ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchele wenu? Hahaha.Mchele wetu, mahindi, maharage vimeenda wapi?
Njaa ni kali
Aise dada...umeongea Jambo la msingi sanaTunapigwa na vitu vizito.
Mchele wetu, mahindi, maharage vimeenda wapi?
Njaa ni kali imefikia watoto wanaiba mandaz huko mbeya mkoa wenye chakula.
Nchi imekuwa ngumu
Dad leo mwezi huu umeongea point mnoTunapigwa na vitu vizito.
Mchele wetu, mahindi, maharage vimeenda wapi?
Njaa ni kali imefikia watoto wanaiba mandaz huko mbeya mkoa wenye chakula.
Nchi imekuwa ngumu
Sana tu,halafu ukute ni pilau la basmati acha kabisa rafikiUnapenda ubwabwa eeh
Tanzania hakuna upungufu wa chakula, hii ni biashara ya watu, viongozi kama awa Magufuli aliwatumbuaMjinga tuu huyo Waziri wenu,hakuna sababu ya kuagiza mchele Nje ya Nchi maan upo wa kutosha Nchini.
Acha porojo za vibanda vya kahawaNgoja sasa muanze kuletewa ma mchele yenye sumu, nakumbuka miaka ya 90s kampuni ya kina Mo Dewji ilileta mchele hatarishi kwa watu, serikali ya mzee Mwinyi ikajikoroga ikaupiga marufuku, lile sakata lake liliua watu wote walioshughulika na huo mchele kuanzia Long room hadi kwa wakemia wa nchi walioshughulikia.
Waliuawa vifo vya utata sana. Kwahio kuruhusu mchele toka nje ni fursa ya kuwaletea wananchi makanjanja na faida kwa wafanyabiashara na wala sio eti njia ya kupunguza makali ya bei ya mchele. Time will tell.
Nashangaa Rais anawakalia kimya Ili waharibu uchumi wa WakulimaTanzania hakuna upungufu wa chakula, hii ni biashara ya watu, viongozi kama awa Magufuli aliwatumbua
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Pembeni nyama nyingiiSana tu,halafu ukute ni pilau la basmati acha kabisa rafiki
Aliye saidia kutufikisha hapo ni Waziri Bashe. Watu tulipiga kelele sana humu tangu mwaka jana kuwa chakula kisivushwe mipaka kiholela. Yeye na ma- boss wake waka tuona pro- Magu. Wa kulima wetu wengi ni maskini sana. Hawezi kumkatalia Mkenya anapokuja na sh million moja ana mwachia heka 2 akavune mwenyewe, atakachopata halali yake. Kesho yake mkulima ana a za kuhemea chakula, tumewaona sana huku. Samia awe makini na baadhi ya mawaziri wake kwani kuvaa capero (kofia) yenye herufi 'SSH' si uzalendo tosha.Tunapigwa na vitu vizito.
Mchele wetu, mahindi, maharage vimeenda wapi?
Njaa ni kali imefikia watoto wanaiba mandaz huko mbeya mkoa wenye chakula.
Nchi imekuwa ngumu
It's not fear man, maana mchele mwingi unatoka Pakistan, India na Far East huko i.e Thailand. Sasa uwaga top quality ya vitu vingi inapelekwa ulaya na US/Canada ila yale makapi ndio yanakwenda Africa. Hata nguo, magari ndio hivyo hivyo kwahio tutegemee bongo wakiagiza mchele watauziwa hayo makapi ambayo mengi yamepita muda yenye sumu-tuombe yasitokee hayo. Hilo suala la akina Mo Dewji la mchele wenye sumu hukuwahi kulisikia mbona lilikuwaga front pages kwenye magazeti ya bongo?? Na wote waliohusika walidedishwa ki utata nalo hukusikia?? Labda ulikua kiunoni kwa m sure bado kuzaliwa, maana humu JF siku hizi kuna vitoto vingi sana vya dotcom 🤣 🤣 🤣 🤣 .Fear of unknown
Hakuna mkulima wa chini aliyenufaika jamani acheni hizi ngonjera sema dalali ndo hunufaika zaidi ila sio mkulima.Yani tumeuza nje mchele wetu mtamu, sasa tunaagiza mchele kitumbo kama sio mchele wa mapembe unaopatikana Zanzibar. Lakini wakulima walinufaika, waliuza sana nafaka nje.
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app