Rais mwenyewe alitoa go ahead ya kukosolewa, isipokuwa angalizo ni iwe kwa staha...

Huyo Tulia hakusikia hayo maneno au ni mwendo wa kutafutwa kulambishwa asali
 
Mlishangilia sana hawa mbwa walivyowashughulikia panya road bila kufuata au kujali haki ya mtu hata kama ni mtuhumiwa, hawana sababu ya kuheshimu haki ya raia maana wote sasa ni panya road, Nyerere alisema vizuri sana kuhusu dhambi ya ukabila, walianza na panya road sasa wasiokubaliana nao ni panya road na kitakachofuata watageuzana panya road wenyewe kwa wenyewe
 
Reincarnation of Ndugai 😂😂😂
 
Huyu Tulia alivyo mbaya wa sura na ata roho na akili yake ni mbaya!
Ndio maana balozi wa US leo amemtembelea mh.Sugu na kuachana na mbunge wa wizi wa kura,ni aibu na msg tosha kuwa dhulma hailipi..ni suala la muda tu ataanza kulipia uovu wake,ubaya haujawahi kushinda wema.
 
Akili kichwani mwako, hakuna mtu atakuja kukuletea ugali au kukutoa lupango, ukishuhulika utashuhulikiwa
 
Duh !!
 
Yupo sahihi ikiwa anawaambia Vijana wake wa CCM.
Ila hayuko sahihi Kama atakuwa anamaanisha vijana wa nchi nzima.

Kama ndio Katiba ya ccm ndivyo isemavyo yupo sahihi
Definitions ya kushughulika naye na nyooka naye ni nini ?? !! Mimi nashangaa nimeshindwa kuelewa naona maruweruwe !! Sitaki mtu anyooke na mimi !!
 
Aombe radhi tu yaishe kama na yeye ataona ulimi uliteleza tu na kwamba hakuwa na maana mbaya!! Mimi sitaki mtu anyooke na mimi kwa kweli !!
 
Baadhi ya viongozi wapo kibahati mbaya tu kwenye nafasi zao

Laiti wangejua nguvu ya maneno wangechuja kabla ya kuyatoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…