Uchaguzi 2020 Samia Suluhu Hassan: Askari wa Serikali ya CCM akipiga mtu risasi 3 akamkosa atawajibika

Nimemdharau mno yaani hata JPM simdharau kwa kiwango ninachomdharau huyu mama kuanzia sasa.
Kweli ukiwa ccm unachoweza kujitahidi kufanya watu wasijue kama unafanana na wengine ni kukaa kimya tu.
 
Kwahyo askari wa ccm (POLICCM) wanajua kulenga shabaha

Huyu mama wa hovyo kabisa na macho yake yale kama bundi
 

Huku kunaitwa kuweweseka.

Alikwenda Nairobi kufanya nini basi Lissu alipokuwa hospitali?

Kumbe naye bure kabisa.
 
Duh! Mama kachafukwa. Nasikia na kina Muro, Hapi na vijana wengine kibao yani wanajipigiaga tu
Ni kweli au unazingua mkuu? Mbona anaonekana maza wa heshima utaanzaje kuomba papuchi hapo
 
Mawaziri wa kike wote files zao tunazo. Wakijichanganya wanalipuliwa tyuuuh
Mkuu heb nipe fail lake asee kwahiyo anachakatwa kinoma? Au ni maneno tu kwaajili ya hasira
 
Ni kweli au unazingua mkuu? Mbona anaonekana maza wa heshima utaanzaje kuomba papuchi hapo

Tatizo la kuanza kushindwa kujiheshimu mbona utazushiwa hata yale ya kimaskhara?

Wanaita mwana kulitafuta.
 
Hapa kuna ukweli ambao ni vigumu kuufafanua.
Ni aibu sana na ni fedheha kwa askari kutumia risasi nyingi nje ya Target (kama hipo).
Hata hivyo si sawa kusema askari ni wa chama tawala pekee au pengine alimaanisha wanalipwa mishahara kwa kazi za weledi na sio uhuni uhuni unaotangazwa na wengine majukwaani.
 
Mpuuzi wewe, lile tukio lilifanyika mchana kweupe. Kwa hivi ni wazi WAHALIFU walipanga watumie dakika chache tu na kutokomea.
 
Hili suala la ndege kutunguliwa nililiwaza sana.. I’m glad amelisema. Nyie Mataga jaribuni kumtungua Lissu muone.
 
Kipindi cha kampeni za mwaka 2015 akajichagulia kina Ummy, Kairuki, Wolper, Aunt Ezekiel na Wema akawa nao kwenye kampeni eti mama ongea na mwanao yani ilikuwa ni laana tupu! Emb niishie hapo ila lazima nimuite Victoire
Balaa hili. Hatujawahi kumwona mumewe public.
 
Hawa sasa slowly wanaingia kwenye “mtego” wa Lissu wa kuliongelea suala la risasi 16.

Mama anasuggest nini? Kwamba Lissu alipigwa risasi na mamluki wa kukodi kutoka nje ya Nchi? Au hao waliopoteza risasi 16 bila kuua walishawajibishwa kwa kuwa kwao wao standard ni risasi 3 tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…