Uchaguzi 2020 Samia Suluhu Hassan: Askari wa Serikali ya CCM akipiga mtu risasi 3 akamkosa atawajibika

Uchaguzi 2020 Samia Suluhu Hassan: Askari wa Serikali ya CCM akipiga mtu risasi 3 akamkosa atawajibika

CCM mnatakiwa kufanya marekebisho wani hapo alisemmakubwa ya kauli zenu kuanzia kwa mwenyekiti wenu mpk mwanachama wa kule Mpitimbi.

Hii video inamuonesha mama Samia akitoa kauli ya kejeli kwamba Tundu Lisu hakupigwa risasi 16. Anaongeza kwa kusema wanajeshi wa serikali ya ccm wamefunzwa vema kiasi kwamba risasi moja tu ingemmaliza Lisu.

Karibu kulinganisha na ile ya Mdude uone ipi haina utu na maadili.


View attachment 1840911
Kwani hapo samia alisema uongo? Askari gani kafunzwa wa majeshi yetu apoteze risasi 16 za umma bure. Risasi za Lissu ilikua kazi ya ndani ya chadema.
 
hizi kauli za kifedhuli na kizandiki huwa wanazitoa kana kwamba wana mkataba na Mungu wa kuishi milele na kwamba walio kinyume nao hawana haki ya kuishi.
 
CCM mnatakiwa kufanya marekebisho makubwa ya kauli zenu kuanzia kwa mwenyekiti wenu mpk mwanachama wa kule Mpitimbi.

Hii video inamuonesha mama Samia akitoa kauli ya kejeli kwamba Tundu Lisu hakupigwa risasi 16. Anaongeza kwa kusema wanajeshi wa serikali ya ccm wamefunzwa vema kiasi kwamba risasi moja tu ingemmaliza Lisu.

Karibu kulinganisha na ile ya Mdude uone ipi haina utu na maadili.


View attachment 1840911
Ni kweli alichosema mama samia.

Kwamba wale waliompiga lissu risasi sio askari wao.

Laiti ingekuwa ni askari wao basi lissu asingekoswa angelikuwa marehemu kabisa.

Mantiki ya mama samia ni kwamba lissu atafute waliompiga risasi na isisemwe labda ni askari.

Kwa maana waliompiga risasi lissu ni wazembe saaana yaani risasi 17 mtu hajafa,looooh hawa hawawezi kuwa askari wao.

Hicho ndo kilichokusudiwa.
 
Ni kweli alichosema mama samia.

Kwamba wale waliompiga lissu risasi sio askari wao.

Laiti ingekuwa ni askari wao basi lissu asingekoswa angelikuwa marehemu kabisa.

Mantiki ya mama samia ni kwamba lissu atafute waliompiga risasi na isisemwe labda ni askari.

Kwa maana waliompiga risasi lissu ni wazembe saaana yaani risasi 17 mtu hajafa,looooh hawa hawawezi kuwa askari wao.

Hicho ndo kilichokusudiwa.
Intarahamwe wa TISS..under bashite.
 
CCM mnatakiwa kufanya marekebisho makubwa ya kauli zenu kuanzia kwa mwenyekiti wenu mpk mwanachama wa kule Mpitimbi.

Hii video inamuonesha mama Samia akitoa kauli ya kejeli kwamba Tundu Lisu hakupigwa risasi 16. Anaongeza kwa kusema wanajeshi wa serikali ya ccm wamefunzwa vema kiasi kwamba risasi moja tu ingemmaliza Lisu.

Karibu kulinganisha na ile ya Mdude uone ipi haina utu na maadili.


View attachment 1840911
Kumbe naye kama mdude
 
Katiba mpya itaondoa political intolerance.........mtu asiye na jazba anaweza kuwa mwanasiasa bora zaidi
 
Kumbe haka kanakake ni kamke ka Koplo tena wa zimamoto
Tumwambie tu huyu mke wa Coplo wa zimamoto kuwa wauaji waliowatuma kumuua Lissu hawakumkosa, walimpata, walimimina zaidi ya 30, na zote zililenga pale pale anapokaa Lissu kwa upande wa ndani. Hongera huyo askari kaiva kwenye shabaha.
Mliwatuma wakatekeleza maelekezo.
Ila hata siku moja shetani hajawahi kumzidi Mungu!
Nilikuwa nakuona ww mama mstaarab umekaa kimya haufungamani na hao wenzako, kumbe ulikuwa umeficha makucha, Lissu mliyomtwanga marisasi ya kutosha Mungu akasema no, huyu mtu ni mpango wangu, ni lazima aishi! Mna roho mbaya sana ninyi watu, sijui mwanamke gan ww, hukuzaa??
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Clip hizi nikiziangalia nawaza sana..risasi nyingi zilikuwa zinapigwa pemben..jamaa angejificha kwenye ile daldala je..je..?
 
Yani yule "jambazi" wa jana pamoja na kwamba alikuwa amesimama mwenyewe barabarani na peupe kabisa lakini iliwachukua polisi risasi karibu 20 ndo wakampata akadondoka...!
 



Mama Samia Suluhu Hassani ambaye ni Mgombea mwenza wa kiti cha Urais kupitia Chama cha Mapinduzi(CCM) amesema kuwa anawaomba wafanye kampeni kwa amani wakipita wawasikilize wala wasigombane nao.

Amesema kuwa wapo wagombea watakwenda kuwaambia kuwa walivunjwa miguu na mwingine alimsikia akisema kuwa alipigwa risasi 16.

''Watakuja kuwaambieni wamevunjwa miguu lakini waulizeni ilikuwaje wakavunjwa miguu, wengine jana nilisikia mmoja anasema amemimiwa risasi 16 nataka niwaambie huyo sio askari wetu wa serikali ya chama cha Mapinduzi, askari wetu akipiga mtu tatu akamkosa atawajibika sikwambii askari aliefundishwa akapiga 16 huyo mtu atoke mzima".

utamu wa madaraka ni ugonjwa mbaya sana kuliko unavyodhani..kumbe hakuna mwaminifu kwa mshindani wake.
 
Tundu Lissu alipigwa risasi zaidi ya 30 zikamuingia mwilini risasi 16. Hakufa.

Mwaka jana kwenye kampeni ilisemwa kwamba waliompiga Tundu Lissu hawawezi kuwa askari wa serikali

Jana simu zimeonyesha askari wamepiga zaidi ya risasi tatu, nyingi tu

Je wataadhibiwa wale askari
 
Back
Top Bottom