Brig General Carlitos Way
JF-Expert Member
- Apr 27, 2009
- 1,601
- 3,658
Hakuna heri yoyote mkuu. Tony ni economic hitman. Watu wa aina yake wanafanya kazi kubwa sana kuhakikisha superpowers ziendelee kunufaika na nchi za huku kwetu kuendelea kudidimia kwenye mikopo na madeni kila uchao.Labda amekuja na kheri this time, kila mtu ana deserve the second chance, ....
Usitake kudanganya.Usilolijua ni sawa na usiku wa giza: Tonny Blair ni waziri mkuu aliependwa sana Uingereza baada ya Winston Churchil, hayo ya Saddam yasome tu kwenye magazeti, ila Axis Of Evil Saddam alikua yupo top of all. Hata viongozi wa uingereza waliokua wakivipinga vita vya Iraq wengi wao weshafutika kwenye hii dunia..
Ni kama vile unamchagulia rafiki Mama Samia. Japo unazo hoja za kizalendo.View attachment 1957586
Kati ya viongozi wa Uingereza waliowahi kunikatisha tamaa ni Tony Blair. Huyu alikuwa Waziri Mkuu wa Uingereza kati ya mwaka 1997 mpaka 2007.
Wakati akipata Uwaziri Mkuu, ndiye alikuwa kiongozi kijana kuliko wote kwa miaka 185 ya historia ya Uingereza, na alikuwa na miaka 44 tu.
Na alikuwa kiongozi wa chama cha Labour, chama ambacho nami nikiwa Uingereza nilikipigia kura nikiwa huko. Kwa ujumla vijana nchini Uingereza walimkubali sana.
Tony Blair aliongoza vizuri hadi baada ya 9/11 Marekani ilipopigwa World Trade Centre, New York.
Katika hasira na mchecheto wa kulipiza kisasi, Uingereza na Marekani ilibidi waunde maadui, maana hawakujua nani amewapiga.
Adui mmoja aliyesingiziwa ni Saddam Hussein wa Iraq. Huyu akatengenezewa uongo wa kutisha, ati ana silaha za kutisha zinazoweza kupiga hadi New York ndani ya dakika 45?
Na kwamba silaha hizo hazikai sehemu moja zinazungushwa zungushwa ndani ya Iraq ili zisifahamike ziko wapi.
Tony Blair alikuwa mstari wa mbele kupiga kelele kuwa Saddam ana Weapons of Mass Destruction!
Kilichotushangaza wengi ni kuona uongo wa dhahiri ukipigiwa upatu, na tukajiuliza hivi kuna silaha mbaya na hatari kuliko za Nuclear ambazo wakubwa hawa wanazo?
Pamoja na mapingamixi toka mataifa mengi, Marekani na Uingereza walipitisha Azimio Baraza la Usalama Umoja wa Mataifa, kuwa Saddam apigwe.
Saddam akapingwa na kuuwawa.
Pamoja nao wakauwawa wananchi wengi, wanawake na watoto.
Iraq haikuwahi kuwa salama tena.
Mwisho wa siku ikaja dhihirika kuwa hapakuwa na silaha zozote za maangamizi Iraq.
Waliouwawa waliuwawa bure.
Wale waaarabu walioipiga WTC-World Trade Centre, ikaja gundulika walitoka Saudia. Tony Blair na wenzake waligwaya kwa aibu!
Sasa huyu T Blair aliyesababisha vifo vya watu mamilioni wasio na hatia, yupo hapa kwetu, Ikulu.
Sijafurahia sana kiongozi mwenye mikono ya damu kuwa mgeni wa Mama Samia.
Sijawahi kuona nchi za Ulaya na Marekani wakimwalika Mugabe(Zimbabwe), Idi Amin(Uganda) au Mengiste Haile Mariam (Ethiopia) huko kwao.
Mwana JF, mpe neno!
Blair blamed by Chilcot for 'disastrous and unnecessary' Iraq war
Tony Blair drove Britain to a disastrous and unnecessary war in Iraq, ignoring clear warnings and with “wholly inadequate” planning for the bloody consequences, the Chilcot inquiry concluded today.www.standard.co.uk
Siasa tu hizo, hivi unafikiria waingereza wanaweza kufanya upumbavu kama huo??? ingekua hawampendi kihivyo, sasa mbona kila issue inayotokea duniani uwa lazima wamhoji kuona anasemaje...usilolijua ni kama usiku wa giza!!!kalaghabaho.Usitake kudanganya.
Blair aliokolewa na mahakama baada ya Tume ya Uchunguzi kuhusu vita ya Iraq kubaini kuwa altumia ulaghai na uongo kuingiza nchi yake vitani.
Blair blamed by Chilcot for 'disastrous and unnecessary' Iraq war
Tony Blair drove Britain to a disastrous and unnecessary war in Iraq, ignoring clear warnings and with “wholly inadequate” planning for the bloody consequences, the Chilcot inquiry concluded today.www.standard.co.uk
Kalagabaho wewe unayeshabikia kama zuzu mtu aliyepelekwa hadi mahakamani kwa kuua kupitia madaraka!Siasa tu hizo, hivi unafikiria waingereza wanaweza kufanya upumbavu kama huo??? ingekua hawampendi kihivyo, sasa mbona kila issue inayotokea duniani uwa lazima wamhoji kuona anasemaje...usilolijua ni kama usiku wa giza!!!kalaghabaho.
mahakama ya wapi wewe zuzu?? huyu mtu billionaire huoni kaja kutengeneza pesa zaidi kwa chief Hangaya. mahakamani yanapelekwa majuha tu tena weusi.Kalagabaho wewe unayeshabikia kama zuzu mtu aliyepelekwa hadi mahakamani kwa kuua kupitia madaraka!
We lijitu la madongo kuinama taabu sana.mahakama ya wapi wewe zuzu?? huyu mtu billionaire huoni kaja kutengeneza pesa zaidi kwa chief Hangaya. mahakamani yanapelekwa majuha tu tena weusi.
Walimuuua anaitwa Dr kelly wakafanya ionekane kama suucide,blair siyo mtu mzuriNakumbuka kama si 2002 au 2003 kuna mkaguzi wa silaha za maangamizi alienda kukagua Iraq akaambulia patupu. Mwishowe tukasikia amejinyonga, sasa sijui alijinyonga kweli au walimfanyizia sijui.
Thanks!Walimuuua anaitwa Dr kelly wakafanya ionekane kama suucide,blair siyo mtu mzuri
Thanks!
Kuna mijitu ni mizuzu kabisa haiekewi kuwa huyu Blair ni mtu hatari.
Lazima Rais wetu atinywe hilo, siyo kila hela ni safi.
Nimeona dr lwaitama kule twitter anasema jamaa kaja kusuluhisha issue ya madini yaliyoshikiliwa na mr slim kwenye deal gone wrong na jamaa wa awamu iliyopita ,siyo maneno yangu kaangalie tweets za jana za azavery lwaitamaThanks!
Kuna mijitu ni mizuzu kabisa haiekewi kuwa huyu Blair ni mtu hatari.
Lazima Rais wetu atinywe hilo, siyo kila hela ni safi.
Huyo jamaa ni The Devils advocate!Nimeona dr lwaitama kule twitter anasema jamaa kaja kusuluhisha issue ya madini yaliyoshikiliwa na mr slim kwenye deal gone wrong na jamaa wa awamu iliyopita ,siyo maneno yangu kaangalie tweets za jana za azavery lwaitama
Marekani wamewastukia Saudia, lakini pesa inaongea.Washington, DC(CNN)The Federal Bureau of Investigation on Saturday released the first of what is expected to be several documents related to its investigation of the 9/11 terrorist attacks and suspected Saudi government support for the hijackers, following an executive order by President Joe Biden.
The newly declassified document, which is from 2016, provides details of the FBI's work to investigate the alleged logistical support that a Saudi consular official and a suspected Saudi intelligence agent in Los Angeles provided to at least two of the men who hijacked planes on September 11, 2001.
Ubishane na nani wewe tulia... anaitwa Hans BlixYawezekana nimekosea kidogo herufi za jina lake ila jina la mwanzo ni Hance. Kama 2003 ulikuwa na umri chini ya miaka 16. Tutabishana sana
Kama sijakosea alikuwa anaitwa Hans BlinksNakumbuka kama si 2002 au 2003 kuna mkaguzi wa silaha za maangamizi alienda kukagua Iraq akaambulia patupu. Mwishowe tukasikia amejinyonga, sasa sijui alijinyonga kweli au walimfanyizia sijui.