900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
Sawa ila sisi tulioajiriwa juzi na tumekwenda kuripoti maeneo yetu yakazi mbona hatujapata pepa au ndo tumeponaUle mtazamo kuwa taaluma ya ualimu ni chaguo la mwisho baada ya kukosa fursa nyingine unakaribia ukingoni, baada ya Serikali kutangaza utaratibu mpya katika ajira za taaluma hiyo.
Utaratibu huo, kwa mujibu wa Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda utahusisha, ili uajiriwe kuwa mwalimu utapaswa kufanya mtihani wa kupima uwezo wako.
Kwa sasa, ajira ya ualimu inahusisha kutuma maombi katika tovuti maalum ya maombi ya ajira, kisha anayepata nafasi hufanyiwa usaili kisha kupangiwa eneo la kazi.
Mwananchi
we ni zao la nini?Na ndio zao la wanasiasa na wanasheria bwege wanaouza nchi
wapi huko,mbona walimu wamepangwa juzi tu na hakuna cha mtihani Wala Nini!!!???Ule mtazamo kuwa taaluma ya ualimu ni chaguo la mwisho baada ya kukosa fursa nyingine unakaribia ukingoni, baada ya Serikali kutangaza utaratibu mpya katika ajira za taaluma hiyo.
Utaratibu huo, kwa mujibu wa Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda utahusisha, ili uajiriwe kuwa mwalimu utapaswa kufanya mtihani wa kupima uwezo wako.
Kwa sasa, ajira ya ualimu inahusisha kutuma maombi katika tovuti maalum ya maombi ya ajira, kisha anayepata nafasi hufanyiwa usaili kisha kupangiwa eneo la kazi.
Mwananchi
Na vyuo vya uhasibu, na fani zingine haviaminiki mpaka waomba kazi wafanyiwe usaili?Vyuo haviaminiki tena vilivyowaandaa walimu?
Huu ni upumbavu wa kupitiliza. Kama hawaamini vyuo wanavyosoma si bora wavifute tu? Wapuuzi wakubwa!Ule mtazamo kuwa taaluma ya ualimu ni chaguo la mwisho baada ya kukosa fursa nyingine unakaribia ukingoni, baada ya Serikali kutangaza utaratibu mpya katika ajira za taaluma hiyo.
Utaratibu huo, kwa mujibu wa Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda utahusisha, ili uajiriwe kuwa mwalimu utapaswa kufanya mtihani wa kupima uwezo wako.
Kwa sasa, ajira ya ualimu inahusisha kutuma maombi katika tovuti maalum ya maombi ya ajira, kisha anayepata nafasi hufanyiwa usaili kisha kupangiwa eneo la kazi.
Mwananchi
Professor Mkenda, wazo lako ni nzuri na umelileta wakati sahihi.Ule mtazamo kuwa taaluma ya ualimu ni chaguo la mwisho baada ya kukosa fursa nyingine unakaribia ukingoni, baada ya Serikali kutangaza utaratibu mpya katika ajira za taaluma hiyo.
Utaratibu huo, kwa mujibu wa Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda utahusisha, ili uajiriwe kuwa mwalimu utapaswa kufanya mtihani wa kupima uwezo wako.
Kwa sasa, ajira ya ualimu inahusisha kutuma maombi katika tovuti maalum ya maombi ya ajira, kisha anayepata nafasi hufanyiwa usaili kisha kupangiwa eneo la kazi.
Mwananchi
Aliyekuambia mwalimu analipwa mshahara mbuzi ni nani?Ni kawaida sana kuona viongozi wa serikali wenye akili za kukariri madesa kuwekeza kwenye mambo ya kipuuzi kama haya, huku yale ya msingi wakiyapuuza.
Unamlipa mwalimu mshahara mbuzi, halafu unatagemea maajabu! Kwa nini wasinde kujifunza kwenye zile shule binafsi zinazofanya vizuri, ili kumbaini mchawi?
Hao walimu mnawalinganisha na akina nani kwenye kupima udogo wa mishahara yao?Yaani bado tatizo litakuwa vile vile, mtu kasoma miaka mitatu unakuja kumpa kimtihani ya page tatu afu um judge kwamba hafai kisa kashindwa icho kimtihani... linatengenezwa bomu la kukithiri rushwa kwene upatikanaji wa izo ajira.
Ilitakiwa vigezo vya kusoma ualimu viwe vinachukua wanafunzi bright na maslahi yao yaboreshwe walau kwa kiasi itsaidia
Usaili na mtihani ni vitu viwili tofautiKuna kada unapata kazi bila usaili?
Iwe ban ya maisha. Puuzi sana lile gogoMnabahati Mpwayungu Village amekula BAN
Think bigWhy wasi overahul higher education??
Waweke standards mpya za admission kwenye vyuo
Usaili ni nini na Mitihani unakupima wakati unaomba ajira ni nini?Usaili na mtihani ni vitu viwili tofauti
interview ndio mtihani?Kada zingine mbona wanafanya interview