Serikali yatoa kibali kuagiza mchele nje ya nchi
Kiufupi bashe hakubaliani na Hilo ,msimamo wa bashe ni kuwafanya wakulima nchini ,wanufaike na kilimo.inaonekana jamaa alimpa memo mama mwenye Kijiji Hilo Jambo kwake ni gumu,kulingana na kile anachokiamini ktk wakulima wa ndani.so wakaamua wamtupie zigo waziri wa uwekezaji.Bashe namjua anamisimamo haswa hasa pale anapoamini huu ndio ukweli,unakumbuka kipindi akiwa naibu waziri wizara ya kilimo,waziri wake nae aliwahi kuonyesha msimamo inshu ya sukari,Hawa jamaa wawili nawakubali kwa misimamo hasa wanapouona ukweli huwa hawamung'unyi maneno .
 
Kiufupi bashe hakubaliani na Hilo ,msimamo wa bashe ni kuwafanya wakulima nchini ,wanufaike na kilimo.inaonekana jamaa alimpa memo mama mwenye Kijiji Hilo Jambo kwake ni gumu,kulingana na kile anachokiamini ktk wakulima wa ndani.so wakaamua wamtupie zigo waziri wa uwekezaji.Bashe namjua anamisimamo haswa hasa pale anapoamini huu ndio ukweli,unakumbuka kipindi akiwa naibu waziri wizara ya kilimo,waziri wake nae aliwahi kuonyesha msimamo inshu ya sukari,Hawa jamaa wawili nawakubali kwa misimamo hasa wanapouona ukweli huwa hawamung'unyi maneno .
 
VIBALI vya kuingiza au kusafirisha ,mazao ya chakula ndani na nje vinatolewa na Wizara ya Kilimo, iweje leo tangazo la kuagiza mchele tani elf 90 litolewe na Waziri wa Uwekezaji na Viwanda, Dk. Ashatu Kijaji?

Kwanini Waziri mwenye dhamana ameshindwa kuita Press na kutangaza uamuzi huo?

Wajuzi wa mambo hebu tulijadilini hili lina maana gani?
Uongozi Ni kusikiliza watu Leo hii Tanzania tuanze Kununua Mchele husio na ladha wakati tulishasahau Kula hayo masukita na Thailand na ule ambao ukipika unavimba kama puto.
 
VIBALI vya kuingiza au kusafirisha ,mazao ya chakula ndani na nje vinatolewa na Wizara ya Kilimo, iweje leo tangazo la kuagiza mchele tani elf 90 litolewe na Waziri wa Uwekezaji na Viwanda, Dk. Ashatu Kijaji?

Kwanini Waziri mwenye dhamana ameshindwa kuita Press na kutangaza uamuzi huo?

Wajuzi wa mambo hebu tulijadilini hili lina maana gani?
Unataka huyo Bashe ale matapishi yake?
 
VIBALI vya kuingiza au kusafirisha ,mazao ya chakula ndani na nje vinatolewa na Wizara ya Kilimo, iweje leo tangazo la kuagiza mchele tani elf 90 litolewe na Waziri wa Uwekezaji na Viwanda, Dk. Ashatu Kijaji?

Kwanini Waziri mwenye dhamana ameshindwa kuita Press na kutangaza uamuzi huo?

Wajuzi wa mambo hebu tulijadilini hili lina maana gani?
Wameona mwezi wa ramadhani unakuja wataaibika kwa hiyo wameona waagize mchele kwani wasiendelee na msimamo wa bashe kwamba soko ndo liamue bei
nchi inayoongozwa na matukio
 
VIBALI vya kuingiza au kusafirisha ,mazao ya chakula ndani na nje vinatolewa na Wizara ya Kilimo, iweje leo tangazo la kuagiza mchele tani elf 90 litolewe na Waziri wa Uwekezaji na Viwanda, Dk. Ashatu Kijaji?

Kwanini Waziri mwenye dhamana ameshindwa kuita Press na kutangaza uamuzi huo?

Wajuzi wa mambo hebu tulijadilini hili lina maana gani?
Bashe anajua ameshashtukiwa kile anafanya. kutoa pasi kwa wafanya biashara kuingiza chakula kutokana upungufu unaotokana kuuza chakula nje. Hapo kuna akili kweli?
 
Hivi waziri wa Kilimo hastahili lawama katika hili?
Mazao ni ya wakulima,siyo ya nchi...eleweni jamani,na mavuno yamekaribia na chakula kipo si hifadhini si kwa wakulima,Kuna mkulima mwenzangu yeye huvuna gunia elf 3 za mpunga kila mwaka,kipindi Cha magu hakuuza,anao mwingi tu hawezi uza wote msimu mmoja
 
Kwani Waziri wa kilimo Mh. Hussein Bashe ana maoni gani juu ya hilo agizo? Maana wale wakulima wake anao wapigania, watalazimika sasa kushusha bei.

Maana hakuna mtu atakubali tena kununua kilo ya mchele kwa 3500-3600!
 
kwahio wananchi wafe njaa kisa aibu?

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Tutumie akili zetu kutatua tatizo la chakula na si kufikiria kuagiza tu kutoka nje kwamba ndo last resort.

Nguvu kazi ipo, ardhi yenye rutuba ipo na ya kutosha, maji ya mito, vijito na vyanzo vingine pamoja na maziwa yapo, mvua za kutosha zipo.

Nchi yetu haina tatizo la ukame ni nchi safi kabisa kwa kilimo cha mazao yote khasa ya chakula.
 
Sasa hamtaki mchele utoke nje wakati uliopo mmeuchukua kwa wakulima mmeuficha kwenye maghala ili mpandishe bei. Tulieni tu maisha yashuke bei
 
Sasa hamtaki mchele utoke nje wakati uliopo mmeuchukua kwa wakulima mmeuficha kwenye maghala ili mpandishe bei. Tulieni tu maisha yashuke bei
Selikali yapaswa kuweka sheria kupiga marufuku wafanyabishara kununua mchele wote kutoka mashamba ya wakulima wadogo kwa minajili ya kuuuza nje.

Wakitaka kununua mchele kwa biashara waende kwa wakulima wakubwa.

Ndo maana ya kuwa na maduka ya ushirika kwani vyakula vitapelekwa hapo kwa ajili ya kuuzwa bila shida kwa wananchi.

Pia yapaswa kuhakikisha wakulima wakubwa wasaidiwa kwa kila hali ili kuongeza uzalishaji na pia kuweka uzuri masoko na kudhibiti bei za vyakula ukiwemo mchele.

Vyakula vya kuagiza kutoka nje vijulikane na vidhibitiwe na vijulikane ubora wake kabla havijaingia sokoni na hatimae kwenye matumbo ya wananchi.

Ukaguzi ufanywe kwenye maduka na masoko kubaini vyakula vilongizwa kwa magendo ambavyo vitaleta athari kiafya.

Kulima mpunga si kama kulima nyanya.

Mpunga, mahindi na maharage pamoja na mazao mengine ya chakula lazima yawekewe sera maalum kiasi gani ni kwa soko la ndani na kiasi gani ni kwa ajili ya kusafirisha nje kama mbaazi.

Mkuu, wapendelea mchele upi long grain, medium au short grain?
 
Selikali yapaswa kuweka sheria kupiga marufuku wafanyabishara kununua mchele wote kutoka mashamba ya wakulima wadogo kwa minajili ya kuuuza nje.

Wakitaka kununua mchele kwa biashara waende kwa wakulima wakubwa.

Ndo maana ya kuwa na maduka ya ushirika kwani vyakula vitapelekwa hapo kwa ajili ya kuuzwa bila shida kwa wananchi.

Pia yapaswa kuhakikisha wakulima wakubwa wasaidiwa kwa kila hali ili kuongeza uzalishaji na pia kuweka uzuri masoko na kudhibiti bei za vyakula ukiwemo mchele.

Vyakula vya kuagiza kutoka nje vijulikane na vidhibitiwe na vijulikane ubora wake kabla havijaingia sokoni na hatimae kwenye matumbo ya wananchi.

Ukaguzi ufanywe kwenye maduka na masoko kubaini vyakula vilongizwa kwa magendo ambavyo vitaleta athari kiafya.

Kulima mpunga si kama kulima nyanya.

Mpunga, mahindi na maharage pamoja na mazao mengine ya chakula lazima yawekewe sera maalum kiasi gani ni kwa soko la ndani na kiasi gani ni kwa ajili ya kusafirisha nje kama mbaazi.

Mkuu, wapendelea mchele upi long grain, medium au short grain?
Ukitoa hilo wazo wanakuja na mihemko kukwambia wao ni wafanya biashara ukitaka na wewe ukalime. Eti usiwapangie. Walanguzi wanajiita na wao ni wakulima.
 
Ndio maana nilishasema sitokuja kulima chini ya serikali ya ccm unless nalima vyangu navyotaka.

Huu ni Ujuha yaani uwe unahenyeka Kwa kunufaisha watu wachache wa mjini,siwezi
 
Tunapigwa na vitu vizito.
Mchele wetu, mahindi, maharage vimeenda wapi?

Njaa ni kali imefikia watoto wanaiba mandaz huko mbeya mkoa wenye chakula.

Nchi imekuwa ngumu
Wewe mchele wako na Mahindi yako umepeleka wapi?
 
Back
Top Bottom