Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unalimwa India uleHivi ule mchele wa basmati huwa unazalishwa hapa? Mbona unakuwepo miaka yote?
Wafanya biashara wa kaskazini wanachokifanya ni kuuchanga na wa huku nyumbani maana ukipikwa wenyewe hauna ladha au ndio maana wachina kule kwao wanakula kwa vijiti!Wanaleta walionunua nje, Vietnam, India, China, Brazil
mkiambiwa mkasome ehhh mbona ambao hawajasoma wana hela zaidi. Haya sasa elimu ndogo tu ya uraia km hiyo unashindwa kuelewa. Bashe ni waziri wa nini. Uliambiwa tunaenda kulima mashamba nje ya nchi.
ulitakaje?Hizi ndio akili za mwafrika, tena mtanzania. Mchele umeuzwa nje leo tunaenda kununua mchele nje.
Achaa uje tutajua mbele kwa mbele,kwa Sasa nimapema mnoo kutoa hizo assumption zako!!Mchele wa nje hauliki kwa mapishi ya tz,labda kwa ajili ya vitumbua
safi safi safi safiMchele wako wewe na nani? Mchele ni mali ya aliyelima, ukitaka uwe mchele wako unaununua unaweka ndani
Sio kwa wafanyabiashara wa Dar, subiri utaona.Mchele ukishaingia mwingi sokoni bei inashuka bila kuambiwa labda waununue waende uficha
Daah mi sijasoma uchumi ila hiki ulichoandika hapa ni kichekeshoHii nchi Bado sana,sasa tulikuwa na nafaka nyingi,bei ilikuwa poa,mkazuia wakulima wasiuze nje,baadae mksruhusu,nafaka ikauzwa nyingi nje,sasa mahitaji yakawa makubwa,bei ikapanda,sasa hv nafska imekuwa haba,mmeruhusu tuagize nje!!
Swali langu kwenu nyie kenge maji,kwani haiwezekani tulime wenyewe,mkulima apate faida,na mnunuzi apate unafuu wa kununua?
Mchele uwe buku moja,mkulima apate faida hata ya 300 kwa kila kilo,kwanini mnatuhusu nafska iuzwe nje mpaka bei inapanda juu ndani ya nchi
Ukitaka bei poa nenda kalime.Hii nchi Bado sana,sasa tulikuwa na nafaka nyingi,bei ilikuwa poa,mkazuia wakulima wasiuze nje,baadae mksruhusu,nafaka ikauzwa nyingi nje,sasa mahitaji yakawa makubwa,bei ikapanda,sasa hv nafska imekuwa haba,mmeruhusu tuagize nje!!
Swali langu kwenu nyie kenge maji,kwani haiwezekani tulime wenyewe,mkulima apate faida,na mnunuzi apate unafuu wa kununua?
Mchele uwe buku moja,mkulima apate faida hata ya 300 kwa kila kilo,kwanini mnatuhusu nafska iuzwe nje mpaka bei inapanda juu ndani ya nchi
Naujua,haujaanza kuja Leo,walauwalau kitumboAchaa uje tutajua mbele kwa mbele,kwa Sasa nimapema mnoo kutoa hizo assumption zako!!
Mbona broiler wenye umbo la Kuku mnakula!!?tule plastic yenye umbo la mchele
Kwani Watanzania tunakwenda vitani, hadi tuaanze kuweka akiba ya chakula!? Wengine fridge hatuna!!Ni jukumu la kila mtanzania kuweka akiba ya chakula chake