Shaka usilazimishe Wakuu wa Mikoa kuelezea mafanikio ya Rais Samia kwa nguvu

Huyu mzanzibar ni mtoto wa watu ndo maana kujindekeza Kuna zidi
 
Huyu jiwe alifanikiwa ktk kuangamiza nchi kiuchumi, kijamii na kisiasa. Akaitenga nchi na mataifa mengine.

Kuna haja ya kuanzisha siku ya kitaifa ya kumfukua na kumchapa viboko kwa uharibifu wa nchi.
Vp baada kuunganishwa na hizo nchi vp umeolewa tayr sasa
 
Chawa katika ubora wako iyo munayoita mishahara haina maana kwa gharama zilivopanda
 
Wakianza kuelezea hayo mafanikio ndio wataharibu zaidi. Hayataakisi hali halisi ilivyo kwa sasa...
 
Huna hoja zaidi ya roho yako nyeusi kama giza
 
Huyu jiwe alifanikiwa ktk kuangamiza nchi kiuchumi, kijamii na kisiasa. Akaitenga nchi na mataifa mengine.

Kuna haja ya kuanzisha siku ya kitaifa ya kumfukua na kumchapa viboko kwa uharibifu wa nchi.
hizi no dalili za uchawiiiii , binadamu wa kawaida hana roho kama yakoooo
 
Ccm ni mafii
 
Safi sana ndg hakuna kuwaacha hawa kenge waendelee kusambaza ujinga wao humu ili kuharalisha uzembe
 
hizi no dalili za uchawiiiii , binadamu wa kawaida hana roho kama yakoooo
Kwahiyo unakubali kwamba jiwe alikuwa shetani? Maana alikuwa katili asiyeelezeka. Aliua, aliteka, aliheruhi watu kwa risasi na aliwafukarisha wafanyabiashara na wafanyakazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…