Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

Leo ndio leo.....[emoji3][emoji3][emoji119][emoji119]
 
Bado vyama viwili kikiwemo Chadema
 
Tume kuchelewa kuamua hatima ya Lissu ni kuendelea kumpa umaarufu wa ziada pasipo sababu.

Huyu alipaswa asitumie hata dakika 5 hapo tume.
Siku zote, wamwisho huja kuwa wa kwanza. Lisu akiruka kiunzi hiki MUNGU anaachia Baraka zake.
 
Wala hatuhitaji haya maelezo maana ni uzembe wakiwango cha reli ya SGR. Ina kuwa kama ni mara ya kwanza Chadema wana shiriki uchaguzi?? Ngoja wamalize uambiwe mgombea mwenza hayupo. Yatokee ya CCK au wamesahau risiti au picha zao.. Yaani Chadema mmekuja kuwa mwendo kasi kama kitoko.
 
I buy your reasoning.
CCM na vyombo vya baadhi ya viongozi wa vyombo vya dola hawaaminiki hata kidogo. Pengine wana "buy time" muda uende na jioni ifikike, watu walipuke kwa furaha na kufanya maandamano ili waovu wafanye vitu vyao. Yasije yakajirudia yale ya yule binti mdogo Acquilina.


Wanausalama wa CDM wawe makini mno nyakati za usiku. Dodoma hapaaminiki kwa usalama wa viongozi wa CDM. Pengine kuna magenge ya watu wasiojulikana wenye nia ovu wapo kazini kimkakati, kwa maelekezo maalum ya watu wenye hofu nyingi juu ya Lissu wanaojulikana.
 
Angalia ratiba NEC walimpangia saa 6:00 mpaka saa 6:15 akiwa mtu wa 10.
Cha ajabu CUF walikuwa ni wa 12 wamepitishwa.
Kajaza wadhamini maelfu tume haiwezi hakiki hao wadhamini maelfu ndani ya dakika kumi inataka muda
 
Tunamtaka Lissu.Lissu ni mtanzania mwenzetu na tunataka tumpigie kura.


Mie na familia yangu kura ni kwa Lissu.Watumishi wote kura ni kwa lissu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…