Tundu Lissu alipigwa risasi zaidi ya 30 zikamuingia mwilini risasi 16. Hakufa.
Mwaka jana kwenye kampeni ilisemwa kwamba waliompiga Tundu Lissu hawawezi kuwa askari wa serikali
Jana simu zimeonyesha askari wamepiga zaidi ya risasi tatu, nyingi tu
Je wataadhibiwa wale askari
Habari hii imfikie SSH akapate kujitathmini