Serikali yaanza uchunguzi wanafunzi kufundishwa ulawiti

Kweli Tumefika mbali
 
Kwahiyo Prof Mkenda ana chuki na Wachagga?

Samahani lakini
Elewa ninachosema, yeye kasikia tuhuma mlizozusha, Ili kuupata ukweli ndio kaunda hicho kikosi kuchunguza ukweli wa hizo tuhuma.

Ushauri tu: fanyeni kazi acheni uzushi wivu na majungu mwisho wake hua sio mzuri

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu acha kukwepa hoja. Mgombea yule alisema anasupport ushoga. In his own words wala hakusingiziwa. Sasa sisi kazi yetu kuunganisha matukio. Chama anachotokea kilianzia mkoani huko kwenye hiyo shule ambapo taarifa zinaonesha vitendo hivyo vya wanaume kubanduana vimekithiri
 
Kaka umefafanua vizuri nimeelewa.uko sahihi
 
Kahh
 
Mwamba wa kaskazini upo nusu mlingoti
Wape elimu watoto wako wajue haya mambo sasa wewe shangilia hapa then uje ukute mtoto wako ndio anapumuliwa, Kuna kisa kimoja Arusha mama alikuwa anakandia sana ushoga anatamani hata mashoga wauwawe, ila siku moja akaja kugundua mtoto wake ni mpunga pia, mama hadi leo hii ameparalise, so fundiaha watoto wako, acha ushabiki
 
Internatiina school, Watoto wanaaambiwaga wawe wazi kama mvulana ana boy friend mwenzake awe wazi na kama msichana ana msichana mwenzake mpenzi pia wawe wazi, hawafundiswi live ila sema kuna freedom wanapewa,
Kuna ndugu yako anafanya ushoga Kwa siri hapa mjini sema su nimtaje hapa[emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Hii unaijua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…