Tony Blair kaja kumwona Mama Samia? Nina Masikitiko!

Usilolijua ni sawa na usiku wa giza: Tonny Blair ni waziri mkuu aliependwa sana Uingereza baada ya Winston Churchil, hayo ya Saddam yasome tu kwenye magazeti, ila Axis Of Evil Saddam alikua yupo top of all. Hata viongozi wa uingereza waliokua wakivipinga vita vya Iraq wengi wao weshafutika kwenye hii dunia..
 
Usitake kudanganya.
Blair aliokolewa na mahakama baada ya Tume ya Uchunguzi kuhusu vita ya Iraq kubaini kuwa altumia ulaghai na uongo kuingiza nchi yake vitani.
 
Ni kama vile unamchagulia rafiki Mama Samia. Japo unazo hoja za kizalendo.
 
Siasa tu hizo, hivi unafikiria waingereza wanaweza kufanya upumbavu kama huo??? ingekua hawampendi kihivyo, sasa mbona kila issue inayotokea duniani uwa lazima wamhoji kuona anasemaje...usilolijua ni kama usiku wa giza!!!kalaghabaho.
 
huyo mama yenu ana elimu kiasi gani (IQ) hata aweze kufanya mazungumzo na mtu smart kama Tony Blair?
 
Siasa tu hizo, hivi unafikiria waingereza wanaweza kufanya upumbavu kama huo??? ingekua hawampendi kihivyo, sasa mbona kila issue inayotokea duniani uwa lazima wamhoji kuona anasemaje...usilolijua ni kama usiku wa giza!!!kalaghabaho.
Kalagabaho wewe unayeshabikia kama zuzu mtu aliyepelekwa hadi mahakamani kwa kuua kupitia madaraka!
 
Haina maana kuja kwake ni kuendeleza hayo unayosema. Bado pia tunashirikiana na matifa yaaliyoyupeleka urumwani

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
mahakama ya wapi wewe zuzu?? huyu mtu billionaire huoni kaja kutengeneza pesa zaidi kwa chief Hangaya. mahakamani yanapelekwa majuha tu tena weusi.
We lijitu la madongo kuinama taabu sana.
Kila mzungu unaye mwina unafikiri ana noti za kukupa.
Miafrika mingine ndivyo mulivyo, subjective mentality.
 
Nakumbuka kama si 2002 au 2003 kuna mkaguzi wa silaha za maangamizi alienda kukagua Iraq akaambulia patupu. Mwishowe tukasikia amejinyonga, sasa sijui alijinyonga kweli au walimfanyizia sijui.
Walimuuua anaitwa Dr kelly wakafanya ionekane kama suucide,blair siyo mtu mzuri
 
Walimuuua anaitwa Dr kelly wakafanya ionekane kama suucide,blair siyo mtu mzuri
Thanks!
Kuna mijitu ni mizuzu kabisa haiekewi kuwa huyu Blair ni mtu hatari.
Lazima Rais wetu atonywe hilo, siyo kila hela ni safi.
 
Nilipo umeme umekata ukirudi nitapandisha kitabu kuhusu huyu jamaa kipindi hicho pia nilikuwa uingereza kama wewe ,ila nilidhani kupiga kura inaishia kwa wabunge na ma councillors kwa sisi wa commonwealth anyway sikuwahi kupiga kura kwa miaka mitatu niliyoishi pale
 
Thanks!
Kuna mijitu ni mizuzu kabisa haiekewi kuwa huyu Blair ni mtu hatari.
Lazima Rais wetu atinywe hilo, siyo kila hela ni safi.
Nimeona dr lwaitama kule twitter anasema jamaa kaja kusuluhisha issue ya madini yaliyoshikiliwa na mr slim kwenye deal gone wrong na jamaa wa awamu iliyopita ,siyo maneno yangu kaangalie tweets za jana za azavery lwaitama
 
Nimeona dr lwaitama kule twitter anasema jamaa kaja kusuluhisha issue ya madini yaliyoshikiliwa na mr slim kwenye deal gone wrong na jamaa wa awamu iliyopita ,siyo maneno yangu kaangalie tweets za jana za azavery lwaitama
Huyo jamaa ni The Devils advocate!
 
Shida ya KAWAJA siku mkikosana wanakua bitter balaa na wanakugeuka kama hawakujuhi. Ukiona wanakuja kuna kitu wanataka lakini pia ni jambo jema kushirikiana nao. Lakini kushirikiana nao kwa akili sana na wala si kuwafokea fokea.
 
Marekani wamewastukia Saudia, lakini pesa inaongea.
 
Yawezekana nimekosea kidogo herufi za jina lake ila jina la mwanzo ni Hance. Kama 2003 ulikuwa na umri chini ya miaka 16. Tutabishana sana
Ubishane na nani wewe tulia... anaitwa Hans Blix
 
Nakumbuka kama si 2002 au 2003 kuna mkaguzi wa silaha za maangamizi alienda kukagua Iraq akaambulia patupu. Mwishowe tukasikia amejinyonga, sasa sijui alijinyonga kweli au walimfanyizia sijui.
Kama sijakosea alikuwa anaitwa Hans Blinks
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…