Uchaguzi 2020 Samia Suluhu Hassan: Askari wa Serikali ya CCM akipiga mtu risasi 3 akamkosa atawajibika

Uchaguzi 2020 Samia Suluhu Hassan: Askari wa Serikali ya CCM akipiga mtu risasi 3 akamkosa atawajibika

Please Mama Samia tulikuona upo neutral una roho ya kimama ya huruma! Maneno hayo yanatoka kweli kinywani mwako????
Hiki ni kipimo tosha kuona Lissu kuwa anakera - anatuhumu serikali kutaka kumuua bila kuwa na ushahidi wa kutosha!. Mpaka mama wa watu yamemfika hapa! Kumbuka mama Samia alikwenda hata Nairobi kumjulia hali!
 


=======
Mama Samia Suluhu Hassani ambaye ni mgombea mwenza wa kiti cha urais kupitia Chama cha Mapinduzi(CCM) amesema kuwa anawaomba wafanye kampeni kwa amani wakipita wawasikilize wala wasigombane nao.

Amesema kuwa wapo wagombea watakwenda kuwaambia kuwa walivunjwa miguu na mwingine alimsikia akisema kuwa alipigwa risasi 16.

''Watakuja kuwaambieni wameunjwa miguu lakini waulizeni ilikuwaje wakavunjwa miguu, wengine jana nilisikia mmoja anasema amemimiwa risasi 16 nataka niwaambie huyo sio askari wetu wa serikali ya chama cha Mapinduzi, askari wetu akipiga mtu tatu akamkosa atawajibika sikwambii askari aliefundishwa akapiga 16 huyo mtu atoke mzima".
Astakafirullah Huyu mama kapatwa na nini yaani tulikuwa tunamwona mtu kumbe nayeye shetwani,jamani mtu anapigwa risasi,alafu anaongea kama jambo dogo sana,utadhani sio mama na hana watoto
 
Hiki ni kipimo tosha kuona Lissu kuwa anakera - anatuhumu serikali kutaka kumuua bila kuwa na ushahidi wa kutosha!. Mpaka mama wa watu yamemfika hapa! Kumbuka mama Samia alikwenda hata Nairobi kumjulia hali!
Mbona mashekhe wa uamsho mnawatuhumu na huu ni mwaka wa 7 wako ndani, enyi wanahizaya msisahau iko siku ya malipo
 


=======
Mama Samia Suluhu Hassani ambaye ni mgombea mwenza wa kiti cha urais kupitia Chama cha Mapinduzi(CCM) amesema kuwa anawaomba wafanye kampeni kwa amani wakipita wawasikilize wala wasigombane nao.

Amesema kuwa wapo wagombea watakwenda kuwaambia kuwa walivunjwa miguu na mwingine alimsikia akisema kuwa alipigwa risasi 16.

''Watakuja kuwaambieni wameunjwa miguu lakini waulizeni ilikuwaje wakavunjwa miguu, wengine jana nilisikia mmoja anasema amemimiwa risasi 16 nataka niwaambie huyo sio askari wetu wa serikali ya chama cha Mapinduzi, askari wetu akipiga mtu tatu akamkosa atawajibika sikwambii askari aliefundishwa akapiga 16 huyo mtu atoke mzima".
Angejua jinsi watanzania wanavyomheshimu mama huyu, asingedhubutu kutoa kejeli hii.Mi bado siamini kama kasema hayo kwenye video hii,kwani ndiye kiongozi pekee mkubwa aliyemjulia hali Tundu akiwa Nairobi hospitali na kukifanya chama tawala kuonyesha ungwana kidogo.Sasa yanaposikika haya watanzania wataelewaje?
 
Madaraka matamu. Mama anakoleza chumvi hataki kung'oka. Ama kweli ccm wamezidiwa hadi na huyu aliyekiwa akiheshimika anatema upupu siku hizi??
Watz lile jambo letu la October 28 ni muhimu sana kulitekeleza kwa vitendo.
 
Bila kujali aliempiga risasi Lissu katumwa na nani, mpigaji ana umahiri gani nk. Hoja kuu ni inakuaje hadi leo hii mtu huyo au watu hao hawaja kamatwa hadi leo. Mafunzo kamili yapo katika kulenga shabaha tu.

Tunaambiwa walinzi hawakuwepo, kamera ziliondolewa baada ya tukio...hoja hizo zinajibiwa vipi...

Wanyonge mnatufikirisha mjue!
Naungana na wewee kabisaaa, na ndo suluhisho lote la tatzo.
 
Hapo kasema ukweli mtupu Maana yeye ndo miongoni mwa maboss wa Askari wao wa CCM hivyo anawajua vizuri weredi wao. Kwahiyo Mimi naamini alichokisema na ndo uhalisia.

Zitto aliutaka uenyekit wa chadema akafukuzwa Chama.
Ben sanane aliutaka uenyekit wa Chama akapotea mpaka leo.
Tundu lissu aliutaka uenyekiti wa Chama akapigwa na vitu vinavyosadikika ni risasi.
F. SUMAYE aliutaka uenyekiti wa Chama akaambiwa kuwa Sumu haionjwi kwa usalama wa maisha yake akaamua kujiweka pembeni na kuchomoka kwenye himaya za mtia Sumu.

Swali; kwanini Kila anaeutaka uenyekiti wa Chama CDM anapatwa na matatizo Ni ipi Siri iliyopo Hapo nyuma?

Je nikweli Mbowe Ni kibaraka wa serikali kwamba hawezi kutoka kwenye kile kiti kwa masilahi ya Taifa?
Dah..Mbowe ni kijana wa Macumb Show... hii iko wazi kabisa [emoji2960]
 



Mama Samia Suluhu Hassani ambaye ni Mgombea mwenza wa kiti cha Urais kupitia Chama cha Mapinduzi(CCM) amesema kuwa anawaomba wafanye kampeni kwa amani wakipita wawasikilize wala wasigombane nao.

Amesema kuwa wapo wagombea watakwenda kuwaambia kuwa walivunjwa miguu na mwingine alimsikia akisema kuwa alipigwa risasi 16.

''Watakuja kuwaambieni wameunjwa miguu lakini waulizeni ilikuwaje wakavunjwa miguu, wengine jana nilisikia mmoja anasema amemimiwa risasi 16 nataka niwaambie huyo sio askari wetu wa serikali ya chama cha Mapinduzi, askari wetu akipiga mtu tatu akamkosa atawajibika sikwambii askari aliefundishwa akapiga 16 huyo mtu atoke mzima".

Mama anatafuta balaa bure
 



Mama Samia Suluhu Hassani ambaye ni Mgombea mwenza wa kiti cha Urais kupitia Chama cha Mapinduzi(CCM) amesema kuwa anawaomba wafanye kampeni kwa amani wakipita wawasikilize wala wasigombane nao.

Amesema kuwa wapo wagombea watakwenda kuwaambia kuwa walivunjwa miguu na mwingine alimsikia akisema kuwa alipigwa risasi 16.

''Watakuja kuwaambieni wameunjwa miguu lakini waulizeni ilikuwaje wakavunjwa miguu, wengine jana nilisikia mmoja anasema amemimiwa risasi 16 nataka niwaambie huyo sio askari wetu wa serikali ya chama cha Mapinduzi, askari wetu akipiga mtu tatu akamkosa atawajibika sikwambii askari aliefundishwa akapiga 16 huyo mtu atoke mzima".

Mama anatafuta balaa bure
 
NI kitu gani alifanya kwenye hilo bunge la Katiba hadi ukajua ni mtu wa hovyo?

..kuna comment alitoa kuhusu wabunge wa vyama vya upinzani wakati wa bunge maalum.

..nadhani kulitokea mzozo na wabunge hao wakaamua kutoka nje ya ukumbi, sasa kuna kauli aliitoa ndio ilinifanya nijue kwamba iko siku tabia zake zitakuja kujulikana/kujitokeza waziwazi.

..Mama Samia alimtembelea Tundu Lissu akiwa hospitali Nairobi na alimkuta katika hali mbaya sana akiwa bado kitandani.

..Na waTz wengi tulimpongeza kuwa amefanya jambo la kiungwana. Sasa imekuwaje mtu ambaye alimuona TL akiwa kitandani ni mgonjwa, leo aanze kumtolea maneno ya kashfa? Kwa maoni yangu ni afadhali maneno hayo yangesemwa na mtu ambaye hakumuona TL kule hospitali.

..Na kibaya zaidi yamesemwa na mwanamke ambaye tunajua ana uchungu wa kuzaa,na anajua machungu ya kuuguza kwani kwa mila zetu wanawake ndiyo wanaouguza na wafariji ktk familia zetu.
 
FRubbish ,,sasa kama sio wao si waruhusu
uchunguzi huru kutoka mataifa ya nje tujue . Wao wameshindwa kufanya uchunguz wowote na kutuambia ni kina nan wahusika .
Kwann wanaweweseka sana na hili tukio ,
Mleteni dereva wake akaripoti tukio polisi uchunguz uanze, mnalilia uchunguz kutoka nje vipi ukiambiwa ndio waliwalipa wapigaji
 
Back
Top Bottom