Serikali yaonesha ushabiki wa wazi kwa Yanga kupeleka mashabiki South Africa

Ukishabikia sanaaaa Simba na Yanga. kichwani lazima zipungue.

KUNA VIJANA WENGI MNO AKILI ZIMEWARUKA KABISA, HAWANA FUTURE WAO NI KUWAZA SIMBA NA YANGA TU.....

MSIPOTEZE MUDA NA UPUUZI WA SIMBA NA YANGA.
HIZO TIMU NI VYOMBO VYA PROPAGANDA VYA SELIKALI KUWAPOTEZA MABOYA.

MY MESSAGE
MWENYE MASIKIO NA ASIKIE
 
Ukishabikia sanaaaa Simba na Yanga. kichwani lazima zipungue.

KUNA VIJANA WENGI MNO AKILI ZIMEWARUKA KABISA, HAWANA FUTURE WAO NI KUWAZA SIMBA NA YANGA TU.....

MSIPOTEZE MUDA NA UPUUZI WA SIMBA NA YANGA.
HIZO TIMU NI VYOMBO VYA PROPAGANDA VYA SELIKALI KUWAPOTEZA MABOYA.

MY MESSAGE
MWENYE MASIKIO NA ASIKIE
 
Yanga ilitoa ticket za Bure Wananchi waingie uwanjani, Serikali imerudisha kwa kulipia safari za Wananchi kadhaa.

Serikali imeona jinsi Yanga Inavyo jitoa kwa Wananchi wake wapate furaha na Yenyewe inawaonyesha Yanga kuwa wako pamoja na wanauona mchango wa Yanga kwa Wananchi kuleta utulivu na furaha.
 
Watu wanalalamika bila kujua jitihada zimefanywa na uongozi wa Yanga wenyewe kuomba kwa serikali je viongozi wenu wa Simba walifanya hizo jitihada wakakataliwa? Nanukuu maneno ya Eng Hersi Saidi [emoji116]

"Tunafahamu Klabu yetu ya Young Africans SC ina mchezo mwingine wa pili kule Afrika Kusini hivyo Uongozi wetu umefanya jitihada za kupeleka Ombi katika Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo chini ya Waziri wetu Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro la kusafirisha mashabiki kwa njia ya Basi na tunaishukuru Wizara kwa kukubali Ombi letu.

Wizara itahudumia gharama zote za safari ya kuelekea Afrika kusini yenye Wanachama na Mashabiki wetu 48 kuanzia Nauli mpaka pesa ya kujikimu, hivyo sisi Young Africans tunaishukuru sana Wizara.

Hapo mwanzo tulitangaza watu watakaosafiri walipaswa kuwa na shilingi laki 6 na tulipata watu 30, niwahakikishie baada ya Wizara kukubali kusafirisha Wanachama na Mashabiki wetu,zile laki 6 zitarudishwa kwa wenyewe.

Niwatakie safari njema na nina imani safari yetu ya kurudi itakuwa nzuri kwakuwa tutarudi tukiwa tayari tumeshafuzu hatua ya nusu Fainali" Rais wa Young Africans SC Eng. Hersi Said akiongea na Wanahabari wakati wa kuwaaga Wanachama na Mashabiki wanaosafiri kuelekea Afrika Kusini Makao Makuu ya Klabu Jangwani.
 
Nyuma ya mafanikio ya Yanga pia kuna mkono wa serikali,hii timu inapendelewa na serikaki ,mashabiki 40 wa Yanga wamepewa tickets za kwenda South Africa,ila kwa Simba ni tofauti as if haishiriki haya mashindano.
Mnalalamika bila kujua jitihada zimefanywa na uongozi wa Yanga wenyewe kuomba kwa serikali je viongozi wenu wa Simba walifanya hizo jitihada wakakataliwa? Nanukuu maneno ya Eng Hersi Saidi [emoji116]

"Tunafahamu Klabu yetu ya Young Africans SC ina mchezo mwingine wa pili kule Afrika Kusini hivyo Uongozi wetu umefanya jitihada za kupeleka Ombi katika Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo chini ya Waziri wetu Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro la kusafirisha mashabiki kwa njia ya Basi na tunaishukuru Wizara kwa kukubali Ombi letu.

Wizara itahudumia gharama zote za safari ya kuelekea Afrika kusini yenye Wanachama na Mashabiki wetu 48 kuanzia Nauli mpaka pesa ya kujikimu, hivyo sisi Young Africans tunaishukuru sana Wizara.

Hapo mwanzo tulitangaza watu watakaosafiri walipaswa kuwa na shilingi laki 6 na tulipata watu 30, niwahakikishie baada ya Wizara kukubali kusafirisha Wanachama na Mashabiki wetu,zile laki 6 zitarudishwa kwa wenyewe.

Niwatakie safari njema na nina imani safari yetu ya kurudi itakuwa nzuri kwakuwa tutarudi tukiwa tayari tumeshafuzu hatua ya nusu Fainali" Rais wa Young Africans SC Eng. Hersi Said akiongea na Wanahabari wakati wa kuwaaga Wanachama na Mashabiki wanaosafiri kuelekea Afrika Kusini Makao Makuu ya Klabu Jangwani.
 
Waambie ukweli!

Hiyo kazi ya kuomba support ya Serikali... Timu yoyote inaweza kuomba! Hata ihefu...

Ndio kazi ya kitengo cha habari na mawasiliano... Labda masharubu hawalijui hilo!
Simba hawana ubunifu; Kwenye safari ya kwenda Misri hawakuandaa mashabiki wakati Yanga ilianza kuandaa safari ya mashabiki hata kabla ya mchezo wa Lupaso. Halafu hili la Yanga kjuiomba serikali isaidie, Ombi kuu la Yanga lilikuwa ni kuwasaidia passport wale mashabiki waliokuwa wamelipa lakini hawana passport; maongezi hayo ndiyo yakaunganisha na uwezekana wa kusaidia sehemu ya gharama za kuwasafirisha.
 
tulia panadol ikuingie kolo wewe
 
kinachouma ni kodi zetu jombaa
 
Wala siyo upendeleo mtoto mwenye bidii ndiyo wakumpongeza.Ukisafirisha mashabiki wa Simba kwenda Misri wanakuwa wameenda kutalii TU wakati washatolewa.Tena serikali ingeongeza mashabiki zaidi ya hapo."Yanga kwanza Simba baadae"
Bidii ya wapi,Yanga wamefanya nini?
 
Mtoa mada asume una watoto wawili..mmoja kapata division 0 na mwingn kapata dvision 4..yupi utatia jitihada zaidi kwake..acha ushabik hali halis unaijua
0-0 nyumbani ndo jitihada? Acha ccomedy basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…