Huwa najiuliza asingesoma angekuwa wapi?
Halafu itokee ana macho mekundu, huko usukumani sijui kama ange-survive. Just with a light touch fellows, msigune.

Nina hakika hayo aliyoyatamka yametoka moyoni. Fikiria kwa kumkosoa tu Magufuli, Mh. Tundu Lissu alimiminiwa risasi za kumuangusha tembo!

Ne yeye Tulia katimiza analoweza kwa urefu wa kamba yake!
 
Mjinga sn huyo bibi
 
Tatizo kubwa liko kwa hao vijana wanao ambiwa maneno kama hayo na wanashangilia kuonyesha wameridhika na kulipokea kabisa
Ingekuwa hayo hayapokelewi tusingefikaga kwenye jamii kama hii tulonayo sasa
 
Hii kauli imemdhalilisha sana huyu mtu! kauli imejaa uchochezi na uhuni mkubwa!
 
Tatizo kubwa liko kwa hao vijana wanao ambiwa maneno kama hayo na wanashangilia kuonyesha wameridhika na kulipokea kabisa
Mkuu umewahi kuona wapi vijana wa ccm wakafikiri au kutafakari kitu?
Wao hawana kuchuja kitu, kila itu kwao ni ndiooooooo na kushangilia!
 
Mkuu umewahi kuona wapi vijana wa ccm wakafikiri au kutafakari kitu?
Wao hawana kuchuja kitu, kila itu kwao ni ndiooooooo na kushangilia!
Wakifanya tofauti siwanakosa nafasi uko kwenye uwanja wao
Kwa mtizamo wangu mabadiliko ya wazi tutayaona hawa jamaa wakitoka kwenye system mkuu
 
Lakini katoa maoni yake tuu. Wala sio amri
Ametoa AMRI Kwa uvccm Yeye akiwa kiongozi wao, AMRI ya kijeshi.

Tafsiri ya AMRI hii ni kuwa atawalinda wakikamatwa na POLISI.

Halafu ni mtu mwenye Doctorate ya Sheria.
 
Rwanda kule hata Uhuru wa kuabudu wamepokwa
 
kwasababu ya njaa,kutoelewa athari ya kauli hiyo,au kujipendekeza vijana wanashangilia et lakini hawajuwi wakifanya hayo ndg atakayenyoshwa anandg pia je wataridhika?
 
Nilikuwa nakuheshimu sasa nimeghairi wewe unaunga mkono uvunjifu wa sheria.
 
Kwamba imebidi Tulia atoke nduki kumkimbiza mdude alosepa na nguo zake?

Chama Cha Mapunduzi kimeamua kuyatumia MAPANGA yalotumika ktk Mapinduzi enzi zileee!

Tulia ametangaza vita kupitia Jeshi la uvcc!!!!
Hakuna kitu kama icho sikiliza mpaka mwisho alichokisema tulia hakumanisha kama watu walivyomanisha
 
Hii video umeikata mkuu Tulia hakumanisha ivo sikiliza original video
 
Kwa kauli hii ya Spika wa bunge na spika wa mabunge ya dunia inaonesha wazi kabisa maovu wanayo fanya kaamua kuweka hadharani.
Alichofanya spika wa bunge Tulia hana tofauti na alichosema Nape kwa suala ili Tanzania hatupo salama
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…