BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Internatiina school, Watoto wanaaambiwaga wawe wazi kama mvulana ana boy friend mwenzake awe wazi na kama msichana ana msichana mwenzake mpenzi pia wawe wazi, hawafundiswi live ila sema kuna freedom wanapewa,chuki chuki chuki. hakuna shule inaweza kufundisha ushoga.
Waziri hajamtaja shule ola amesema majina ya hizo Shule anayoMtoa posti anashindwa nini kuitaja Shule na huyo mwalimu?
Mkuu we maso wa ukoo upi?Dah, aisee! Yan huyo mwalimu atakae thibitika dhahiri anayafanya hayo naomba apewe adhabu ya kunyongwa tu kwa ajili ya ustawi wa kizazi cha badae cha watoto wetu.
Haya mambo hayakuwepo KilimanjaroMwamba wa kaskazini upo nusu mlingoti
Kweli Tumefika mbaliWaziri wa Elimu Prof Mkenda amesema ametuma timu maalumu mkoani Kilimanjaro kuchunguza Shule zinazofundisha Wanafunzi vitendo vya kulawitiana
Prof Mkenda amesema wameshtushwa sana na Taarifa hizo hivyo wameongea na Mkuu wa mkoa na RPC washirikiane na Tume hiyo kuchunguza Shule zilizotajwa
Chanzo: ITV
Elewa ninachosema, yeye kasikia tuhuma mlizozusha, Ili kuupata ukweli ndio kaunda hicho kikosi kuchunguza ukweli wa hizo tuhuma.Kwahiyo Prof Mkenda ana chuki na Wachagga?
Samahani lakini
Hatari sanaKweli Tumefika mbali
Mkuu acha kukwepa hoja. Mgombea yule alisema anasupport ushoga. In his own words wala hakusingiziwa. Sasa sisi kazi yetu kuunganisha matukio. Chama anachotokea kilianzia mkoani huko kwenye hiyo shule ambapo taarifa zinaonesha vitendo hivyo vya wanaume kubanduana vimekithiriSijui labda ulikuwepo eneo la tukio ukashuhudia.
Ushoga umejaa tele Dar, Tanga, Zanzibar hamuongei ila ngoja mtu mmoja tu kutoka Kilimanjaro ahusishwe na ushoga basi mnatukana wanakilimanjaro wote[emoji23]
Hakuna kitu kibaya kama chuki mkuu
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kaka umefafanua vizuri nimeelewa.uko sahihiHujui tu. Bongo ushoga unaweza kuwa uko mbele kuliko France. Bongo watu ni wanafiki. Utasikia mtu anapiga kelele hadharani kulaani kumbe kesho anaenda kumlawiti mke wa mtu. Na laana ninayozunguzmia mimi siyo laana kutoka kwa Mungu. Ni laana ya watoto kujifunza mambo wanayoona na kusikia kutoka kwa wakwabwa wao.
Aah hiki kizazi cha sasa cha kaskazini kwisha kaziHaya mambo hayakuwepo Kilimanjaro
Kasikia kwa nani wakati juzi alikuwa Jimboni Kwake Rombo?Elewa ninachosema, yeye kasikia tuhuma mlizozusha, Ili kuupata ukweli ndio kaunda hicho kikosi kuchunguza ukweli wa hizo tuhuma.
Ushauri tu: fanyeni kazi acheni uzushi wivu na majungu mwisho wake hua sio mzuri
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
KahhJamaa si wameona fursa ya hela. Yaani Hawa jamaa wangeongoza nchi nadhani wangetuuza watanzania ujue. Ni Bora Marealle waingereza hawakumpatia Uhuru mpaka nyerere alivyoenda akapewa. Nadhani kwa pia ya low iq ya kuwaza kikabila. Watu wanawaza namna ya kuitawala dunia yeye anawaza Uhuru wa kabila lake pekee so wakamuona hamnazo kabisa. Usomi wa bure
Wanafundishwa michezo ya amba rutiAina za Family wanazofundishwa huko intaneshno sculi...
Two dads and Children nayo ni aina ya Familia.
View attachment 2485109
Hawajui wachaga huyu!!ungekuwa mchaga afu ulete ushoga huko migombani uone.Ingekuwa ukilawitiwa unaisha, ww usingekuwepo muda mrefu sana.
Wape elimu watoto wako wajue haya mambo sasa wewe shangilia hapa then uje ukute mtoto wako ndio anapumuliwa, Kuna kisa kimoja Arusha mama alikuwa anakandia sana ushoga anatamani hata mashoga wauwawe, ila siku moja akaja kugundua mtoto wake ni mpunga pia, mama hadi leo hii ameparalise, so fundiaha watoto wako, acha ushabikiMwamba wa kaskazini upo nusu mlingoti
Kuna ndugu yako anafanya ushoga Kwa siri hapa mjini sema su nimtaje hapa[emoji23][emoji23]Internatiina school, Watoto wanaaambiwaga wawe wazi kama mvulana ana boy friend mwenzake awe wazi na kama msichana ana msichana mwenzake mpenzi pia wawe wazi, hawafundiswi live ila sema kuna freedom wanapewa,
Hii unaijua?Mkuu acha kukwepa hoja. Mgombea yule alisema anasupport ushoga. In his own words wala hakusingiziwa. Sasa sisi kazi yetu kuunganisha matukio. Chama anachotokea kilianzia mkoani huko kwenye hiyo shule ambapo taarifa zinaonesha vitendo hivyo vya wanaume kubanduana vimekithiri