa alipigwa risasi 16.
''Watakuja kuwaambieni wameunjwa miguu lakini waulizeni ilikuwaje wakavunjwa miguu, wengine jana nilisikia mmoja anasema amemimiwa risasi 16 nataka niwaambie huyo sio askari wetu wa serikali ya chama cha Mapinduzi, askari wetu akipiga mtu tatu akamkosa atawajibika sikwambii askari aliefundishwa akapiga 16 huyo mtu atoke mzima".
Kabisa kwa kweli huyu mama sasa anataka kuvunjwa heshimaMama yetu Samia tuna kuheshimu sana jizuie ulimi wako usinene yasiyo haki au ushalewa sifa kuwa u mweupe na u mzuri ?
Haya namsameheMy love msamehe, huenda uso wa Lisu unamtisha
walio wasafi wako wap?Ukikaa na shetani na wewe utakuwa shetani
Hakuna aliemsafi ndani ya CCM
Mwaka wa kuweweseka huu.Lissu itakuwa alipigwa risasi na Wadeni wake au alikua anachukua wake za watu, ndiyo hayo matatizo kajisababishia!!
😀😀😀😀Safi kbsNa akikufa huko jehanam akachumbiwe na shetan awe anagongwa miti kila baada ya robo saa! Ukoo wa ibilisi wote ni maibilisi kumbe
Naungana na wewee kabisaaa, na ndo suluhisho lote la tatzo.Bila kujali aliempiga risasi Lissu katumwa na nani, mpigaji ana umahiri gani nk. Hoja kuu ni inakuaje hadi leo hii mtu huyo au watu hao hawaja kamatwa hadi leo. Mafunzo kamili yapo katika kulenga shabaha tu.
Tunaambiwa walinzi hawakuwepo, kamera ziliondolewa baada ya tukio...hoja hizo zinajibiwa vipi...
Wanyonge mnatufikirisha mjue!
Dah..Mbowe ni kijana wa Macumb Show... hii iko wazi kabisa [emoji2960]Hapo kasema ukweli mtupu Maana yeye ndo miongoni mwa maboss wa Askari wao wa CCM hivyo anawajua vizuri weredi wao. Kwahiyo Mimi naamini alichokisema na ndo uhalisia.
Zitto aliutaka uenyekit wa chadema akafukuzwa Chama.
Ben sanane aliutaka uenyekit wa Chama akapotea mpaka leo.
Tundu lissu aliutaka uenyekiti wa Chama akapigwa na vitu vinavyosadikika ni risasi.
F. SUMAYE aliutaka uenyekiti wa Chama akaambiwa kuwa Sumu haionjwi kwa usalama wa maisha yake akaamua kujiweka pembeni na kuchomoka kwenye himaya za mtia Sumu.
Swali; kwanini Kila anaeutaka uenyekiti wa Chama CDM anapatwa na matatizo Ni ipi Siri iliyopo Hapo nyuma?
Je nikweli Mbowe Ni kibaraka wa serikali kwamba hawezi kutoka kwenye kile kiti kwa masilahi ya Taifa?
Mama anatafuta balaa bure
Mama Samia Suluhu Hassani ambaye ni Mgombea mwenza wa kiti cha Urais kupitia Chama cha Mapinduzi(CCM) amesema kuwa anawaomba wafanye kampeni kwa amani wakipita wawasikilize wala wasigombane nao.
Amesema kuwa wapo wagombea watakwenda kuwaambia kuwa walivunjwa miguu na mwingine alimsikia akisema kuwa alipigwa risasi 16.
''Watakuja kuwaambieni wameunjwa miguu lakini waulizeni ilikuwaje wakavunjwa miguu, wengine jana nilisikia mmoja anasema amemimiwa risasi 16 nataka niwaambie huyo sio askari wetu wa serikali ya chama cha Mapinduzi, askari wetu akipiga mtu tatu akamkosa atawajibika sikwambii askari aliefundishwa akapiga 16 huyo mtu atoke mzima".
Mama anatafuta balaa bure
Mama Samia Suluhu Hassani ambaye ni Mgombea mwenza wa kiti cha Urais kupitia Chama cha Mapinduzi(CCM) amesema kuwa anawaomba wafanye kampeni kwa amani wakipita wawasikilize wala wasigombane nao.
Amesema kuwa wapo wagombea watakwenda kuwaambia kuwa walivunjwa miguu na mwingine alimsikia akisema kuwa alipigwa risasi 16.
''Watakuja kuwaambieni wameunjwa miguu lakini waulizeni ilikuwaje wakavunjwa miguu, wengine jana nilisikia mmoja anasema amemimiwa risasi 16 nataka niwaambie huyo sio askari wetu wa serikali ya chama cha Mapinduzi, askari wetu akipiga mtu tatu akamkosa atawajibika sikwambii askari aliefundishwa akapiga 16 huyo mtu atoke mzima".
NI kitu gani alifanya kwenye hilo bunge la Katiba hadi ukajua ni mtu wa hovyo?
Mleteni dereva wake akaripoti tukio polisi uchunguz uanze, mnalilia uchunguz kutoka nje vipi ukiambiwa ndio waliwalipa wapigajiFRubbish ,,sasa kama sio wao si waruhusu
uchunguzi huru kutoka mataifa ya nje tujue . Wao wameshindwa kufanya uchunguz wowote na kutuambia ni kina nan wahusika .
Kwann wanaweweseka sana na hili tukio ,
Mie najua huyu mama n lesbooohNdo Nan huyu rc .uwiiii....kuuumbeee...chezea[emoji533]
Kitambo san tangu akiwa bunge la katiba,Kesha onjwa na Sizonje....