Siku hizi mabasi ya abiria yanafungwa ving’amuzi vya Azam TV

 
Akili za kitajiri hizo, bakhresa ni level nyingine kabisaa.
 
Utajiri sio mbwembwe wala muonekano wa nje,Utajiri ni tangible and non tangible assets forbes sio wajinga.

Ni viazi tu,wakati MO anababaika kukata 20bln pale kwa makolo,mwenzake anakabidhi bilioni 200 kwa tenda ya kurusha matangazo.

Uzuri wa pesa sio maini ya mtu kwamba mpaka tumpasue ndio tuyaone.

Kama ni swala la assets basi hazimuingizii pesa inayoeleweka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…